Simba Yatozwa Faini ya Milioni 10 Baada ya Dabi ya Kariakoo Zanzibar
Global Publishers March 6, 2026 0 Comments Klabu ya Simba imetozwa faini ya Shilingi Milioni 5 kwa kosa la kuingia uwanja wa New Amaan Complex kwa mlango usio rasmi, pamoja na faini nyingine ya Milioni 5 kwa kukataa kutumia chumba rasmi cha kuvalia. Aidha, klabu hiyo imetakiwa kulipa gharama za kutengeneza mlango wa chumba cha…