Mzamiru Yassin hana presha kabisa Simba SC!

KIUNGO mkabaji wa Simba, Mzamiru Yassin amesema hana presha yoyote ndani ya timu hiyo licha ya kusajiliwa mashine kadhaa mpya zinzocheza eneo lake, kwa vile anaamini kila mchezaji wa kikosi hicho kinachoendelea kujifua jiji la Ismailia, Misri ana nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza. Simba imeongeza mashine kadhaa mpya katika eneo hilo baada ya kuondoka…

Read More

Nionavyo: Hizi kambi za pre-season ni muhimu kwa klabu

KWA miongo mingi sasa umekuwa utamaduni wa klabu kufanya kambi za kujiandaa na msimu mpya maarufu kama pre season. Kwa miaka ya karibuni, kalenda za ligi ya soka duniani hazitofautiani sana, yaani ligi zinaanza na kutamatika katikati ya kalenda ya mwaka. Ligi za mataifa mengi zinaanza Agosti au Septemba na kutamatika Mei au Juni. Baada…

Read More

Nusu fainali ya wageni Kagame Cup 2024

MICHUANO ya Kombe la Kagame 2024 imefikia patamu wakati leo zikipigwa mechi za nusu fainali ambazo hata hivyo zinakutanisha wageni watupu, baada ya wenyeji Coastal Union, Singida BS na JKU kutolewa mapema hatua ya makundi. Nusu fainali ya kwanza itazikutanisha APR ya Rwanda dhidi ya Al Hilal ya Sudan mechi itakayopigwa kuanzia saa 9:00 alasiri…

Read More

Simba Queens yajichimbia Bunju | Mwanaspoti

MABINGWA wa Ligi ya wanawake (WPL), Simba Queens imeanza kambi ya kujiandaa na michuano ya Klabu Bingwa kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), ikijichimbia Uwanja wa Mo Simba Arena, Bunju, jijini Dar es Salaam. Msimu wa 2022, Simba ilichukua ubingwa huo wa Cecafa kwa kuifunga She Corporate FC ya Uganda kwa bao 1-0…

Read More

Heri Lamine Yamal hajamkuta Lionel Messi

KWA sasa moja ya majina yanayotamba duniani ni la Lamine Yamal. Ndio. Kile alichokionyesha kwenye michuano ya Euro 2024 Ujerumani, ilikuwa lazima aimbwe kila kona. Kipaji chake alichonacho tangu aanze kucheza soka kwenye akademi ya vijana ya Barcelona na hadi kupanda timu ya wakubwa, imekuwa gumzo. Hata hivyo, kuna wanaoamini, endapo staa huyo angekuwa timu…

Read More

Geita Gold yaaanza na kocha

GEITA Gold imeanza kujipanga kusajili kwa ajili ya Ligi ya Championship, imemsajili kocha Aman Josiah kwa mkataba wa mwaka mmoja, ili kuipandisha timu hiyo msimu ujao. Kocha huyo, msimu ulioisha alikuwa na Biashara United, ambayo ilishindwa kupanda Ligi Kuu Bara baada ya kucheza mtoano na Tabora United iliyowafunga jumla ya mabao 3-0, hivyo ikamaliza nafasi…

Read More

Mashujaa yaiota nne Bora mapemaa!

WAKATI kikosi cha Mashujaa Kigoma kikiendelea kujifua kwa kupiga tizi la nguvu katika fukwe za bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam, uongozi wa timu hiyo umesema malengo ya msimu huu ni kumaliza katika nafasi nne za juu katika Ligi Kuu Bara ili ikate tiketi ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani. Timu hiyo itakayoshiriki Ligi…

Read More