Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 598
Michezo

Mugalu afichua kinachoitesa Simba | Mwanaspoti

May 24, 2024 Admin

KIKOSI cha Simba kipo jijini Arusha na kesho jioni kitashuka  katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuikabili KMC katika pambano la Ligi Kuu Bara, huku

Read More
Burudani Michezo

Pati la kibingwa lipo Kwa Mkapa, mchongo mzima upo hivi

May 24, 2024 Admin

YANGA kesho wanaanza bata rasmi la ubingwa kwenye Uwanja wa Mkapa. Ni zamu ya Dijei kuwaleta chini ya gwaride na saluti za aina yake watakazopigiwa

Read More
Michezo

Gamondi ashindwa kujizuia kwa Maxi 

May 24, 2024 Admin

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi ameshindwa kujizuia kwa kumtaja kiungo Maxi Nzengeli, kuwa ni miongoni mwa wachezaji waliokibeba kikosi hicho msimu huu, tofauti na mitazamo

Read More
Michezo

Kigogo TFF amaliza utata ishu ya Inonga

May 24, 2024 Admin

SAA chache tangu beki wa kati wa Simba, Henock Inonga kufunguka kwamba mkataba alionao na klabu hiyo unamalizika mwishoni mwa msimu huu, huku mabosi wa

Read More
Michezo

Nabi amshauri Aziz Ki, akimtaja Mayele

May 24, 2024 Admin

KOCHA wa zamani Yanga, Nasreddine Nabi amemshauri kinara wa mabao na kiungo mshambuliaji wa mabingwa hao wa Tanzania, StephaneAziz Ki juu ya mipango ya kuondoka klabuni

Read More
Michezo

Mgunda: Tupo tayari kwa vita ya KMC

May 24, 2024 Admin

KAIMU kocha mkuu wa Simba, Juma Mgunda amesema hana wasiwasi kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC, kwani tayari ameshaliandaa jeshi alililonalo kushuka

Read More
Michezo

Maujanja ya Yanga yanavyoitesa Simba

May 24, 2024 Admin

SIMBA SC inapambana kumaliza nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu. Simba imeukosa ubingwa wa ligi hiyo kwa msimu wa

Read More
Michezo

Hilika arudi na bao, JKU hahishikiki Zenji

May 24, 2024 Admin

BAADA ya kuzikosa mechi mbili za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) kutokana na kuwa na majukumu ya timu ya taifa, Taifa Stars iliyokuwa Saudia kucheza mechi

Read More
Michezo

Dabo aitaka Ligi ya Mabingwa Afrika

May 24, 2024 Admin

LICHA ya upinzani mkali walionao kutoka kwa Simba SC ya Juma Mgunda, kocha wa Azam FC, Youssouf Dabo anaamini vijana wake wanaweza kupambana katika michezo

Read More
Michezo

Rais CAF: Bao la Aziz KI dhidi ya Mamelodi lilikuwa halali

May 24, 2024 Admin

Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Patrice Motsepe amesema bao la kiungo mshambuliaji wa Yanga Stephanie Aziz KI dhidi ya Mamelodi Sundowns lilikuwa halali.

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 597 598 599 … 651 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.