
Foleni Simba Day balaa! | Mwanaspoti
‘UBAYA UBWELA’ hadi kieleweke zimesikika sauti za mashabiki wa Simba ambao wamekaa katika nguzo za umeme wakisubiri foleni ya kuingia uwanjani. Nguzo hizo za chuma zimelazwa chini mita chache kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo kunafanyika shughuli ya kilele cha tamasha la Simba Day. Unaambiwa, kutokana na msururu wa mashabiki wengi waliopanga mstari kuingia ndani…