KIKOSI cha Simba kipo jijini Arusha na kesho jioni kitashuka katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuikabili KMC katika pambano la Ligi Kuu Bara, huku
Category: Michezo

YANGA kesho wanaanza bata rasmi la ubingwa kwenye Uwanja wa Mkapa. Ni zamu ya Dijei kuwaleta chini ya gwaride na saluti za aina yake watakazopigiwa

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi ameshindwa kujizuia kwa kumtaja kiungo Maxi Nzengeli, kuwa ni miongoni mwa wachezaji waliokibeba kikosi hicho msimu huu, tofauti na mitazamo

SAA chache tangu beki wa kati wa Simba, Henock Inonga kufunguka kwamba mkataba alionao na klabu hiyo unamalizika mwishoni mwa msimu huu, huku mabosi wa

KOCHA wa zamani Yanga, Nasreddine Nabi amemshauri kinara wa mabao na kiungo mshambuliaji wa mabingwa hao wa Tanzania, StephaneAziz Ki juu ya mipango ya kuondoka klabuni

KAIMU kocha mkuu wa Simba, Juma Mgunda amesema hana wasiwasi kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC, kwani tayari ameshaliandaa jeshi alililonalo kushuka

SIMBA SC inapambana kumaliza nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu. Simba imeukosa ubingwa wa ligi hiyo kwa msimu wa

BAADA ya kuzikosa mechi mbili za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) kutokana na kuwa na majukumu ya timu ya taifa, Taifa Stars iliyokuwa Saudia kucheza mechi

LICHA ya upinzani mkali walionao kutoka kwa Simba SC ya Juma Mgunda, kocha wa Azam FC, Youssouf Dabo anaamini vijana wake wanaweza kupambana katika michezo

Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Patrice Motsepe amesema bao la kiungo mshambuliaji wa Yanga Stephanie Aziz KI dhidi ya Mamelodi Sundowns lilikuwa halali.