Simba Day 2024, wazee Simba wafunguka

SIMBA Day inayofanyika kesho itakuwa ni la 16, tangu tamasha hilo lianzishwe 2009, chini ya uongozi wa Hassan Dalali ‘Field Marshal’ na Mwina Kaduguda. Katika msimu mpya wa Simba Day yenye kauli mbiu ya Ubaya Ubwela, Mwanaspoti, limefanya mahojiano na wazee na viongozi wa zamani wa klabu hiyo akiwemo Dalali na kikubwa zaidi wameupongeza uongozi…

Read More

Dabo aiwahi Azamka in Rwanda

KOCHA wa Azam FC, Youssouph Dabo amemaliza mafunzo na kuliwahi pambano la Tamasha ya Rayon Sport linalofanyika kjijini KIgali, Rwanda likienda kwa jina la Azamka in Rwanda, huku akitamba kwamba kila kitu alikuwa anakijua na kwamba mashabiki wa timu hiyo wasubiri burudani kesho Jumamosi. Dabo aliondoka kambi ya Azam iliyokuwa Morocco ili kuja kupiga brashi…

Read More

Willy Onana ampisha Camara Simba

UJIO wa kipa mpya kutoka Guinea, Moussa Camara ‘Spider’ umemfanya winga wa Simba, Willy Onana kung’oka Msimbazi baada ya taarifa kuvunja ni yeye ndiye anayempisha kipa huyo aliyetua kuziba nafasi ya Ayoub Lakred aliyeumia kambini Misri. Taarifa ambazo Mwanaspoti tangu awali ilishazidokeza katika matoleo ya nyuma kwamba, kipa huyo aliyepewa mkataba wa miaka miwili akitua…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Moussa Diaby ameona mambo yasiwe mengi

UTAAMUA unachotaka katika maisha. Na wakati mwingine ukitaka kumuua nyani usimtazame sana usoni. Rafiki yetu Mfaransa Moussa Diaby ameamua kutomuangalia sana nyani usoni. Katika mfano huu mgeuze nyani kuwa maisha yako ya kawaida. Yeye hatakuwa wa kwanza na wala hawezi kuwa wa mwisho. Diaby alitua England msimu mmoja uliopita akitokea Bayer Leverkusen. Aliamua kuvaa jezi…

Read More

Nane zaliamsha Dar Kriketi ya Dunia U19

NCHI nane zimeliamsha jijini Dar es Salaam katika mashindano ya Kriketi ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia kwa vijana wenye umri wa chini ya miaka 19 barani Afrika, Tanzania ikiwa wenyeji. Mashindano hayo yaliyozipanga timu hizo nne katika makundi mawili A na B yameanza jana kwenye viwanja vya Gymkhana, jijini Dar es Salaam inatarajia kuchezwa…

Read More

Kibu Denis amerudi kimya kimya

Mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis ameungana na nyota wa kikiosi cha Simba SC tayari kwa maandalizi ya msimu mpya huku uongozi wa timu hiyo ukiweka wazi kuwa adhabu yake ipo pale pale kwa sababu alikiuka utaratibu. Staa huyo hakuwa pamoja na timu Misri ilipoweka kambi ya kujiandaa na msimu wa 2024/25 alitimka nchini kwenda Norway…

Read More

Shukran za Aziz Yanga SC

BAADA ya kutwaa tuzo nne za msimu uliopita, kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki amesema anajisikia kubarikiwa huku akimtaja kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi kuwa amehusika kwa asilimia kubwa. Aziz Ki amepata tuzo ya mfungaji bora, kiungo bora, mchezaji bora na ni mmoja wa wachezaji wanaounda kikosi bora cha msimu 2023/24. Mchezaji huyo…

Read More

Sloti ya Forest Rock kasino fanya haya ushinde

  KASINO ya Meridianbet inakupeleka hadi kwenye msitu wenye wanyama pori ambao, watakupa ushindi muda wowote unapokutana nao. Jisajili Meridianbet kisha ingia upande wa Kasino ya Mtandaoni. Katika Kasino ya Mtandaoni Meridiannbet kuna Sloti ya Forest Rock ina muundo wa kizamani wenye kolamu 5 na mistari 15 ya ushindi. Suala la kuchagua Meridianbet basi umechagua…

Read More

Ubaya Ubwela… Simba Day 2024 si mchezo

Kesho ndio kilele cha Tamasha la Simba Day kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam ambako wenyeji Simba SC wanatarajia kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya APR ya Rwanda. Huu utakuwa ni msimu wa 16 wa Tamasha la Simba Day lililoasisiwa mwaka 2009 chini ya uongozi wa Mzee Hassan Dalali na Mwina Kaduguda. Kuelekea…

Read More