SPOTI DOKTA: Kimbia ukate mafuta mwilini

KUMEKUWAPO na matukio mbalimbali ya mbio za hisani, ambayo yamekuwa yakitumika kuhamasisha mazoezi kama nyen-zo ya kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza maarufu kitabibu kama NCD. Katika mbio nyingi viongozi wa serikali, wakuu wa taasisi mbalimbali toka serikalini na binafsi wamekuwa wakionyesha mfano wa umuhimu wa mazoezi kwa jamii ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza. Mwanaspoti Dokta ikiwa…

Read More

Chanzo neno hat-trick hiki hapa

MARA nyingi utasikia mchezaji wa kandanda kafunga hat-trick, yaani mabao matatu katika mchezo, lakini mashabiki wengi na hata baadhi ya waandishi wa habari za michezo hawajui asili ya hili neno hat-trick. Mara nyingi waandishi na wachambuzi wa  michezo nchini huzungumzia mchezaji kufunga ‘hat-trick’ katika kandanda na hawaendi mbali zaidi. Tafsiri fupi inayotolewa ni kwamba hat-trick…

Read More

Kikapu Singida wafundishwa | Mwanaspoti

KOCHA msaidizi wa timu ya taifa ya kikapu kwa wanawake wenye ya umri wa miaka 16, Nelious Mbungeni amesema  mafunzo ya kikapu waliyoyatoa mkoani Singida yalimalizika kwa mafanikio. Nelious aliliambia Mwanaspoti kwamba, wasichana 60 wenye umri wa kati ya miaka 10-18 walijitokeza kupata mafunzo  katika Uwanja wa Karumeru uliopo wilayani Itigi. “Idadi hiyo ni kubwa…

Read More

UDSM Outsiders vichapo kiduchu | Mwanaspoti

Wakati Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikiendelea katika Uwanja wa Donbosco Osterbay, timu ya UDSM Outsiders inaongoza kwa kufungwa pointi chache. UDSM inayoshika nafasi ya pili katika msimamo wa BDL imefungwa pointi 821 ikifuatiwa na Dar City iliyofungwa 987. Timu zingine ni ABC iliyofugwa pointi 893, JKT ABC (893), Savio (1021)…

Read More

Rehema: Ngumi hadi u-dj, konda, bodaboda

KATIKA mfululizo wa Mwanaspoti kukuletea simulizi tamu za mabondia wa ngumi za kulipwa, tumefunga safari hadi Bagamoyo mkoani Pwani kukutana na bondia Rehema Abdallah wa Sharifa Boxing Gym. Siyo bondia mwenye jina katika mchezo wa ngumi lakini ndiyo bondia anayeshikilia rekodi ya kucheza mapambano mengi bila ya kupoteza kwa lugha ya majahazi tunasema ‘undefeated’ Imetuchukua…

Read More

Kocha Mkenya akabidhiwa MIKOBA Tabora United

TABORA United msimu ujao itakuwa chini ya Kocha Mkenya, Francis Kimanzi ambaye muda wowote atatambulishwa. Kocha huyo wa zamani wa Tusker ya Kenya na timu ya Taifa hilo tayari amefikia makubaliano ya awali na Tabora United na kilichobaki ni kutua Tanzania kusaini mkataba wa mwaka mmoja waliokubaliana. Kimanzi mwenye leseni ya UEFA daraja A anakuja…

Read More

Coastal Union bado kidogo wafunge hesabu

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, David Ouma amesema asilimia 70 kikosi chake kipo tayari kwa ajili ya kuanza msimu mpya huku akidai kuwa 30 zilizobaki ni za mbinu. Akizungumza na Mwanaspoti, Ouma ambaye yupo Pemba sambamba na timu hiyo, alisema maandalizi yanakwenda vizuri na wachezaji kwa asilimia kubwa wameingia kwenye mfumo. “Kikosi kinaendelea vizuri na…

Read More

Sura mpya tumaini la mabao Ligi Kuu

Kasi ya kufumania nyavu ambayo imeanza kuonyeshwa na wachezaji wapya waliosajiliwa na timu tofauti za Ligi Kuu Bara kwenye mechi za maandalizi ya msimu mpya (pre-season) hapana shaka inazipa imani chanya timu zao kwamba watakuwa na mchango mkubwa katika msimu ujao. Tathmini iliyofanywa na gazeti hili kwa timu saba ambazo zimeshacheza mechi za kujipima nguvu…

Read More

Mguu sawa… Fadlu awakomalia Mutale, Mukwala

SIMBA imekamilisha ‘pre-season’ Misri baada ya kuwa huko kwa wiki tatu na leo Jumatano imerejea Dar kumalizia maandalizi ya mwisho kabla ya Simba Day Jumamosi na msimu mpya utakaoanza Agosti 8 kwa kucheza Ngao ya Jamii. Katika wiki tatu ilizokaa Misri, Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Fadlu Davids amekiona kikosi baada ya kucheza mechi tatu…

Read More