Dar es Salaam. Iwapo unatumia simu yako unapoenda haja kubwa, huenda ukawa kwenye hatari ya kuathiriwa na kuvimba kwa mishipa ya damu iliyopo ndani au
Category: Michezo

MATAJIRI wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, wanaendelea na maboresho ya kikosi hicho kimya kimya kwa ajili ya msimu ujao ili kuleta ushindani,

VITA ya kuisaka tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao inaendelea leo kwa mechi ya play-off kati ya wenyeji Stand United ya Ligi ya

SIKU chache tu tangu aiwezeshe Yanga kubeba mataji mawili kwa mpigo kati ya matatu aliyotwaa tangu alipojiunga nayo Februari 4 mwaka huu, kocha Miloud Hamdi

MASHABIKI wa Simba bado wanaendelea kutafakari namna chama lao lilivyoshindwa kufanya kweli katika michuano iliyoshiriki msimu uliomalizika hivi karibuni kuanzia katika Ligi Kuu Bara, Kombe

MABINGWA wa Kihistoria Yanga, kwa sasa imeanza hesabu mpya za kukisuka kikosi kipya kwa ajili ya msimu ujao, kwa nia ya kuhakikisha inaendelea pale ilipoishia

:::::::::: Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imesema kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inayoongozwa

KOCHA wa zamani wa Yanga, Miguel Gamondi amerudi rasmi katika Ligi Kuu Bara baada ya kutangazwa rasmi kuwa kocha mkuu wa Singida Black Stars. Uongozi

TANZANIA tumepata bahati kubwa ya kuandaa mechi ya ufunguzi wa mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza Ligi za Ndani (CHAN) 2024 ambazo zitaandaliwa

KWA hapa Afrika, malisho bora zaidi ya kijani yapo katika klabu zinazopatikana Kaskazini mwa Afrika ambako mataifa yote yanazungumza lugha ya Kiarabu. Jamaa klabu zao