Wawili Simba watimkia Yanga | Mwanaspoti

YANGA Princess imekamilisha usajili wa wachezaji wawili kutoka Simba Queens wakiwa ni kiungo Ritticia Nabbosa na beki wa kushoto Wincate Kaari. Timu hiyo ilimaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Wanawake Bara (WPL) msimu uliopita na kwenye mechi 18 ilishinda 12, sare tatu na kupoteza tatu ikikusanya pointi 39. Mwanaspoti liliripoti mwezi…

Read More

Kipigo chawaliza mastaa Afrika ya Kati

KIPIGO cha mabao 2-0 kutoka kwa Madagascar katika mechi za CHAN 2024 kikiwa ni cha tatu mfululizo na kilichoing’oa timu hiyo katika fainali hizo za nane, kimewafanya baadhi ya wachezaji kumwaga machozi na kocha wa timu hiyo amefunguka sababu ya mastaa hao kulia uwanjani. Jana, Afrika ya Kati inayoshiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza…

Read More

Burkina Faso, Madagascar zavuka bahari

BAADA ya kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Mauritania, kikosi cha Burkina Faso sambamba na Madagascar iliyoitambia Afrika ya Kati kwa mabao 2-0 zinavuka Bahari ya Hindi kwenda Zanzibar kwa ajili ya pambano la kufungia hesabu za Kundi B litakalopigwa kesho kwenye Uwanja wa Amaan. Kocha Mkuu wa Burkina Faso, Issa Balbone alisema kosa moja…

Read More

Mkwawa Rally kuipamba Moro Jumamosi

Mji wa Morogoro na viunga vyake umeanza kupendeza juma hili kwa mbwembwe za magari maalumu ya mashindano ambayo yapo mahsusi kwa ajili ya mashindano ya mbio za magari ubingwa wa taifa yanayoanza Jummosi hii. Mkwawa Rally ndiyo jina la mashindano ambayo yanaanzishwa Agosti 16 na kumalizika Jumapili, Agosti 17. Klabu ya Mount Uluguru ndiyo waandaaji…

Read More

CEO Mbeya City aweka wazi maandalizi 2025/26

Wakati Mbeya City ikiingia rasmi kambini kesho Ijumaa huko Mwakaleli katika mji wa Tukuyu, wilayani Rungwe Mbeya, uongozi wa timu hiyo umesema umeridhishwa na maandalizi na kutamba kufanya vizuri msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Timu hiyo iliyorejea Ligi Kuu baada ya kupotea misimu miwili, imefichua kukamilisha usajili wa wachezaji 27 wakiwamo wa kimataifa.  Mtendaji…

Read More

Kagera yapata dawa kufufua soka

BAADA ya soka mkoani Kagera kuonekana limetetereka wadau, makocha na Chama cha Soka (KRFA) wamekuja na mwarobaini wa changamoto hiyo wakiwekeza katika soka la vijana. Kwa sasa mkoa huo hauna timu ya Ligi Kuu baada ya Kagera Sugar  kushuka daraja msimu uliopita, huku ukiwa hauna inayoshiriki First League, Ligi ya Championship na Ligi Kuu ya…

Read More

Kaseke kuibukia Singida Black Stars

MSHAMBULIAJI Deus Kaseke aliyekuwa na Pamba Jiji msimu uliyopita ambako alimaliza na bao moja, imeelezwa huenda akajiunga na Singida Black Stars inayonolewa na kocha Miguel Ángel Gamondi aliyewahi kuinoa Yanga. Endapo hilo likifanikiwa haitakuwa mara ya kwanza kwa Kaseke kuichezea timu hiyo, alikuwepo msimu wa 2021/22 alijiunga nayo akitokea Yanga, baada ya kuachana nao alikaa…

Read More

Timu Ligi ya Mabingwa yamtaka kocha wa Mbao

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Zimbabwe, Simba Bhora FC wako kwenye hatua za mwisho za kumalizana na aliyekuwa Kocha wa Mbao FC na Alliance za Mwanza, Godfrey Chapa ili awe kocha msaidizi. Simba Bhora FC ni wawakilishi wa Zimbabwe kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao baada ya kutwaa ubingwa msimu uliopita ikiwa ni msimu…

Read More