Ng’ombe 20 wa supu kuchinjwa Jangwani

UONGOZI wa Yanga unatarajia kuchinja ng’ombe 20 kwa ajili ya kugawa supu kwa mashabiki wa timu hiyo kabla ya tamasha la Wiki ya Mwananchi, Agosti 4 mwaka huu. Hayo yamesemwa na Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Mwananchi ambapo ametaja matukio manne watakayoyafanya kabla ya tamasha hilo. Kamwe amesema…

Read More

Yanga kurejea alfajiri na kombe

BAADA ya kutwaa taji la Toyota Cup Afrika Kusini kikosi cha Yanga kinatarajia kuwasili alfajiri ya kesho. Yanga imetwaa taji hilo baada ya kuifunga Kaizer Chiefs mabao 4-0 mchezo wa kimataifa wa kirafiki kwa timu zote mbili ambazo zinajiandaa na ligi na michuano ya kimataifa. Akizungumza na wanahabari, Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe amewaita…

Read More

Ni Yanga na Red Arrows kwa Mkapa

Ni Rasmi klabu ya Yanga imethibitisha kuwa itacheza na timu ya Red Arrows ya Zambia, kwenye kilele cha Mwananchi Day kitakachofanyika Jumapili Agosti 4, mwaka huu. Red Arrows, mabingwa wa Kombe la Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame 2024) watacheza na Yanga ambayo pia imetoka kutwaa ubingwa wa Toyota Cup Afrika…

Read More

PUMZI YA MOTO: Simba na usajili kama Bongo Dar es Salaam

KATIKA wimbo wa Bongo Dar es Salaam wa Profesa Jay wa mwaka 2001 ndani ya albamu ya Machozi, Jasho na Damu, mkali huyo wa mashairi alihadithia ujanja ujanja wa kimjini unaopatikana Dar es Salaam karne ya 21. Profesa Jay ambaye alitoka kubadilisha jina kutoka Nigger Jay, aliimba maneno yafuatayo kuelezea mikasa ya kimjini iliyokuwa ikiendelea…

Read More

Yanga yampa ulaji nyota wa Azam FC Cheickna Diakite

NYOTA mpya wa Azam FC raia wa Mali, Cheickna Diakite amesema wazi kwamba huenda mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika ulioikutanisha timu aliyokuwa akiichezea ya AS Real Bamako dhidi ya Yanga msimu wa 2022–2023, ndiyo iliyomfanya atue nchini kukipiga kwa matajiri hao wa Chamazi. Winga huyo aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu alisema, wakati timu…

Read More

Yanga yampa ulaji Cheickna Diakite

NYOTA mpya wa Azam FC raia wa Mali, Cheickna Diakite amesema wazi kwamba huenda mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika ulioikutanisha timu aliyokuwa akiichezea ya AS Real Bamako dhidi ya Yanga msimu wa 2022–2023, ndiyo iliyomfanya atue nchini kukipiga kwa matajiri hao wa Chamazi. Winga huyo aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu alisema, wakati timu…

Read More

JIWE LA SIKU: Ahadi za Hersi na njia anayopita Yanga

JULAI 9, 2022, ilikuwa siku ya kihistoria kwa mashabiki na wanachama wa Yanga baada ya kumchagua Injinia, Hersi Said kuwa rais wa klabu hiyo huku akiwa ndiye mgombea pekee katika kinyang’anyiro hicho kilichofanyika jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya uchaguzi huo, Wakili Ally Mchungahela, alisema katika mkutano huo kwamba, kwa mujibu wa kanuni…

Read More

Soka litakavyoiteka Tanzania Agosti | Mwanaspoti

Soka ni kama lilikuwa limepumzika baada ya msimu uliopita kumalizika lakini muda mfupi ujao, burudani zinarejea nchini kupitia matukio tofauti yahusuyo mchezo huo. Na burudani hiyo inakuja kibabe ambapo ndani ya mwezi ujao wa Agosti kutakuwa na idadi kubwa ya matukio ya kisoka ambayo hapana shaka yanasubiriwa kwa hamu na wapenzi wengi wa mchezo huo….

Read More

Kagoma afichua ndoto ya udaktari ilivyomezwa na soka

NAMBA 21 mgongoni iliyokuwa inatamba dimba la kati katika kikosi cha Singida Fountain Gate msimu wa 2024/25, msimu ujao tutarajie kuiona Simba. Sio mwingine ni kiungo fundi mzawa panga pangua chini ya makocha wote waliopita Singida Fountain Gate, Yusuf Kagoma ambaye amesema anatamani kutumia namba hiyo akiwa na timu yake mpya. Spoti Mikiki limefanya mahojiano…

Read More