Yanga, Nabi kazi ipo Sauzi

YANGA itacheza mchezo wa mwisho wa kirafiki wa kimataifa leo Jumapili ambao ni wa kuwania Kombe la Toyota ikikutana na wenyeji, Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, lakini ikitarajiwa bato ya aina yake kwani inakikutanisha kikosi hicho dhidi ya kocha aliyekirejesha katika mstari misimu mitatu iliyopita. Kaizer Chiefs maarufu kama Amakhosi, inafundishwa na Nasreddine Nabi aliyeipa…

Read More

Dabi ya Kariakoo kuitesti VAR

SIKU hazigandi. Bado siku 11 tu kabla ya Simba na Yanga kuvaana katika pambano la Dabi ya Kariakoo ya Ngao ya Jamii. Timu hizo zitakutana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam kukata utepe wa msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2024-2025, zote zikiwa zimetoka kufanya matamasha yao, Simba Day na Wiki ya…

Read More

Picha: Yanga SC wazindua Jezi mpya Msimu 2024/25

Kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa 2024/2025 Yanga SC wametambulisha rasmi jezi zao za nyumbani, ugenini na jezi mbadapa (third kit) watakazotumia katika msimu ujao wa mashindano, jezi hizo zitauzwa Tsh 45,000. . . . . . . . . . The post Picha: Yanga SC wazindua Jezi mpya Msimu 2024/25 first appeared on Millard…

Read More

Diarra afichua siri, amtaja Aucho

KIPA namba moja wa Yanga, Djigui Diarra amesema kitendo cha uongozi wa timu hiyo kuendelea na ukuta wao uliofanya vizuri misimu mitatu mfululizo kinaendelea kuiweka timu hiyo sehemu salama huku akimtaja Khalid Aucho kuwa ndio mchezaji kiongozi katika eneo hilo. Yanga licha ya kufanya vurugu sehemu mbalimbali ikiongeza nyota wapya imeendelea kubaki na Ibrahim Abdallah…

Read More

Lawi aanza mambo Ubelgiji | Mwanaspoti

BEKI aliyesajiliwa na kutambulishwa na Simba akitokea Coastal Union, Lameck Lawi ameanza rasmi mambo Ubelgiji, baada ya kufanya vipimo katika klabu ya K.A.A Gent inayoshiriki Ligi Kuu ya Ubelgiji. Dili la Lawi kutua Simba lilikwama baada ya mabosi wa Coastal kuvunja biashara na Simba kwa madai ya kucheleweshewa malipo na mchezaji huyo kusafiri hadi Ubelgiji…

Read More

Boban akimbilia Tusker Kenya | Mwanaspoti

TUSKER ya Kenya imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa mshambuliaji wa Biashara United, Mganda Boban Zirintusa kwa mkataba wa mwaka mmoja. Msimu uliopita nyota huyo alikuwa katika kiwango bora kwenye kikosi hicho cha Mara kilichoshiriki Ligi ya Champion-ship baada ya kufunga mabao 21, ikiwa ni idadi sawa na shambuliaji nyota wa KenGold, Edgar William. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Ouma akalia kuti kavu Coastal

UONGOZI wa Coastal Union uko katika hatua za awali za kuachana na kocha mkuu wa timu hiyo, Mkenya David Ouma, huku Abdihamid Moallin wa KMC akitajwa kwenda kuchukua mikoba kwa ajili ya msimu ujao. Mbali na mchakato huo wa kusaka kocha mkuu, tayari kikosi hicho kimemuongeza aliyekuwa kocha wa Fountain Gate, Ngawina Ngawina ili awe…

Read More

Mitihani migumu ya bosi mpya Simba

KLABU ya Simba juzi ilimtambulisha, Uwayezu Francois Regis, raia wa Rwanda kuwa ofisa mtendaji mkuu (CEO), akirithi mikoba ya Imani Kajula. Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Wakurugenzi ya Simba chini ya Mwenyekiti na rais wa Heshima, Mohammed Dewji ‘MO’ ilieleza kwamba Regis ataanza kazi Agosti Mosi, mwaka huu, baada ya Kajula kumaliza mkataba wake. Mojawapo…

Read More