Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 618
Michezo

Mbwebwe zilivyomponza Dida, Azam ikiifuata Yanga nusu fainali FA

May 4, 2024 Admin

MBWEMBWE zilizoonyeshwa na kipa wa Namungo FC, Deogratius Munish ‘Dida’  zimeifanya timu hiyo kuruhusu bao la kizembe  katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la

Read More
Michezo

Mgunda afunguka kuhusu Kibu  | Mwanaspoti

May 3, 2024 Admin

BAADA ya minong’ono kuwa mingi kufuatia kukosekana kwa Kibu Denis katika nchezo wa Ligi Kuu Bara ambao Simba imecheza dhidi ya Mtibwa Sugar katika Uwanja

Read More
Michezo

Kimbunga Hidaya chapungua  nguvu, tahadhari yatolewa

May 3, 2024 Admin

Dodoma. Serikali imesema kuwa kimbunga Hidaya kilichoipiga Pwani ya Mashariki wa Bahari ya Hindi kinaendelea kupungua nguvu kadri kinavyoelekea nchi kavu baada mwenendo wa  mifumo

Read More
Michezo

Sakata la Kibu kugomea mkataba udalali watajwa

May 3, 2024 Admin

Habari ya mjini kwa sasa ni kuhusu Kibu Denis ‘Mkandaji’. Ni kiungo mshambuliaji wa Simba anayemaliza mkataba wake kwa Wekundu wa Msimbazi hao na ameziingiza

Read More
Michezo

Mgunda aanza kuhesabu, Simba ikibakisha nne

May 3, 2024 Admin

KAIMU kocha mkuu wa Simba, Juma Mgunda amepata ushindi wake wa kwanza na mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wake wa pili wa

Read More
Michezo

Bodi ya Ligi: Tumechukua  tahadhari Kimbunga Hidaya

May 3, 2024 Admin

MWANDISHI WETUBODI ya Ligi Tanzania (TPLB) imesema imechukua tahadhari muhimu juu ya tishio la kimbunga kinachoendelea kinachojulikana kwa jina la Hidaya. Ofisa Habari wa TPLB,

Read More
Michezo

Zahera: Matampi ilibaki kidogo acheze Yanga

May 3, 2024 Admin

Kipa wa Yanga Djigui Diarra amepata mshindani wa maana kwenye vita ya ‘cleansheet’ kwenye ligi ambaye ni kipa wa Coastal Union, Ley Matampi, ambaye ni

Read More
Michezo

Kibu nje Simba ikiivaa Mtibwa Sugar

May 3, 2024 Admin

YUKO wapi Kibu Denis? Hilo ndilo swali ambalo mashabiki wa Simba wanajiuliza baada ya kuuwekwa wazi kikosi chao ambacho kitacheza mchezo wa Ligi Kuu Bara

Read More
Michezo

Singida FG, Dodoma vita ya kukwepa playoff, Ngawina asaka ushindi wa kwanza

May 3, 2024 Admin

KESHO Singida Fountain Gate itaialika Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini hapa kuanzia saa 10:00 jioni, huku

Read More
Michezo

Makocha hawa watajwa kumrithi Benchikha Simba

May 3, 2024 Admin

BAADA ya kuondoka kwa Abdelhak Benchikha, timu ya Simba fasta imeanza mchakato wa kutafuta kocha mpya atakayerithi mikoba ya Mualgeria huyo ikipanga kukamilisha ishu hiyo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 617 618 619 … 643 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.