AKILI ZA KIJIWENI: Labda nyie mnamwelewa Kibu Denis

NIMEJARIBU kumwelewa rasta Kibu Denis Prosper ambaye wiki chache zilizopita alisaini mkataba wa miaka miwili wa kuichezea Simba, maana yake hajaanza hata kuutumikia. Jamaa baada ya kusaini mkataba mpya na msimu wa 2023/2024 kumalizika akaiomba ruhusa klabu yake kuwa anaenda mapumzikoni Marekani ambako pia inaishi. Uongozi wa Simba kiungwana ukamruhusu ukizingatia ni haki na lazima…

Read More

NI WAO TU: Simba njia nyeupe nusu fainali CAF

DROO ya makundi ya michuano kwa Klabu Bingwa kwa Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati(CECAFA) imefanyika juzi, huku wawakilishi wa Tanzania, Simba Queens ikipangwa kundi linaloonekana mchekea linaloipa nafasi kubwa ya kutinga nusu fainali ya kusaka tiketi ya kushiriki Klabu Bingwa Afrika kwa mara ya pili. Michuano hiyo kwa msimu huu itafanyika Addis…

Read More

Josiah, Choki waachiwa msala Geita Gold

Geita Gold imethibitisha kumalizana na Amani Josiah kuwa kocha mkuu wa timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuendelea kama ataipandisha Ligi Kuu, huku Choki Abeid akiwa msaidizi wake. Geita inayojiandaa na Ligi ya Championship baada ya kushuka daraja imeshinda vita ya kumpata Amani Josiah aliyekuwa anawaniwa na Stand United, Biashara na…

Read More

Makocha Pamba Jiji wabebeshwa mzigo

WAKATI Pamba Jiji ikizindua wiki ya tamasha lake litakalofanyika Agosti 10, mwaka huu katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, Mlezi wa timu hiyo, Said Mtanda alisema Kocha Goran Kopunovic na wasaidizi wake walipewa uhuru kwenye usajili na matokeo yakiwa mabaya wataulizwa. Pamba Day itanogeshwa na burudani mbalimbali ikiwemo mchezo wa kirafiki na timu ambayo itatajwa…

Read More

Ze Kick: MANGALO, Kitasa kinachosubiri simu ziite

MARA kadhaa amekuwa akihusishwa na vigogo wa soka nchini, Simba na Yanga, japo mara zote dili za kwenda klabu hizo zilikuwa zikiishia njiani. Kwa mfano kwa sasa amekuwa akitajwa huenda akatua Yanga baada ya dirisha dogo lililopita kutajwa sana na miamba hiyo wakati akiwa Singida Fountain Gate, ikielezwa anatakiwa kwenda kuchukua nafasi ya Gift Fred….

Read More

KAJULA: Siku 948 mataji mawili

JANUARI 26, 2022 Simba ilimtangaza Imani Kajula kuwa ofisa mtendaji mkuu (CEO) wa klabu alikichukua nafasi ya Barbara Gonzalez aliyejiuzulu Desemba 10, 2021. Hadi mwisho wa mwezi Agosti , mwaka huu, ndio siku ambayo ataachia ngazi katika nafasi hiyo atakuwa ametimiza siku 913 tangu ashike nafasi iliyoachwa na Barbara, huku akishindwa kufikia mafanikio yaliyofikiwa na…

Read More

SPOTI DOKTA: Huu ni muda wa kupimana afya

WIKI mbili zilizopita barani Ulaya Euro 2024 ilimalizika na bingwa ilikuwa Hispania wakati Copa Amerika 2024 ilikwisha na bingwa ni timu ya taifa ya Argentina. Mara baada ya hekaheka hizo zilizokuwa na upinzani mkali kumalizika hivi sasa ni kipindi cha kuwageukia wachezaji wanaohama kutoka klabu moja kwenda nyingine. Wengi wao ni wale ambao katika mashindano…

Read More

Aziz Ki, Fei Toto vita yaanza upyaa

TUZO za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa msimu huu zitafanyika Agosti Mosi, jijini Dar es salaam huku vita ya nyota wa Yanga na Azam FC, Stephane Aziz Ki na Feisal Salum ‘Fei Toto’ ikianza upyaa Bara. Nyota hao ambao msimu uliopita walichuana katika vita Mfungaji Bora na Aziz KI kuibuka mbabe mwishoni kwa kufunga…

Read More