Foleni Simba Day balaa! | Mwanaspoti

‘UBAYA UBWELA’ hadi kieleweke zimesikika sauti za mashabiki wa Simba ambao wamekaa katika nguzo za umeme wakisubiri foleni ya kuingia uwanjani. Nguzo hizo za chuma zimelazwa chini mita chache kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo kunafanyika shughuli ya kilele cha tamasha la Simba Day. Unaambiwa, kutokana na msururu wa mashabiki wengi waliopanga mstari kuingia ndani…

Read More

Simba Day, Kwa Mkapa yageuka gulio

SIMBA hawana jambo dogo, achana na nyomi la watu waliokuwa wanaingia uwanjani kushuhudia timu hiyo ikiadhimisha kilele cha siku ya Simba Day lakini uwanjani hapo ni kama pamegeuka gulio. Leo Simba inaadhimisha Tamasha la Simba Day ambayo imepewa jina la Ubaya Ubwela ikiambatana na burudani ya mechi ya kirafiki kati ya Simba na APR ya…

Read More

Kwa Mkapa ni nyekundu na nyeupe

ZIKIWA zimebaki saa nane kabla ya wana Simba kushuhudia kikosi kipya cha msimu wa 2024/25, hapa Benjamin Mkapa Ubaya Ubwela ni mwingi, hii ni baada ya jezi nyekundu na nyeupe kutapakaa karibu kila kona nje ya uwanja. Rangi hizo ndizo zinazotumiwa zaidi na Simba katika jezi za klabu hiyo, jambo linaloashiria mashabiki wa timu hiyo…

Read More

Simba Day 2024, kibabe sana

SIMBA ilimaliza msimu uliopita ikiwa nafasi ya tatu kwa kuvuna pointi 69, sawa na Azam FC waliomaliza katika nafasi ya pili, lakini Azam waliongoza kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa. Kwahiyo ni wazi kwamba leo ndio siku ya mashabiki na wadau wa klabu hiyo kutembea kibabe sana kwenda kwenye mtoko matata kabisa wa…

Read More

Mahakama yazuia uchaguzi wa Chama cha soka Temeke

Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, imezuia kufanyika kwa uchaguzi wa Chama cha Soka Wilaya ya Temeke (Tefa) uliokuwa umepangwa kufanyika kesho, Agosti 4, 2024. Amri ya kuzuia uchaguzi huo imetolewa jana Agosti 2, 2024 na Jaji Obadia Bwegoge, kufutia shauri la maombi ya zuio la muda baada ya kukubaliana na hoja zilizotolewa na…

Read More

FOREST ROCK KASINO KUSANYA MAMILIONI YA MERIDIANBET

Sloti ya Forest Rock Kasino ya Meridianbet inakupeleka hadi kwenye msitu wenye wanyama pori ambao, watakupa ushindi muda wowote unapokutana nao. Jisajili Meridianbet kisha ingia upande wa Kasino ya Mtandaoni. Katika Kasino ya Mtandaoni Meridiannbet kuna Sloti ya Forest Rock ina muundo wa kizamani wenye kolamu 5 na mistari 15 ya ushindi. Suala la kuchagua…

Read More

Simba Day 2024, Ubaya Ubwela

ILE siku ndio leo. Kilele cha wiki ya Simba kitafanyika Wanasimba zaidi ya 60,000 watakutana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kukamilisha vaibu lao la kuukaribisha msimu mpya chini ya kauli mbiu ya Ubaya Ubwela. Ndio siku ya furaha zaidi kwa Wanasimba. Saa chache zijazo wanakwenda kushuhudia furaha mpya baada ya kupitia miezi kadhaa ya machungu…

Read More

Baleke, Boka washusha presha… Sasa mambo freshi

SIKU moja kabla ya kufanyika kwa Kilele cha Wiki ya Mwananchi, nyota wawili wapya wa timu hiyo, beki Chadrack Boka na straika Jean Baleke wameshusha presha ya mabosi na mashabiki baada ya sasa kuwa na uhakika wa kutumika ndani ya kikosi hicho cha Jangwani. Awali ilikuwa ikielezwa huenda Yanga isingewatumia wachezaji hao katika mechi za…

Read More

NBC yaahidi kunogesha ushindani zaidi Ligi Kuu Bara

  Mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya NBC, Benki ya NBC jana Alhamisi ilishiriki kikamilifu kwenye tukio la utoaji wa tuzo za Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, TFF 2023/2024 huku ikiahidi kuendelea kushirikiana na wadau wote wa ligi  tatu inazozidhamini ikiwemo Ligi Kuu ya NBC, NBC Championship na Ligi ya Vijana ya NBC ili…

Read More