KAJULA: Siku 913 mataji mawili

JANUARI 26, 2022 Simba ilimtangaza Imani Kajula kuwa ofisa mtendaji mkuu (CEO) wa klabu alikichukua nafasi ya Barbara Gonzalez aliyejiuzulu Desemba 10, 2021. Hadi mwisho wa mwezi Agosti , mwaka huu, ndio siku ambayo ataachia ngazi katika nafasi hiyo atakuwa ametimiza siku 913 tangu ashike nafasi iliyoachwa na Barbara, huku akishindwa kufikia mafanikio yaliyofikiwa na…

Read More

Miguel Gamondi azuia dili la Maxi Nzengeli

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi ni kama amefunga mjadala juu ya dili la Maxi Nzengeli anayetajwa kutakiwa na Kaizer Chiefs akisema hakuna mchezaji yeyote wa kikosi hicho atakayeondoka, huku akichekelea ushindani wa namba ulivyo mkali ndani ya timu hiyo iliyokuwa uwanjani jana jioni kucheza na TS Galaxy. Hapo awali kupita Mwanaspoti liliandika kuhusu nyota huyo…

Read More

Fei Toto anavyomliza Nasreddine Nabi

KOCHA wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Nasreddine Nabi amesema bado anaumia moyoni kumkosa kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’. Akizungumza na Mwanaspoti akiwa Uturuki ambapo Kaizer imeweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya, Nabi alisema ana kiu ya kufanya kazi na wachezaji wa Kitanzania, lakini namba moja ni Fei Toto. Alisema alijaribu…

Read More

KIBU DENIS YUPO NCHI HII – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Sakata la Kibu Dennis limeingia sura mpya baada ya kubainika kuwa yupo Nchini Norway kwa ajili ya majaribio baada ya kuitoroka Simba SC kama ilivyoripitiwa awali.   Hii ni baada ya nyota huyo kupokea barua ya mwaliko kutoka klabu ya Kristiansund BK ya Nchini humo kwa ajili ya kufanyiwa majaribio ya Mwezi mmoja kuanzia…

Read More

Mapya yaibuka kesi ya mirathi ya Hans Poppe

BAADA ya Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Z. H. Poppe Limited , Caeser Hans Poppe na mwanae Adam Caeser HansPoppe, kujisalimisha wenyewe Mahakama Kuu iliyopo katika Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Masuala ya Familia (IJC), Temeke. Watoto wa Zacharia Hans Poppe, wamewasilisha maombi katika mahakama hiyo, wakiomba mambo matano likiwemo la wakurugenzi hao kuwasilisha…

Read More

Mambo yametibuka…. Filamu ya Kibu na Simba iko hivi

SAKATA la kiungo mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis aliyezua utata baada ya kudaiwa kutimkia nchini kimyakimya kwenda Norway ni kama filamu flani hivi kwa namna alivyowapiga chenga mabosi wake waliomtaka kuwahi kambini Misri ilipo timu hiyo ikijiandaa na msimu mpya. Hata hivyo, taarifa zinasema kilichofanywa na Kibu kilikuwa kikifahamika kwa baadhi ya viongozi ila wamezuga…

Read More

Ayoub Lakred hatihati Dabi ya Kariakoo

KIPA wa Simba, Ayoub Lakred huenda akakosa mchezo wa Ngao wa Jamii utakaoihusisha timu hiyo dhidi ya Yanga Agosti 8, mwaka huu kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, baada ya kupata majeraha ya misuli ya paja ‘Hamstring’. Ayoub aliyejiunga na Simba Agosti 11, mwaka jana kwa mkataba wa mwaka mmoja kisha kusaini…

Read More

HIZI HAPA JEZI ZA SIMBA MSIMU MPYA

#RASMI: Klabu ya Simba imezindua jezi mpya watakazozitumia msimu ujao wa 2024/25 Unatoa asilimia ngapi kati ya 100% ukali wa Uzi huu? Powered by @kobemotor @acbtanzania_ @vodacomtanzania @hisense_tanzania_official @betpawatanzania @wearekerry #SimbaSC #JeziMpya2024/25 #KonceptTvUpdates

Read More

Ni huyu Priscilla, mpenzi mpya wa Jux kutoka Nigeria

STAA wa Nigeria, Priscilla Ojo, 23, ndiye ameushikilia moyo wa Mtanzania Jux, 34, kwa sasa baada ya mwanamuziki huyo kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Karen Bujulu ambaye walidumu kwa takribani mwaka mmoja kuanzia Januari 2023. Ukiachana na Karen, Jux alishawahi kuwa na warembo wengine kama Jacqueline Wolper, Jackie Cliff, Vanessa Mdee na Nayika Thongom kutoka…

Read More