Mfahamu mrithi wa Imani Kajula Simba

Dar es Salaam. Klabu ya Simba leo imetambulisha rasmi Francois Regis kutoka Rwanda kuwa mtendaji mkuu wa klabu hiyo akirithi mikoba ya Imani Kajula aliyejiuzulu wiki chache zilizopita. Taarifa iliyotolewa na bodi ya wakurugenzi ya Simba chini ya Mwenyekiti Mohammed Dewji leo Julai 26, 2024 imefafanua kuwa Regis ataanza kuhudumu katika nafasi hiyo kuanzia Agosti…

Read More

MGUU NDANI, MGUU NJE…Hawa kutua Saudia ni suala la muda tu

LONDON, ENGLAND: DIRISHA la usajili bado linaendelea na timu zinazidi kusajili kila kukicha. Miongoni mwa timu ambazo usajili wake huwa unatikisa ni zile za Saudi Arabia ambazo zimekuwa zikichukua wachezaji bora kutoka timu mbalimbali Ulaya. Kwa sasa kuna zaidi ya wachezaji 10 kutoka timu mbalimbali kubwa Ulaya na muda wowote wanaweza kutua Saudi Arabia. Baadhi…

Read More

Crows yaanza visingizio | Mwanaspoti

CROWS imeanza visingizio baada ya kocha wa timu hiyo, Abbas Sanawe kusema kuwa, kukosa utulivu kwa   wachezaji hasa katika robo ya tatu, imechangia kwa kiasi kukikubwa kufungwa na Savio kwa pointi 92-70. Timu hiyo ilipoteza mchezo huo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) uliopigwa kwenye Uwanja wa DonBosco Oysterbay. Sanawe aliliambia…

Read More

Dar City yafunika BDL | Mwanaspoti

WATETEZI wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), Dar City, inaendelea kuongoza katika msimamo wa ligi hiyo kwa pointi 37, huku mpinzania wake UDSM Outsiders ikishika nafasi ya pili kwa pointi 34. Timu zinazofuatia Savio pointi 34, JKT pointi 32, Mchenga Star pointi 29, ABC pointi 28, Vijana ‘City Bulls’ pointi  28…

Read More

Mkutano Mkuu Chaneta kufanyika Arusha

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Netiboli nchini (CHANETA) utakaoafanyika Jumanne ijayo jijini Arusha. Kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa Chaneta, Shy Rose Bhanji mkutano huo utahudhuriwa na wajumbe watatu kutoka kila mkoa wa Tanzania Bara. Shy Rose alisema mbali na kufungua…

Read More

Simba yarudi tena kwa Mpanzu, yadhamiria ubaya ubwela

WAKATI Simba ikijiandaa kurejea nchini mapema wiki ijayo ikitokea kambi ya jijini Ismailia, Misri taarifa kutoka kambi ya timu hiyo ni, mabosi wa klabu hiyo wamerejea tena kuzungumza na winga Ellie Mpanzu aliyepo AS Vita ili kuziba pengo la Kibu Denis aliyepo kwenye dili la kuuzwa Norway. Awali ilielezwa Simba iliamua kuachana na Mkongomani huyo…

Read More

Dili la Kibu Denis bado kidogo

MABOSI wa Simba kwa sasa wanasikilizia tu dili la nyota wa timu hiyo, Kibu Denis aliyepo Norway kwa sasa akimalizana na klabu ya Kristiansund BK kama ambavyo Mwanaspoti lilivyoripoti awali taarifa kuwa ametoroka ni zuga tu ya viongozi wa Wekundu hao kwani walikuwa wanajua kila kitu. Taarifa zilizopatikana kutoka ndani ya klabu hiyo ni, mabosi…

Read More