Yanga inashuka dimbani ikiwa tayari imetawazwa kuwa bingwa wa Ligi Kuu ikisaka taji la pili dhidi ya Ihefu FC kwenye mchezo huo utakaochezwa saa 9:30
Category: Michezo

HUWA nasema na nitaendelea kuamini hivyo kila siku. Clatous Chama ndiye mchezaji wa kisasa aliyeweka kiwango cha ubora kwenye Ligi ya Tanzania Bara. Ni kweli

ZIMETIMIA siku 108 ambazo ni sawa na miezi mitatu bila uwepo wa mshambuliaji Prince Dube ndani ya kikosi cha Azam FC, lakini kinachofurahisha ni Feisal

Ken Gold imesema itakuwa makini kufuatilia mechi zilizobaki za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA) ili kupata wachezaji watakaojumuishwa katika kikosi cha timu

Jina la Frank Komba sio geni na linafahamika sana na wadau wa mpira wa miguu kutokana na kile ambacho amekuwa akiufanyia mchezo huo. Huyu ni

Klabu ya Azam FC imethibitisha kuwa itawakosa nyota wa kiungo mkabaji, Sospeter Bajana na beki wa kati, Malickou Ndoye kwa miezi minne baada ya kufanyiwa

WINGA wa TP Mazembe, Philip Kinzumbi amezungumzia taarifa za kutakiwa na Yanga akisema kwa mzuka uliopo ndani ya timu hiyo ni vigumu kukataa ofa yao.

NYOTA wa Yanga, Djigui Diarra amempongeza kipa mwenzake wa Coastal Union Mkongomani Ley Matampi kutokana na ushindani anaompa katika Ligi Kuu Bara. Kauli ya Diarra

SAA 24 tu, tangu maafande wa KVZ walipoifumua Maendeleo 7-3 katika mechi ya Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL), vinara wa ligi hiyo, JKU imejibu mpigo

KESHO mchezo wa nusu fainali ya kwanza Kombe la Shirikisho utachezwa katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza kati ya Coastal Union dhidi ya Azam