
Dabo atangaza vita mpya | Mwanaspoti
Azam FC kesho inatarajiwa kushuka tena uwanjani kwa ajili ya mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Union Touarga ya Morocco, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Youssouph Dabo akisema licha kuendelea kuwepo nchini wakati kikosi hicho kikiwa kambini nchini huko kwa ajili ya maandalizi ya msimu (Pre season), bado haitoathiri programu walizoziandaa akishirikiana na…