Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 600
Michezo

Makipa watavyoiweka katika wakati mgumu Stars kuelekea AFCON

May 23, 2024 Admin

IMESALIA miezi saba kabla ya kufika mwaka 2025 ambapo Tanzania itashiriki fainali za mataifa ya Afrika mwakani nchini Morocco. Tanzania ni miongoni mwa timu nane

Read More
Michezo

Simba yafika bei kwa Mzamiru

May 23, 2024 Admin

SIMBA imeshtuka hii ni baada ya kuamua kumuita kiungo mkabaji, Mzamiru Yassin haraka kwa ajili ya makubaliano ya mkataba mpya baada ya baadhi ya timu

Read More
Michezo

Saa saba za Boka, Yanga mezani bila matumaini

May 23, 2024 Admin

DILI la Yanga na beki Chadrack Boka wa FC Lupopo limeingia ugumu baada ya pande zote mbili kukaa mezani kwa saa saba bila kufikia muafaka.

Read More
Michezo

Wadau wa riadha walivyoshiriki mazishi ya mwenyekiti Pwani

May 22, 2024 Admin

Mamia ya wadau wa riadha nchini wamejitokeza katika mazishi ya aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha riadha mkoa wa Pwani, Joseph Luhende. Luhende ambaye amewahi kuwa

Read More
Michezo

Adam afunguka kilichomng’oa Mashujaa | Mwanaspoti

May 22, 2024 Admin

MUDA mchache baada ya uongozi wa Mashujaa FC kuweka bayana kuachana na kinara wa mabao wa timu hiyo, Adam Adam  mchezaji huyo amevunja ukimya na

Read More
Michezo

Aziz KI ampindua Fei Toto, afikia rekodi ya Mayele

May 22, 2024 Admin

MABAO mawili aliyofunga kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki katika ushindi wa wa 4-0 dhidi ya Dodoma Jiji yamemfanya kufikisha 17, hivyo kuwa kinara

Read More
Michezo

Fainali FA kupigwa New Amaan Stadium, Zanzibar

May 22, 2024 Admin

Mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Yanga dhidi ya Azam FC sasa utapigwa Juni 2, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex,

Read More
Michezo

Yanga SC wapo kwenye mazungumzo na Aziz KI juu ya mkataba mpya

May 22, 2024 Admin

Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Staa wao Aziz KI ana maliza Mkataba wake Yanga SC mwisho

Read More
Michezo

Timu za Tanzania zafuzu nusu fainali ASFC 2024

May 22, 2024 Admin

Timu za Tanzania za wanawake na wanaume (U15) zinazoshiri michuano ya African Schools Football Championship 2024 inayoendelea Zanzibar, zimefuzu nusu fainali ya mashindano hayo. Timu

Read More
Michezo

Pokou, Simba freshi asubiri tiketi atue Dar

May 21, 2024 Admin

KIUNGO wa Asec Mimosas Serge Pokou amesema anasubiri tiketi ya ndege kutoka Simba ili atue Dar es Salaam. Hivi karibuni gazeti hili liliripoti kuwa Simba

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 599 600 601 … 651 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.