
WIMBO MPYA WA HARMONIZE GUMZO MITAANI – MWANAHARAKATI MZALENDO
Msanii na staa wa Bongo Flavour Tanzania, Harmonize, ametambulisha wimbo mpya wa Yanga (Yanga Hii Unaifungaje), atakao tamba nao siku ya kilele cha Wiki ya Mwananchi katika dimba la Benjamin Mkapa. Wimbo huo umeonekana kuwa ni bora kati ya nyimbo zote alizoziimbia timu yake huku mwenywe akidai kuwa Wiki ya Mwananchi ya msimu huu itakuwa…