WMA YAELEZA MCHANGO WAKE KATIKA SEKTA YA KILIMO

Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Wakala wa Vipimo (WMA), Veronica Simba akitoa elimu kuhusu matumizi ya vipimo sahihi katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo NaneNane (2024) yanaoendelea jijini Dodoma. Afisa Vipimo Mwandamizi kutoka Wakala wa Vipimo (WMA) akitoa elimu kuhusu umuhimu wa kuhakiki dira za maji katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo Nanenane (2024) yanayoendelea…

Read More

MAKAMU WA RAIS ASAFIRI KWA TRENI KUSHIRIKI YANGA DAY

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango leo tarehe 04 Agosti 2024 wakisafiri kutoka Dodoma kuelekea Dar es salaam kwa kutumia Usafiri wa Treni ya Kisasa ya Umeme inayotumia Reli ya Kisasa (SGR). Makamu wa Rais amesafiri kuelekea Jijini Dar es Salaam ambapo…

Read More

SIMBA KUSHTAKIWA KISA AISHI MANULA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Ameandika, Jemedari Said Meneja wa Aishi Manulam,baada ya kumsahalika katika utambulisho wa wachezaji Simba katika kilele cha Simba Day katika uwanja wa Benjamin Mkapa.     Tunazungumza na wanasheria wetu kuona namna watakavyoshughulia suala la klabu ya Simba na mchezaji wetu AISHI MANULA kwa kitendo cha Simba KUMZUIA mchezaji kucheza soka ambacho kinapingana na kanuni…

Read More