Yacouba arudi Bongo kuliamsha tena

NYOTA wa zamani wa Yanga na Ihefu (sasa Singida Black Stars), Yacouba Songne amerejea Bongo akisaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Tabora United inayoshiriki Ligi Kuu Bara kwa msimu wa pili sasa. Yacouba amejiunga na Tabora, akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na AS Arta/Solar7 ya Djibouti aliyojiunga nayo akitokea Ihefu na kufanikiwa kutwaa…

Read More

Beatrice anayetamani kina Job wa soka la Wanawake Moro

MWENYEWE anasema ndoto aliyonayo ni kutaka kuona Mkoa wa Morogoro unafunika katika soka la Wanawake kama ilivyo kwa vipaji kibao kinavyotawala ndani ya Ligi Kuu Bara. Huyu ni Beatrice Seleman, Mwenyekiti wa Soka la Wanawake Mkoa wa Morogoro, alichukua kijiti cha Edna Lema, kocha wa zamani wa Biashara United aliyerejea Yanga Princess inayoshiriki Ligi Kuu…

Read More

Yanga SC Princess yamsaka mbaya wao

BAADA ya kuiwezesha Ceasiaa Queens kumaliza katika nafasi ya nne, kocha mkuu wa timu hiyo, Noah Kanyanga ameanza kuwindwa na Yanga Princess na huenda msimu ujao akakiongoza kikosi hicho cha Jangwani katika Ligi Kuu ya Wanawake nchini. Kanyanga alikuwa na msimu bora huku akivuna alama nne kwa Yanga baada ya kushinda mchezo mmoja kwa bao…

Read More

40 Gofu nchi 9 kuliamsha Zanzibar

WACHEZA gofu 40 kutoka mataifa 9 duniani wamethibitisha kushiriki katika michuano ya maalum ya Maofisa Watendaji Wakuu na Mabalozi, huku waandaaji wake wakisema zimesalia nafasi 30 tu kabla ya mashindano kutimua nyasi visiwani Zanzibar mwezi Septemba mwaka huu. Nahodha wa Klabu ya Gofu ya Sea Cliff ya Zanzibar na mratibu wa mashindano hayo, Elias Soka…

Read More

Mbeya Unity sio kinyonge! | Mwanaspoti

WAKATI Ligi Kuu ya Netiboli nchini ikitarajiwa kuanza Agosti 1 huko jijini Arusha, Mbeya Unity Queens imesema hawataenda kinyonge katika mashindano hayo, bali kupambania heshima ya Mkoa wa Mbeya kubeba ubingwa, huku ikilia na ukata. Mbeya Unity ndio msimu wake wa kwanza kushiriki ligi hiyo baada ya kupanda daraja mwaka huu na kuungana na ndugu…

Read More

Gymkhana, Lugalo moto utakuwaka | Mwanaspoti

LITAKUWA ni juma lililosheheni shughuli nyingi kama mzinga wa nyuki kwenye viwanja vya Dar Gymkhana na TPDF Lugalo yatakakofanyika mashindano mawili makubwa ya kuukaribisha mwezi Agosti jijini, Dar es Salaam. Kwenye viwanja vya TPDF Lugalo, mwezi Agosti utakaribishwa na mashindano ya wazi ya KCB yatakayoshirikisha wachezaji kutoka klabu zote nchini na wachezaji wa jinsi zote…

Read More

Songea United kazi imeanza huko

BAADA ya kukamilisha mchakato wa kubadili jina kutoka Fountain Gate Talents kuwa Songea United, uongozi umesema kwa sasa unahamia katika kusuka timu mpya kwa usajili bora ili kuisaka Ligi Kuu msimu ujao. Timu hiyo yenye makazi yake mjini Songea, inatarajia kushiriki Championship msimu ujao ambapo awali ilijulikana kama FGA Talents na sasa itasomeka Songea United…

Read More

KenGold mambo ni moto kambini

WIKI tatu ambazo KenGold imekaa katika mji wa Tukuyu ikijifua kwa ajili ya Ligi Kuu, zimewafanya vijana wa timu hiyo kuwa tayari kuingia uwanjani japokuwa kwa sasa kocha mkuu wa KenGold, Fikiri Elias amesema anatafuta kikosi cha kuanza (First Eleven). Msimu ujao unaoanza Agosti 16 ndio wa kwanza kushiriki Ligi Kuu kwa timu hiyo iliyopanda…

Read More

MTU WA MPIRA: Hata Fei Toto anamshangaa Kibu Denis

KUNA watu wana matukio ya kutisha. Fikiria kuna vijana wa miaka 25 tu, walishafumaniwa. Wameshatoa mimba kadhaa. Wameshakataa mimba kadhaa. Wameshakaa jela. Wamemaliza kila kitu. Ni vitu vya kutisha. Ni kama unavyosikia siku hizi watu wanaiba watoto wa kiume kisha wanawakata sehemu zao nyeti za mwili. Wanawezaje? Inafikirisha sana. Dunia imekuwa sehemu ya kutisha. Wanadamu…

Read More

HATARI…! Blanco amvunja kidole kipa kwa mashuti

UNAWEZA usiamini, lakini ndio ukweli ulivyo. Mshambuliaji mpya wa Azam FC, Jhonier Blanco hafai kwa matumizi ya makipa. Hivi ndivyo unavyoweza kusema kumhusu raia huyo wa Colombia. Hapa sizungumzii mabao ambayo ameshafunga hadi sasa katika mechi za maandalizi kabla ya msimu, hapana. Nazungumzia maajabu anayoendelea kuyaonyesha kambini mjini Benslimane hapa Morocco. Kwenye mazoezi kuelekea mchezo…

Read More