Yanga kuna kazi, Gamondi akuna kichwa

NDANI ya Yanga kuna kazi kwelikweli. Unaweza kusema Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Miguel Gamondi ni kama yupo katika wakati mgumu akikuna kichwa namna ya kupanga kikosi chake cha kazi, lakini upande mwingine, mastaa wa timu hiyo wanabaki tumbo joto kupambania namba zao. Hiyo inatokana na namna usajili wao ulivyofanyika kipindi hiki cha dirisha kubwa…

Read More

KUTOKA KAMBINI MOROCCO… Azam FC haitaki kurudia makosa

BAADA ya ratiba ya mechi za hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kutoka na Azam FC kupangiwa APR ya Rwanda na baadaye Pyramids ya Misri endapo itafuzu uongozi wa klabu hiyo hautaki kurudia makosa. “Katika misimu miwili iliyopita tulipangwa na timu ambazo tuliziona tunazimudu na tungeweza kuzitoa kirahisi,” anasema Nassor Idrisa ‘Father’, mwenyekiti…

Read More

Kigamboni Queens yakiona cha moto

TIMU ya Kigamboni Queens imekiona cha moto katika Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ni baada ya kufungwa na Vijana Queens kwa pointi 119-54. Mchezo huo ulioshuhudiwa na watazamaji wengi ulifanyika katika Uwanja wa Donbosco Osterbay. Timu ya Vijana Queens ilianza mchezo katika robo ya kwanza kwa kasi huku ikitumia mbinu…

Read More

Makambo Jr aanza kukiwasha Ujerumani

BAADA ya straika Mtanzania Athuman Masumbuko ‘Makambo’ kutambulishwa FCA Darmstadt ya Ujerumani juzi, amecheza mchezo wake wa kwanza wa ligi akiitumikia kwa dakika 20 dhidi ya FC Germania. Mchezo huo ulipigwa katika Uwanja wa Sportplatz Rödermark-Ober Roden, ambapo timu anayoichezea straika huyo ikiwa ugenini ilipoteza kwa mabao 2-1. Timu anayochezea kinda huyo wa zamani wa…

Read More

Young Mvita imeanza hivyo | Mwanaspoti

TIMU ya Young Mvita imeifunga North Mara kwa pointi 46-35 katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mara  uliofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Ualimu Tarime. Katika mchezo huo North Mara iliongoza katika robo ya kwanza kwa pointi 9-2, ilhali Young Mvita iliongoza katika robo zote tatu kwa pointi 15-10, 15-6, 14-10….

Read More

Yanga yafumua kikosi cha Kaizer Chief

BAADA ya Yanga kuichapa mabao 4-0 Kaizer Cheif ya Sauzi, Mabosi wa kikosi hicho wameshtuka na kuanza hesabu kali za usajili, huku kocha akiwataka kuboresha maeneo matatu. Yanga ilicheza na kikosi hicho kilicho chini ya kocha Nasreddine Nabi, ambaye aliwafundisha wana Jangwani hao msimu wa 22/23 na kuwatembezea kipigo huku wakibeba Kombe la Toyota. Awali,…

Read More

Enekia atimkia Mexico | Mwanaspoti

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania, Enekia Lunyamila amejiunga na klabu ya Mazaltan inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini Mexico kwa mkataba wa miaka miwili. Kiraka huyo msimu uliopita alikuwa akiitumikia Eastern Flames ya Saudia ambayo ilimaliza nafasi ya saba kati ya timu nane zinazoshiriki Ligi ya Wanawake nchini humo. Msimu uliopita Mazaltan ambayo ni timu…

Read More

Saliboko ashika nafasi ya 71 Olimpiki

TANZANIA imepata pigo lingine katika Michezo ya Olimpiki ya Paris inayofanyika Ufaransa baada ya muogeleaji Collins Saliboko kushindwa kufuzu hatua inayofuata kwenye mashindano ya mita 100 freestyle, baada ya leo Jumanne Julai 30, 2024 kukamata nafasi ya 71 kati ya waogeleaji 79 alioshindana nao. Kabla ya hapo, jana Jumatatu Julai 29, 2024, mchezaji wa judo…

Read More

Barbara achomoza kibabe Simba, Yanga

NAMBA hazijawahi kudanganya. Na waliobuni msemo huo wala hawakukosea. Hii ni baada ya Barbara Gonzalez aliyewahi kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba, kuchomoa kibabe mbele ya watendaji wengine wa klabu hiyo na watani wao Yanga katika kipindi cha kushikilia nafasi hiyo Msimbazi. Ndio. Simba juzi kati imemtambulisha Mtendaji Mkuu (CEO) mpya, Uwayezu Francois Regis kuchukua…

Read More