Manji akumbukwa mkutano wa Yanga

ALIYEKUWA mfanyabiashara na mdhamini wa Yanga, Yusuf Manji amepewa heshima katika mkutano mkuu wa klabu hiyo unaoendelea kwenye Ukumbi wa Super Dome Masaki jijini Dar es Salaam. Mkutano huo wa kawaida wa mwaka unafanyika leo ukiwa na ajenda 10, lakini kubwa ni mipango mkakati kwa ajili ya msimu mpya wa mashindano kwa mwaka 2025-26. Manji…

Read More

Kocha Yanga ameshindikana, agoma kutabasamu 

KOCHA wa Yanga, Romain Folz ni kama kashindikana katika ishu ya kucheka, kwani mapema leo asubuhi amekuwa gumzo katika mkutano mkuu wa klabu hiyo, baada ya kugoma kabisa kutabasamu kwenye majaribio mawili tofauti aliyofanyiwa na wanajangwani. Iko hivi. Folz ametua na benchi la ufundi katika mkutano mkuu huo unaofanyika kwenye Ukumbi wa Super Dome, Masaki…

Read More

Bado Watatu – 21 | Mwanaspoti

BAADA ya kumtoa shaka yake tuliendelea kuongea mawili matatu, tukacheka kidogo kisha tukaagana. Niliendelea na shughuli zangu za kupika hadi saa sita mchana nikawa nimeshaivisha wali kwa nyama. Hicho ndicho chakula alichokuwa anakipenda mume wangu. Alikuwa akipenda wali kwa nyama kama Mhindi! Ilipofika saa saba Sufiani akarudi nyumbani, nikapakua chakula tukala. Baada ya kula tulizungumza…

Read More

Jipya lingine la Fadlu hili hapa

KWA mashabiki huko mitaani tambo ni nyingi, lakini katika kikosi cha Simba, mambo yanaendelea kusukwa taratibu, kwani timu iko kambini kujiwinda na Simba Day wiki ijayo, huku uongozi mpya nao ukiweka mambo sawa kwa ajili ya kujipanga na msimu mpya wa mashindano. Lakini, katikati ya yote hayo, kocha wao, Fadlu Davids anaendelea kutesa tu msimbazi…

Read More

Yanga yapeleka jambo lao ushuani

YANGA inaendelea kupiga hesabu za kuanza kwa gia ipi msimu mpya wa mashindano, lakini kuna kitu mabosi wamekifanya kutimiza malengo kwa kuwaita wanachama wa klabu hiyo eneo la ushuani lililopo Masaki, Dar es Salaam ili kujadili kwa kina mikakati yao Pale, Jangwani bado mashabiki wanatembea na kumbukumbu ya kubeba makombe yote msimu ulio-pita hapa nchini,…

Read More

Mechi za mtego Kagame hizi hapa

MICHUANO ya Kombe la Kagame inatarajiwa kuendelea tena kesho, Jumapili, kwa mechi mbili kupigwa ambapo Madani itakabiliana na Al-Hilal Omdurman huku Mogadishu City ikipambana na Kator katika mechi zinazotarajiwa kuamua mwelekeo wa kundi C. Katika mechi zao za kwanza katika mashindano hayo yanayohusisha klabu za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati hakuna timu iliyoibuka na…

Read More

Kipa Mzenji awataja Camara, Diarra

KIPA wa zamani wa Azam FC, Ahmed Salula anayeichezea Uhamiaji ya Zanzibar amesema makipa Djigui Diarra wa Yanga na Moussa Camara wa Simba ni chachu ya ushindani katika nafasi hiyo kwa wengine kutokana na viwango walivyo navyo vilivyowafanya kuaminiwa vikosini. Salula ambaye ni askari wa Jeshi la Uhamiaji, amesema anawafuatilia makipa hao wawili wa kigeni…

Read More

Kocha JKT ampa Bajana maua yake

KOCHA Mkuu wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema ongezeko la kiungo mshambuliaji Sospeter Bajana litainufaisha timu hiyo kutokana na kipaji na uwezo alionao. Ahmad alisema anaufahamu uwezo wa Bajana kwani aliwahi kufanya naye kazi walipokuwa KMC na ni miongoni mwa vipaji vikubwa nchini, hivyo anatarajia ataongeza ushindani wa namba kikosini. Bajana amejiunga na JKT Tanzania…

Read More

Haaland aipeleka Namungo fainali Tanzanite Pre-Season International

MABAO mawili yaliyofungwa na mshambuliaji wa Namungo, Abdulaziz Shahame ‘Haaland’ katika kila kipindi, yameifanya timu hiyo kufuzu fainali ya mashindano ya Tanzanite Pre-Season International. Namungo imeiondosha Tabora United kwa kichapo cha mabao 2-1, katika mchezo wa nusu fainali ya mashindano hayo uliochezwa leo Septemba 6, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara….

Read More