MAAJABU, San Marino na bata la kufurahi kubaki mkiani  

WIKI iliyopita wakazi wa San Marino, nchi ndogo iliyozungukwa na milima kaskazini mwa Italia walifanya tamasha la kufurahia kupanda daraja katika viwango vya Shirikisho la Kimataifa la Kandanda (Fifa). Nchi hiyo yenye ukubwa wa kilomita 6.2 za mraba ikiwa na  watu 34,000 ambayo siku zote huwa na watalii wasiopungua 10,000 ilipanda daraja kutoka nafasi ya…

Read More

Gofu Mombasa yabeba watano Tanzania

WACHEZA gofu wanawake kutoka Tanzania wameanza kujifua kwa ajili ya mashindano ya mchezo huo yatakayochezwa katika viwanja vitano tofauti katika miji ya Mombasa na Malindi nchini Kenya mwanzoni mwa mwezi ujao. Mashindano hayo yatashirikisha wachezaji watano wa kike kutoka klabu za Arusha Gymkhana, TPDF Lugalo na Kili Golf  ya Arusha, kwa mujibu wa katibu wa…

Read More

Magari Dar, Arusha upinzani umerudi upyaa

USHINDI wa 1-2-3 walioupata madereva wa timu ya Mitsubishi dhidi ya madereva wa Subaru, siyo tu umefufua upinzani wa timu hizo, bali pia na ule uliodumu miaka mingi kati ya klabu za Arusha na Dar es Salaam. Yakijinadi kwa jina la Advent Rally of Tanga, mashindano ya mbio za magari ya kufungua msimu yalimalizika mjini…

Read More

Matampi ndani ya Coastal Shirikisho Afrika

JINA la Ley Matampi ni kati ya 32 ya kikosi cha Coastal Union kitakachoiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Matampi ambaye alikuwa anatajwa kuondoka kikosini kwa madai kuwa hana mkataba na timu hiyo amerejea nchini na kujiunga na wenzake tayari kwa ajili ya mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC…

Read More

Mdogo wa Hans Poppe, mwanawe wajisalimisha mahakamani

Hatimaye, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Z.H.Poppe Limited, Caeser Hans Poppe na mwanawe Adam Caeser Hans Poppe, wamejisalimisha wenyewe Mahakama Kuu iliyopo katika Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Masuala ya Familia (IJC Temeke). Hatua hiyo ya Caeser na Adam kujisalimisha wenyewe, Mahakamani hapo bila kukamatwa, inatokana na Mahakama hiyo kutoa amri ya kukamatwa kwa…

Read More

Tanzania, Nigeria kuvaana Kombe la Dunia Kriketi

UWANJA wa Dar es Salaam Gymkhana utashuhudia mechi ya ufunguzi ya kriketi kuwania kufuzu Kombe la Dunia kwa vijana wa chini ya umri wa miaka 19 kati ya Tanzania na Nigeria, Agosti 2, mwaka huu. Hayo ni mashindano yanayoratibiwa na Chama cha Kriketi Duniani (ICC) na yatafanyika jijini Dar es Salaam ili kupata timu za…

Read More

Simba Tanga wachangia damu | Mwanaspoti

WAKATI Simba ikizindua wiki ya tamasha la kila mwaka ‘Simba Day’ leo Jumatano katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Morogoro, mashabiki wa timu hiyo wa mkoani Tanga wanatarajia kuchangia damu kwa ajili ya kuwasaidia wagonjwa wenye uhitaji. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwenyekiti wa Matawi ya Simba Tanga, Edgar Mdime amesema imekuwa ni desturi yao kila mwaka…

Read More

Simba Tanga wachangia damu. | Mwanaspoti

WAKATI Simba ikizindua wiki ya tamasha la kila mwaka ‘Simba Day’ leo Jumatano katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Morogoro, mashabiki wa timu hiyo wa mkoani Tanga wanatarajia kuchangia damu kwa ajili ya kuwasaidia wagonjwa wenye uhitaji. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwenyekiti wa Matawi ya Simba Tanga, Edgar Mdime amesema imekuwa ni desturi yao kila mwaka…

Read More