Manula apewa ‘Thank You’ | Mwanaspoti

ALIYEKUWA kipa namba moja wa Simba, Ashi Manula ametemwa kwenye kikosi cha timu hiyo kwa msimu ujao wa 2024/25 baada ya timu hiyo kutambulisha makipa wanne huku jina lake likiondolewa. Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally ndiye alikuwa anataja majina ya mastaa wa kikosi hicho msimu ujao katika tamasha la Simba Day linalofanyika Uwanja wa…

Read More

Simba Queens yaichapa Mlandizi 7-0

SIMBA Queens imeibuka na ushindi wa mabao 7-0 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Mlandizi Queens uliochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye kilele cha Tamasha la Simba Day. Katika kikosi hicho cha Simba Queens, kulikuwa na nyota wapya wakiwemo viungo wa zamani wa Yanga Princess, Precious Christopher na Saiki Atinuke. Mchezo huo uliopigwa kuanzia saa…

Read More

Mastaa Yanga wanogesha Simba Day

MASTAA wa zamani wa Yanga Princess, viungo Precious Christopher na Saiki Atinuke ni miongoni mwa wachezaji waliocheza kwenye mechi ya kirafiki kati ya Simba Queens na Mlandizi Queens. Mchezo huo umepigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuanzia saa 9 alasiri kwenye kilele cha kuadhimisha Simba Day. Wachezaji hao wawili wamesajiliwa na Simba…

Read More

Kilele cha Wiki ya Mwananchi… Shoo ya kibingwa

WANANCHI mzuka umepanda wakati klabu ya Yanga ikihitimisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi ikiwa na kauli mbiu ya Nyie Hamuogopi, kinachofanyika leo Jumapili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sherehe maalumu ambazo uashiria msimu mpya. Tamasha hilo huchagizwa na wasanii mbalimbali ambao hujitokeza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili…

Read More

Picha: Kutoka kwenye shamra shamra za Simba Day Kwa Mkapa….

Ni Agosti 3, 2024 ambapo Mashabiki wa Simba Sports Club wamefika katika Uwanja wa Benjamini Mkapa kusherehekea siku yao maalum waliyoipa kwa jina la Unyama Mwingi yaani Simba Day ambayo inaambatana na utambulisho wa kikosi kipya cha timi hiyo ambacho kitashirikisha katika michuano ya Msimu wa 2024/25 unaotarajiwa kuanza hivi karibu siku zijazo. Unaweza ukatazama…

Read More

Simba Day bado kidogo iwe full house

MASHABIKI wa Simba hawana jambo dogo hivyo unavyoweza kusema baada ya kubakiza kama robo ya uwanja kabla ya kuujaza Uwanja wa Mkapa zikiwa zimebaki saa tano shughuli ya utambulisho wa kikosi kipya cha msimu ujao haujafanyika. Licha ya nje ya uwanja kuonekana kuwa na mashabiki kibao, ila ndani ya uwanja ni maeneo machache yamebaki ili…

Read More

Mageti yaongezwa Kwa MKapa kupunguza msongamano

MENEJIMENTI  ya Uwanja wa Benjamin Mkapa, umejiongeza ili kuwarahisisha kazi mashabiki wa Simba waliojitokeza kushangweka na Tamasha la Simba Day, baada ya kuongeza mageti zaidi ya kuingilia uwanjani baada ya kuibuka malalamiko ya mashabiki walioidai wamekaa muda mrefu katika foleni ya kuingia ndani. Awali mashabiki waliokata tiketi kwa ajili ya kuingia uwanjani kushuhudia Tamasha la…

Read More

Mastaa NBA walivyoibeba Olimpiki 2024

VITA ya mashindano ya Olimpiki kusaka medali ya dhahabu ya mchezo wa kikapu jijini Paris, Ufaransa inaendelea kuwa moto upande wa makundi, ambapo wababe wawili walioupiga mwingi ni kutoka ukanda unaochezwa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA) ikiwa ni pamoja na Canada. Canada ilifanikiwa kushinda mechi zote tatu juzi Ijumaa ilipoifunga Hispania 88-85 ikisonga hatua ya…

Read More

Ukilipa zaidi ya hapo kupata saini zao, umepigwa

LONDON, ENGLAND: DIRISHA la usajili wa mastaa huko Ulaya bado halijafungwa na klabu mbalimbali bado zipo bize kwenye kuhakikisha zinanasa saini za wachezaji wapya ili kwenda kuboresha vikosi vyao. Tayari kuna timu zimepata wachezaji zilizokuwa zikiwahitaji ili kwenda kufanya vikosi vyao kuwa imara zaidi, huku timu nyingine zikiwa bado sokoni kusaka mastaa ambao zinaamini zikiwapata…

Read More