Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaibu Mussa leo tarehe 03 Mei 2024 amewaongoza Watumishi wa
Category: Michezo

Mwanza. Baada ya kuwa na matokeo mabaya kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa hatimaye leo wenyeji Singida Fountain Gate wamepata ushindi muhimu huku mshambuliaji

Unaweza kusema ndani ya Simba eneo la beki wa kati mwenye namba yake yupo njiani kutua kikosini hapo baada ya klabu hiyo kufikia dau linalotakiwa

KILA msimu Clatous Chama ni mchezaji anayesajiliwa na Yanga lakini daima anachezea Simba. Huu ni msemo maarufu kila linapokaribia dirisha la usajili na wakati huu

MLETE MGUNDA. Ni kauli maarufu zaidi kwa wapenzi wa Simba pale mambo yanapokuwa magumu kwao. Kwanini? Subiri nitakwambia. Hapa majuzi aliyekuwa kocha wa Simba, Abdelhak

SIMBA mnamkumbuka kocha wenu wa zamani Patrick Phiri? Amewatumia salamu akiwaambia kuwa ilibaki kidogo tu presha ya mashabiki iwaondolee mshambuliji mzuri ambaye sasa ameanza kuonyesha

LICHA ya kusogea hadi nafasi ya saba kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kufikisha pointi 29, timu ya JKT Tanzania bado haina uhakika

MAXI Nzengeli alipojiunga na Yanga mwanzoni mwa msimu huu, alianza kuitumikia timu hiyo kwa kishindo akifunga kwa kiwango cha kutisha kabisa akipachika mabao manane katika

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Yanga, George Lwandamina amesema timu hiyo itaendelea kutawala endapo wapinzani wao hawatakuwa na mikakati mizuri. Raia huyo wa Zambia aliyewahi kuifundisha

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa ratiba ya mechi za nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB ambapo Yanga imepelekwa jijini Arusha wakati Azam