
Mchambuzi Saleh Jembe Atoa Maoni Kuhusu Mchango wa Yanga kwa CCM – Video – Global Publishers
Last updated Aug 14, 2025 Mchambuzi mashuhuri wa soka Bongo, Saleh Jembe, ametoa maoni yake kuhusu kitendo cha klabu ya Yanga SC, chini ya uongozi wa Rais wake Injinia Hersi Said, kuchangia Shilingi milioni 100 kwenye harambee ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kampeni za uchaguzi. Saleh Jembe amesema…