Mtanzania uso kwa uso na Mzambia usiku wa vitasa

MJI wa Kyela utasimama kwa muda kupisha usiku wa ngumi pale mabondia 18 wakiwamo Joseph Mwaigwisya (Tanzania) na Mbachi Kaonga raia wa Zambia watakapozichapa Agosti 8 katika ukumbi wa Unenamwa uliopo mjini humo. Mabondia hao kila mmoja anajivunia rekodi zake za ndani na nje na kufanya shauku kuwa kubwa kwa wapenzi wa ndondi na Mwaigwisya…

Read More

Kwa Mkapa mambo yameanza kunoga

NYOMI ya mashabiki wa Yanga ikiwa imefurika nje, walioingia ndani wanaendelea na burudani ya muziki, huku mhamasishaji wa tamasha la wiki la Mwananchi, Dakota akiifanya kazi yake vyema. Ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa, mashabiki wanaendelea kuingia, huku zikipigwa nyimbo za wasanii mbalimbali Dakota akiwa anawahamisha. Yanga leo inafanya tamasha lao, linalotumika kutambulisha kikosi chao…

Read More

Wananchi wafurika kwa Mkapa | Mwanaspoti

BALAA katika uwanja wa Benjamin Mkapa, kwani mashabiki wa timu ya Yanga wamejitokeza kwa wingi jambo lililosababisha foleni kubwa. Muonekano wa nje ya uwanja kwa sasa unaonyesha idadi kubwa ya mashabiki waliovalia jezi nyeusi,njano na kijani wakiwa wamepanga mistari ya kuingia ndani ya dimba hilo iliyofika mpaka barabarani. Ikiwa bado ni saa sita kabla ya…

Read More

Prince Dube awakuna Wananchi mapemaa

WAKATI zimesalia saa chache kabla ya kikosi cha Yanga kutambulishwa kwa mashabiki katika sherehje za kuhitimisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi, mashabiki wa klabu hiyo mapema tu wameanza kumtja straika mpya wa timu hiyo, Prince Dube wakidai ndiye usajili uliowakuna zaidi. Mashabiki hao wamesema Dube ndioye aliyebeba kwa sasa matumaini yao katika eneo la mbele…

Read More

Simba hii ina watu! | Mwanaspoti

SIMBA imefanya yao kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa katika tamasha la Simba Day lililoenda kwa jina la Ubaya Ubwela lililofanuika Jumamosi na wana Msimbazi wakapata burudani ya aina yake, huku wakishuhudia soka tamu kutoka kwa kikosi hicho kinachojitafuta kwa sasa baada ya misimu mitatu mibovu. Ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya APR katika mchezo wa…

Read More

Hizi Simba, Yanga tatizo lipo hapa tu!

KUNA wakati huwa nacheka sana nikizisikia tambo za wanachama na mashabiki wa klabu za Simba na Yanga. Iwe ni katika vijiwe vya kahawa mitaani au ndani ya mitandao ya kijamii, huchekesha! Wanatambiana kuhusu nyota wa vikosi vyao. Iwe ni wale waliopo vikosini tayari ama wanaotajwa kusajiliwa kila msimu. Hutambiana hadi uwezo wa wafadhili na wadhamini…

Read More

Tanzania imara mbio za kufuzu Kombe la Dunia

TIMU ya taifa ya vijana ya Kriketi imeanza vyema mbio za kufuzu fainali za Kombe la Dunia kwa vijana walio chini ya miaka 19 kwa Divisheni ya Pili baada ushindi mnono wa wiketi 6 dhidi ya Nigeria katika mchezo wa ufunguzi uliochezwa wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Dar Gymkhana, jijini Dar es Salaam. Ni timu…

Read More

Funga Kazi… Nyie Hamuogopi! | Mwanaspoti

UKIWA shabiki wa Yanga leo una jambo moja tu la kufanya kama ni siku ya kuabudu basi nenda kwanza kamshukuru Mungu, kisha ukitoka kaivae uzi wa klabu hiyo, weka fedha mfukoni na usisahau tiketi yako na ukiona vipi beba na vuvuzela kwena kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kitachoendelea huko unakijua. Ndio, si unajua kwamba Wananchi…

Read More

Azam FC moto, yabeba ndoo Kigali

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Azam FC imeendelea kukunjua makucha baada ya juzi usiku kupata ushindi wa bao 1-0 na kubeba ubingwa ikiwa jijini Kigali, Rwanda. Ndiyo, kama ambavyo Simba ilivyokuwa Kwa Mkapa kuhitimisha tamasha la Simba Day na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya APR ya Rwanda au kama jana…

Read More