Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 604
Michezo

Gamondi: Kwa mziki huu wewe huogopi!

May 18, 2024 Admin

Yanga inashuka dimbani ikiwa tayari imetawazwa kuwa bingwa wa Ligi Kuu ikisaka taji la pili dhidi ya Ihefu FC kwenye mchezo huo utakaochezwa saa 9:30

Read More
Michezo

MTU WA MPIRA: Ipo siku ‘ndoa’ ya Chama na Yanga itafungwa tu

May 18, 2024 Admin

HUWA nasema na nitaendelea kuamini hivyo kila siku. Clatous Chama ndiye mchezaji wa kisasa aliyeweka kiwango cha ubora kwenye Ligi ya Tanzania Bara. Ni kweli

Read More
Michezo

Namba za Azam siku 108 bila Dube

May 18, 2024 Admin

ZIMETIMIA siku 108 ambazo ni sawa na miezi mitatu bila uwepo wa mshambuliaji Prince Dube ndani ya kikosi cha Azam FC, lakini kinachofurahisha ni Feisal

Read More
Michezo

Ken Gold yataka mastaa wa Ligi Kuu

May 18, 2024 Admin

Ken Gold imesema itakuwa makini kufuatilia mechi zilizobaki za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA) ili kupata wachezaji watakaojumuishwa katika kikosi cha timu

Read More
Michezo

Frank Komba na rekodi ya miaka kumi beji ya Fifa

May 18, 2024 Admin

Jina la Frank Komba sio geni na linafahamika sana na wadau wa mpira wa miguu kutokana na kile ambacho amekuwa akiufanyia mchezo huo. Huyu ni

Read More
Michezo

Bajana, Malckou wafanyiwa upasuaji, kukaa nje miezi minne

May 18, 2024 Admin

Klabu ya Azam FC imethibitisha kuwa itawakosa nyota wa kiungo mkabaji, Sospeter Bajana na beki wa kati, Malickou Ndoye kwa miezi minne baada ya kufanyiwa

Read More
Michezo

Kinzumbi aipeleka Yanga mezani kwa Mazembe, “ni ngumu kukataa”

May 18, 2024 Admin

WINGA wa TP Mazembe, Philip Kinzumbi amezungumzia taarifa za kutakiwa na Yanga  akisema kwa mzuka uliopo ndani ya timu hiyo ni vigumu kukataa ofa yao.

Read More
Michezo

Maneno ya Diarra kwa Matampi kuhusu kipa bora, afunguka kutua Msimbazi

May 18, 2024 Admin

NYOTA wa Yanga, Djigui Diarra amempongeza kipa mwenzake wa Coastal Union Mkongomani Ley Matampi kutokana na ushindani anaompa katika Ligi Kuu Bara. Kauli ya Diarra

Read More
Michezo

JKU inautaka ubingwa, yampiga mtu wiki ZPL

May 18, 2024 Admin

SAA 24 tu, tangu maafande wa KVZ walipoifumua Maendeleo 7-3 katika mechi ya Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL), vinara wa ligi hiyo, JKU imejibu mpigo

Read More
Michezo

Coastal, Azam nusu fainali ya kibabe FA

May 18, 2024 Admin

KESHO mchezo wa nusu fainali ya kwanza Kombe la Shirikisho utachezwa katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza kati ya Coastal Union dhidi ya Azam

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 603 604 605 … 648 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.