Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 617
Michezo

BALOZI SHAIBU AONGOZA WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE KUTEMBELEA MAMLAKA YA NGORONGORO

May 4, 2024 Admin

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaibu Mussa leo tarehe 03 Mei 2024 amewaongoza Watumishi wa

Read More
Michezo

Singida FG yajipata, Kyombo atakata Kirumba

May 4, 2024 Admin

Mwanza. Baada ya kuwa na matokeo mabaya kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa hatimaye leo wenyeji Singida Fountain Gate wamepata ushindi muhimu huku mshambuliaji

Read More
Michezo

Mwenye namba yake anakuja, vita yabaki kwa Simba, Azam

May 4, 2024 Admin

Unaweza kusema ndani ya Simba eneo la beki wa kati mwenye namba yake yupo njiani kutua kikosini hapo baada ya klabu hiyo kufikia dau linalotakiwa

Read More
Michezo

Chama atachezaje na Pacome, Aziz Ki Yanga

May 4, 2024 Admin

KILA msimu Clatous Chama ni mchezaji anayesajiliwa na Yanga lakini daima anachezea Simba. Huu ni msemo maarufu kila linapokaribia dirisha la usajili na wakati huu

Read More
Michezo

MTU WA MPIRA: Kwanini Mgunda asiaminiwe moja kwa moja?

May 4, 2024 Admin

MLETE MGUNDA. Ni kauli maarufu zaidi kwa wapenzi wa Simba pale mambo yanapokuwa magumu kwao. Kwanini? Subiri nitakwambia. Hapa majuzi aliyekuwa kocha wa Simba, Abdelhak

Read More
Michezo

Mabao ya Freddy yamuibua Phiri

May 4, 2024 Admin

SIMBA mnamkumbuka kocha wenu wa zamani Patrick Phiri? Amewatumia salamu akiwaambia kuwa ilibaki kidogo tu presha ya mashabiki iwaondolee mshambuliji mzuri ambaye sasa ameanza kuonyesha

Read More
Michezo

JKT Tanzania yaua, kubaki Ligi Kuu bado mtihani

May 4, 2024 Admin

LICHA ya kusogea hadi nafasi ya saba kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kufikisha pointi 29, timu ya JKT Tanzania bado haina uhakika

Read More
Michezo

Gamondi azungumzia ukame mabao ya Nzengeli

May 4, 2024 Admin

MAXI Nzengeli alipojiunga na Yanga mwanzoni mwa msimu huu, alianza kuitumikia timu hiyo kwa kishindo akifunga kwa kiwango cha kutisha kabisa akipachika mabao manane katika

Read More
Michezo

Lwandamina: Kwa Yanga hii mtakoma!

May 4, 2024 Admin

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Yanga, George Lwandamina amesema timu hiyo itaendelea kutawala endapo wapinzani wao hawatakuwa na mikakati mizuri. Raia huyo wa Zambia aliyewahi kuifundisha

Read More
Michezo

Yanga yapelekwa Arusha, Azam Mwanza nusu fainali Shirikisho

May 4, 2024 Admin

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa ratiba ya mechi za nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB ambapo Yanga imepelekwa jijini Arusha wakati Azam

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 616 617 618 … 644 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.