Mecky ajipa matumini Dodoma Jiji

DODOMA Jiji FC inaendelea na kambi ya maandalizi kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara, lakini kuna kitu amekisema kocha mkuu wa timu hiyo, Mecky Maxime. Katika mazungumzo na Mwanaspoti, kocha huyo ameonyesha kufurahishwa na viwango vya nyota wake, huku akifurahishwa na siku chache ambazo wameweka kambi mkoani hapa. Timu hiyo imeweka kambi…

Read More

Mfaransa: Kwa Ahoua mtajuta | Mwanaspoti

KIUNGO mpya wa Simba, Jean Ahoua ameanza balaa huko Misri akipiga bao mbili kwenye mchezo wa kwanza wa kirafiki wa wekundu hao, na kocha mmoja Mfaransa akatuma salamu kwa wapinzani. Kocha Julien Chevalier wa Asec ambaye ni wapinzani wakubwa wa Stella d’Adjame aliyotokea Ahoua ameliambia Mwanaspoti kuwa kiungo huyo jina lake litaimbwa sana na mashabiki…

Read More

Kuna Maxi Nzengeli mmoja tu Yanga

BEKI wa kushoto wa FC Augsburg, Mads Pedersen ambaye msimu uliopita wa mashindano Ujerumani alicheza michezo 27 ya Ligi Kuu (Bundesliga) na moja ya Kombe la DFB-Pokal, ameukubali mziki wa winga Mkongomani wa Yanga, Maxi Nzengeli katika mchezo wa kirafiki ambao timu hizo zilikutana katika michuano ya Mpumalanga Premiers huko Afrika Kusini, mwishoni mwa wiki….

Read More

SIO ZENGWE: Magoma amechelewa kuamka, lakini amefikirisha

MIAKA ya mwanzoni wa 1990 hadi mwisho haikuwa ajabu kusikia klabu ina kesi hata zaidi ya tano kwenye mahakama tofauti na hukumu zake kuibuka kwa nyakati tofauti na wakati mwingine kuvuruga kabisa mipango ya klabu. Ukiacha mgogoro uliosababisha Yanga igawanyike na kikosi kizima cha kwanza kuondoka, ule wa miaka ya 1990 mwanzoni ulikuwa mkubwa zaidi…

Read More