MWISHO MBAYA: Mbappe, PSG wanavyotafuta kuumizana

PARIS, UFARANSA: WIKI kadhaa zilizopita, kulikuwa na stori ya Kylian Mbappe kutaka kuishtaki Paris Saint-Germain (PSG) kwa kutomlipa baadhi ya mishahara yake ambapo mama yake alithibitisha. Timu ya wanasheria wa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa iko tayari kuwasilisha kesi mahakamani dhidi ya mabingwa hao wa Ligi Kuu Ufaransa (Ligue 1), kwa kudai kwamba mishahara…

Read More

Benki ya CRDB yaipongeza Yanga kwa Jitihada za Kuendeleza Soka Nchini – MWANAHARAKATI MZALENDO

Meneja wa Benki CRDB Kanda ya Dar es Salaam Muhumuliza Buberwa ameipongeza klabu ya Yanga kwa jitihada wanazozifanya kuendeleza Soka nchini. “Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nitashindwa kuwapongeza Yanga kwa jitihada kubwa ambayo wameifanya kwenye maendeleo ya soka, tunayo furaha kuwatangazia kuwa tutakuwa pamoja kama mdhamini mkuu wa wiki ya Mwananchi, jambo la muhimu sana…

Read More

Kwa nini Kinana alirudisha majeshi CCM, kujiuzulu?

Julai 29, 2024, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Abdulrahman Kinana kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho-Bara. Uamuzi kama huo ulikuwa Mei 28, 2018, Kinana aliandika barua ya kujiuzulu ukatibu mkuu wa CCM kwa mwenyekiti wa wakati huo, Rais John Magufuli. Hata hivyo, Aprili mosi, 2022…

Read More

Simba yapata akili mpya kabla ya Simba Day, Dabi

SIMBA ni wajanja sana. Wanafahamu kwamba wapinzani wao wa jadi, Yanga watakutana nao Agosti 8 kwenye Ngao ya Jamii, wakaamua kufanya sapraizi ambayo wanaamini itawalipa. Leo Jumanne, Simba ambao wanatimiza wiki ya tatu kamili tangu waanze mazoezi katika kambi nchini Misri, wakiwa huko wamepata akili mpya kuelekea Simba Day ambayo itafanyika siku tano kabla ya…

Read More

Aussems: Kuanzia sasa ni zamu ya ‘first 11’

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars (SBS), Patrick Aussems amesema bado anaendelea kusuka kikosi cha ushindani kwa kutumia mechi za kirafiki huku akidai timu hiyo ipo tayari, lakini kazi ni kwake kusaka kikosi cha kwanza. Aussems amefunguka hayo siku chache baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Dodoma jiji ambapo amedai kuwa ameanza…

Read More

Ni Yanga na Red Arrows Yanga Day

Ni Rasmi klabu ya Yanga imethibitisha kuwa itacheza na timu ya Red Arrows ya Zambia, kwenye kilele cha Mwananchi Day kitakachofanyika Jumapili Agosti 4, mwaka huu. Red Arrows, mabingwa wa Kombe la Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame 2024) watacheza na Yanga ambayo pia imetoka kutwaa ubingwa wa Toyota Cup Afrika…

Read More

Moses Phiri amalizana na Power Dynamos

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba Mzambia, Moses Phiri amejiunga na Power Dynamos FC ya Zambia kwa mkataba wa miaka miwili. Mshambuliaji huyo alikuwa akiichezea timu hiyo aliyojiunga nayo kwa mkopo Januari 16, mwaka huu akitokea Simba, baada ya kutokuwa na nafasi ya kucheza mara kwa mara katika kikosi cha kwanza hivyo kuamua kutafuta changamoto sehemu nyingine….

Read More