IMESALIA miezi saba kabla ya kufika mwaka 2025 ambapo Tanzania itashiriki fainali za mataifa ya Afrika mwakani nchini Morocco. Tanzania ni miongoni mwa timu nane
Category: Michezo

SIMBA imeshtuka hii ni baada ya kuamua kumuita kiungo mkabaji, Mzamiru Yassin haraka kwa ajili ya makubaliano ya mkataba mpya baada ya baadhi ya timu

DILI la Yanga na beki Chadrack Boka wa FC Lupopo limeingia ugumu baada ya pande zote mbili kukaa mezani kwa saa saba bila kufikia muafaka.

Mamia ya wadau wa riadha nchini wamejitokeza katika mazishi ya aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha riadha mkoa wa Pwani, Joseph Luhende. Luhende ambaye amewahi kuwa

MUDA mchache baada ya uongozi wa Mashujaa FC kuweka bayana kuachana na kinara wa mabao wa timu hiyo, Adam Adam mchezaji huyo amevunja ukimya na

MABAO mawili aliyofunga kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki katika ushindi wa wa 4-0 dhidi ya Dodoma Jiji yamemfanya kufikisha 17, hivyo kuwa kinara

Mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Yanga dhidi ya Azam FC sasa utapigwa Juni 2, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex,

Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Staa wao Aziz KI ana maliza Mkataba wake Yanga SC mwisho

Timu za Tanzania za wanawake na wanaume (U15) zinazoshiri michuano ya African Schools Football Championship 2024 inayoendelea Zanzibar, zimefuzu nusu fainali ya mashindano hayo. Timu

KIUNGO wa Asec Mimosas Serge Pokou amesema anasubiri tiketi ya ndege kutoka Simba ili atue Dar es Salaam. Hivi karibuni gazeti hili liliripoti kuwa Simba