Simba yataja wapya 30, Mwenda, Lawi wakosekana

SIMBA imetambulisha kikosi cha wa wachezaji 30 kwa ajili ya msimu 2024/25 huku majina ya Lameck Lawi na Israel Mwenda yakikosekana. Simba walimtambulisha Lawi kama mchezaji waliyemsajili akitokea Coastal Union, lakini uongozi wa timu ya beki huyo ulikanusha na kuweka wazi kuwa bado ni mchezaji wao. Baada ya timu hizo kung’ang’aniana, Simba ilipeleka malalamiko Kamati…

Read More

Bella, Konde Boy hawana jambo dogo

MASHABIKI wa Yanga mzuka umepanda wakati Kilele cha Mwananchi kitakapohitimishwa kesho Kwa Mkapa, jijini Dar es Salaam huku shoo nzima ikiachwa chini ya Harmonize a.k.a Konde Boy akishirikiana na Christian Bella pamoja na wakali wengine kulipamba tamasha hilo la sita tangu liasisiwe mwaka 2019. Harmonize aliyeachia wimbo maalumu wa tamasha hilo, ataliamsha mapema pamoja na Mfalme…

Read More

Rais Samia: Wanasimba yaliyopita si ndwele tugange yajayo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatumia salamu Simba SC na kuwatakia kila la kheri katika msimu wa 2024-2025 huku akiwapa ujumbe wa upambanaji. Katika salamu zake hizo, Rais Samia ambaye mwaka jana alikuwa mgeni rasmi kwenye Simba Day huku mwaka huu akishindwa kuhudhuria akibainisha kwamba alikuwa na ziara ya kikazi,…

Read More

Fredy atabiriwa ‘Top Scorer’, Kibu asamehewa

MSHAMBULIAJI wa Simba, Fredy Michael ametabiriwa kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu ujao, huku Kibu Denis akisamehewa na wana Msimbazi baada ya sakata lake la kutojiunga na kambi ya kikosi hicho iliyofanyika Misri. Awali, Kibu alipewa likizo ya muda na uongozi akaenda Marekani kwa mapumziko kabla ya kurejea nchini na kisha kutimkia Norway…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA MSIMBA MSIMU WA 2024/25 – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Kikosi cha klabu ya Simba msimu wa 2024/25   1. Ally Salimu 2.Ayoub Lakred 3.Husen Abel 4.Mussa Camara 5.Hussein Kazi 6.Kelvin Kijili 7.Che Malon Fondo 8.Shomari Kapombe 9.Abduraz 10. Valentine Nouma 11.Mohamed Hussein 12.David Kameta 13.Karaboue Chamou 14.Mzamiru Yasin 15.Kibu Denis 16.Awesu Awesu 16.Saleh Karabaka 17.Debora Fenandes 18.Edwin Balua 19.Augustine Okejepha 20.ladak Chasambi…

Read More

Straika Simba aliyetoroka hayupo benchi 

HIVI karibuni Mwanaspoti liliripoti kuwa Straika wa Simba ametoroka kambini na leo kwenye kilele cha siku ya ‘Simba Day’ mchezaji huyo hajaonekana. Simba leo inaadhimisha kilele cha Simba Day ambayo iliambatana na burudani mbalimbali za soka ikiwemo mchezo wa Ligi ya vijana U-17 na ule wa kirafiki kati ya Simba Queens na Mlandizi Queens. Kwenye…

Read More

Soloka: Simba ni kama Real Madrid 

MDAU wa Simba, Mohammed Soloka amesema mwitikio mkubwa wa mashabiki wa timu hiyo kujaza Uwanja wa Mkapa ni kielelezo cha kiu yao kutaka kuiona timu yao mpya. Soloka amesema mashabiki wenzake wengi wamefurahishwa na namna uongozi wa klabu hiyo ulivyojenga kikosi kipya chenye wachezaji wengi vijana. Kigogo huyo amesema wachezaji waliosajiliwa ni wenye vipaji vikubwa…

Read More