Kutoka kambi ya Azam FC… Mchezaji mpya aikataa namba ya mikosi

ILITOKEA kule Zanzibar pale Azam FC ilipomtambulisha Franklin Navarro kwenye dirisha dogo. Mchezaji huyo aliikataa jezi aliyotambulishwa nayo na ikabidi abadilishiwe haraka sana. Na sasa imetokea tena hapa Benslimane, Morocco ambako nyota katika usajili mpya wa matajiri wa Chamazi amekataa namba ya jezi iliyoandaliwa kwa ajili yake. Nyota huyo ni Mamadou Samake ambaye alipewa namba…

Read More

Azam kutesti kwa Wydad AC

BAADA ya juzi kulazimishwa sare ya 1-1 na Union Touarga, matajiri wa soka la Bongo, Azam FC leo usiku watashuka tena uwanjani kutesti mitambo mbele ya mabingwa wa zamani wa Morocco na Afrika, Wydad Casablanca ikiwa ni mechi ya mwisho kabla ya kuvunja kambi kurejea nchini. Azam na Wydad zitaonyeshana kazi katika mchezo wa kirafiki…

Read More

Mpanzu kayapotezea mamilioni haya Bongo

WINGA Mkongomani Ellie Mpanzu tayari yuko Ubelgiji, anakotaka kujiunga na klabu ya KRC Genk, lakini hapa Tanzania kaziacha klabu mbili kwenye mataa zikibaki na fedha zao. Iko hivi. Hapa nchini, klabu za Simba na Singida Black Stars ndizo zilizokuwa zikipigana vikumbo kumwania winga huyo na kila moja ikiweka nguvu yake ya fedha. Simba ndio iliyoanza…

Read More

Phillipe Kinzumbi aibua vita mpya

YULE winga Phillipe Kinzumbi amekuwa akiwaniwa na Yanga kabla ya dili kukwama, ameibua mapya kule DR Congo akikaribia kuziingiza katika mgogoro Raja Athletic ya Morocco dhidi ya klabu yake ya TP Mazembe. Alichofanya Kinzumbi ni kwamba baada ya kuwabembeleza Mazembe kuilegezea Yanga kisha kumuuza hapa nchini, kisha klabu yake kugoma, akafanya uamuzi mgumu akikubali kuchukua…

Read More

Steven Mukwala aandaa sapraizi Msimbazi

KIKOSI cha Simba jana usiku kilikuwa uwanjani kucheza mechi ya pili ya kirafiki ikiwa kambini, jijini Ismailia, Misri huku mshambuliaji mpya wa kikosi hicho, Mganda Steven Mukwala akifichua namna alivyofurahishwa na maandalizi ya timu hiyo, akiahidi kuwafanyia sapraizi mashabiki wa klabu hiyo. Mshambuliaji huyo alijiunga na Simba, hivi karibuni akitokea timu ya Asante Kotoko ya…

Read More

Ali Kamwe aaga Jangwani, ataja sababu

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe ametangaza kuachia nafasi hiyo huku akisema muda wake umemalizika. Kamwe aliyehudumu katika nafasi hiyo kwa miaka miwili amethibitisha kuondoka Yanga kupitia ukurasa wake wa mtandao w Instagram leo Jumapili Julai 28, 2024. “Mtumbuizaji mzuri anatakiwa kujua ni wakati gani wa kuondoka Jukwaani. Maneno ya hekima kutoka…

Read More

JICHO LA MWEWE: Kibu mkandaji ametukumbusha zama za kina RamaDHAN Lenny

ZAMANI tuliwahi kuishi maisha ya kushangaza sana katika soka. Mfano ni pale mchezaji anapoendelea kuwa mali ya klabu hata msimu unapoishi licha ya kutokuwa na mkataba. Zamani klabu zilikuwa hazina mikataba. Wachezaji walikuwa wanasaini katika fomu moja. Bado wachezaji walilazimika kutoroka hata msimu ulipoisha na kwenda nje kusaka malisho. Wachezaji wengi walikuwa wanatorokea Uarabuni. Ilikuwa…

Read More

Kitendawili Mwanachi Day! Yanga yaficha jina la timu

KLABU ya Yanga jana usiku ilizianika jezi mpya za msimu ujao, zilizogeuka gumzo ikiwa ni siku chache tangu watani wao, Simba kuzindua uzi wao katika hifadhi ya Mikumi, Morogoro huku mabosi wa klabu hiyo wakificha jina la timu itakayocheza nao katika Tamasha la Kilele cha Wiki ya Mwananchi, Agosti 4. Simba ilizindua jezi na kuweka bayana…

Read More