Yanga yatawala tuzo Ligi Kuu, yatoa onyo

Dar es Salaam. Yanga imetawala tuzo zilizotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) jana, huku ikiahidi kuchukua zote msimu ujao. Tuzo hizo kwa ajili ya wachezaji na makocha waliofanya vizuri msimu uliopita zilitolewa kwenye Ukumbi wa Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam, huku Aziz Ki akizoa tatu. Aziz Ki alionekana kutakata kwenye tuzo hiyo…

Read More

DTB yabeba ndoo ya mabenki Dar

Timu ya Soka ya Diamond Trust Bank (DTB) imetawazwa kuwa bingwa mpya wa mashindano ya mabenki msimu huu yaliyofikia tamati usiku wa jana Agosti Mosi kwenye viwanja vya klabu ya Gymkhana, Dar es Salaam. DTB imeifunga timu ya CRDB benki bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliokuwa na upinzani mkali kwa pande zote. Hadi kipindi…

Read More

SIMBA SC YAMNASA MOUSSA CAMARA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Simba SC imemtambulisha golikipa Mguinea, Moussa Camara akitokea Horoya AC atayeziba pengo la Ayoub Lakred amabaye amepata majeraha yatakayomweka benchi kwa muda mrefu kidogo. Moussa Camara (alizaliwa 27 Novemba 1998) ni mchezaji wa kandanda wa Guinea ambaye alikuwa anacheza kama kipa wa Horoya na timu ya taifa ya Guinea, sasa ni mali halali ya Simba…

Read More

Simba yamtambulisha SpiderMan | Mwanaspoti

KLABU ya Simba imemtambulisha kipa mpya, Moussa Camara ‘Spider’ kwa mkataba wa miaka miwili akitokea AC Horoya ya Guinea. Camara ni maarufu kwa jina la Spiderman, kwa umahiri wake wa kudaka mipira, ni  raia wa Guinea mwenye umri wa miaka 25 amejiunga na klabu hiyo ya Msimbazi ili kuongeza nguvu katika eneo hilo baada ya…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Aussems awe makini na Singida BS

KOCHA wa mpira Patrick Aussems anapaswa kujipanga vilivyo Singida Black Stars anakoendelea na kibarua cha kuifundisha. Najua ukweli unauma, lakini hakuna namna inabidi tumwambie ukweli maana tunapenda kuona akiendelea kufundisha soka hapa nchini. Kwa namna alivyoanza, haonyeshi matumaini kama anaweza kuifanya Singida Black Stars kuwa na makali ambayo wengi wanategemea kuyaona yatakayoifanya iwe tishio kwa…

Read More

Srelio yazipigia hesabu timu kongwe

KOCHA msaidizi wa Srelio, Miyasi Nyamoko amesema anazipigia mahesabu timu tano kongwe zinazoshiriki ligi ya kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Miyasi ambaye pia ni mchezaji wa timu hiyo, alizitaja timu hizo ni JKT, Savio, ABC, Mchenga Star na UDSM Outsiders. Alisema wakishinda dhidi ya baadhi ya timu hizo, watakuwa katika nafasi ya nne…

Read More

Vijana Queens yaishusha DB Tronacatti

VIJANA Queens imeishusha DB Troncatti katika nafasi yake  ya uongozi wa ligi hiyo kwenye msimamo wa Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam. Vijana sasa inaongoza msimamo huo ikiwa na pointi 38 ikifuatiwa na DB Troncatti yenye 38 zikitofautiana kwa idadi ya kufunga vikapu, Vijana ikiwa na 1470, huku DB ikifunga 1439….

Read More

Kagere apewa mwaka Namungo | Mwanaspoti

KLABU ya Namungo imemuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja mshambuliaji wa timu hiyo, Meddie Kagere ili kuichezea msimu ujao. Nyota huyo aliyecheza timu mbalimbali zikiwemo Gor Mahia na Simba, alijiunga na Namungo FC kwa mkopo akitokea Fountain Gate ingawa kwa sasa kikosi hicho cha ‘Wauaji wa Kusini’, kimefanikiwa kuipata saini yake ili kuendelea kusalia tena….

Read More