Kisa migogoro, chaneta yapigwa pini kimataifa

SERIKALI imekipa kibarua Chama cha Mchezo wa Netiboli nchini (Chaneta) kutatua migogoro yao ya ndani sambamba na kufanya uchaguzi mzuri wa wachezaji wa timu ya Taifa kwa kufuata haki. Ilisema kwa kufanya hivyo, Chaneta itapata nafasi ya kuruhusiwa kushiriki michuano mbalimbali ya kimataifa na kufadhiliwa na serikali, pia itawapatia wadhamini wa kudumu wa kusapoti mchezo…

Read More

Olimpiki ilikuwa ya wanaume, Helene akaibadili

KWA mara ya kwanza katika historia ya miaka 128 ya michezo ya Olimpiki ambayo hivi sasa inafanyika Paris, Ufaransa, pamekuwepo usawa wa kijinsi uliokuwa ukipigiwa kelele kwa miaka mingi, hasa na wanawake. Katika michezo hii wapo washiriki 5,630 wanaume na wanawake ni 5,416. Haikuwa kazi rahisi kwa kiwango hiki kufikiwa kutokana na michezo ilianza kwa…

Read More

JKT yakomba kila kitu CDF Cup

HATIMAYE mashindano ya Mkuu wa Majeshi ‘CDF Cup’ yametamatika juzi Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam, huku JKT ikiwa mshindi wa jumla wa mashindano hayo ikitawala kwa kubeba vikombe karibu kila mchezo. Mashindano hayo ambayo maalumu kwa ajili ya kuadhimisha miaka 60 ya Jeshi la Ulinzi wa Wanachi Tanzania (JWTZ) yalikuwa kwa siku 10 ambayo…

Read More

SAKATA LA KIBU: Simba yatoa sharti jipya, yataja bei

Dar es Salaam. Simba imetoa sharti gumu kwa mchezaji wake Kibu Denis na Kristiansund BK inayomhitaji ili imruhusu mshambuliaji huyo kujiunga na timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Norway. Sharti hilo ni kuitaka Kristiansund BK kulipa kiasi cha Dola 1 milioni (Sh 2.7 bilioni) ili kumnunua moja kwa moja mshambuliaji huyo vinginevyo haitokuwa tayari kumuachia…

Read More

Kocha Red Arrows aikubali Yanga

KOCHA Mkuu wa Red Arrows ya Zambia, Chisi Mbewe amesema, baada ya kupata mualiko wa kucheza na Yanga katika kilele cha ‘Wiki ya Mwananchi’, imekuwa ni jambo nzuri kwao, kwani wanaenda kukutana na timu imara itakayowapa changamoto mpya. Timu hiyo ambayo ni mabingwa wa Ligi Kuu ya Zambia (ZPL), itawasili muda wowote kuanzia sasa kwa…

Read More

Maxime anaandaa Dodoma Jiji ya mastaa

KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime amesema anaendelea kukisuka kikosi chake kuwa bora na kutoa ushindani mkubwa msimu ujao, huku akitaka kuona kila mchezaji ndani ya kikosi hicho anakuwa staa. Katika maandalizi ya timu hiyo kuelekea msimu ujao, tayari imecheza mechi tatu za kirafiki ikianza na Pamba na kushinda bao 1-0, ikaichapa Singida Black…

Read More

Pamba sasa mambo yameiva | Mwanaspoti

KIPA mkongwe kwenye Ligi Kuu Bara, Shaban Kado amesema maandalizi yanayofanywa na Pamba Jiji ni ishara ya timu hiyo kutaka kufanya vizuri kwenye michuano hiyo na kutotaka mazoea ya timu zinazopanda daraja kushuka mwishoni mwa msimu. Kado ambaye ni msimu wake wa pili Pamba Jiji baada ya kuipandisha Ligi Kuu na kuongezewa mwaka mmoja, alisema…

Read More

PAULINE: Kulea, kucheza soka si mchezo

KAMA ulikuwa unajua kuwa mchezaji wa kike akibeba ujauzito na kujifungua kiwango chake kinashuka uwanjani basi sio kweli ni wewe mwenyewe tu juhudi zako mazoezini. Hilo analithibitisha Golikipa wa Baobab Queens, Jeanne Pauline Umuhoza (33), raia wa Rwanda ambaye baada ya kupata mtoto alirudi kiwanjani na kukiwasha kama ilivyo awali. “Wengine wanakuwa wavivu ti lakini…

Read More