Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 619
Michezo

Serikali kuendesha msako utitiri vyama vya kitaaluma

May 2, 2024 Admin

Arusha. Serikali imeonyesha kukerwa na utitiri wa vyama vya kitaaluma vilivyopo nchini kwa sasa na kuagiza uchunguzi wa kina. Agizo hilo limetolewa na Waziri wa

Read More
Michezo

Sababu ya Kibu kugomea mkataba Simba hii hapa

May 2, 2024 Admin

Mwanaspoti linajua kama mambo yataenda yalivyo, wakati wowote Simba inaweza kumpoteza kiungo wao mshambuliaji mpambanaji Kibu Denis Prosper. Ni kama yuko mlangoni kuingia kwa watani

Read More
Michezo

AKILI ZA KIJIWENI: Pamba mmerudi, ligi si kama mlivyoiacha

May 2, 2024 Admin

Wanetu wa Pamba FC aka Wana Kawekamo au ukipenda unaweza kuwaita TP Lindanda baada ya msoto wa muda mrefu hatimaye wamefanikiwa kupanda Ligi Kuu Tanzania

Read More
Michezo

Uchunguzi walionaswa na nyara za Sh3.3 bil bado bado

May 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imesema bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kusafirisha nyara za Serikali ikiwemo mifupa 1,107 ya Simba zenye jumla

Read More
Michezo

AKILI ZA KIJIWENI: Sijaona cha kuizuia Yanga ubingwa Ligi Kuu

May 2, 2024 Admin

Kimahesabu ya kimpira, mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara zilikamilika siku ile ambayo Simba ilipoteza kwa mabao 2-1 mbele ya Yanga katika mechi

Read More
Michezo

Kitasa kung’oka Azam FC | Mwanaspoti

May 2, 2024 Admin

Beki wa kati wa Azam FC, Malickou Ndoye ameonyesha nia ya kuondoka ndani ya timu hiyo baada ya msimu huu kumalizika kutokana na kutokuwa na

Read More
Michezo

Mandonga humwambii kitu kwa Pacome Yanga

May 2, 2024 Admin

Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Karim Mandonga ‘Mtu Kazi’, amefichua kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa Yanga huku akibainisha kwamba, mchezaji ambaye huwa anapenda

Read More
Michezo

Gamondi afichua jambo Yanga | Mwanaspoti

May 2, 2024 Admin

HESABU za Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi ni kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara mapema tu kadiri iwezekanavyo na ndiyo maana amefichua kuwa na

Read More
Michezo

Azam FC, Namungo mechi ya kisasi

May 2, 2024 Admin

MCHEZO mmoja wa kukamilisha hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) utapigwa leo kati ya wenyeji, Azam FC itakayoikaribisha Namungo kuanzia

Read More
Michezo

Guede ni habari nyingine Yanga, awapiga bao Mzize, Musonda

May 2, 2024 Admin

Ni kama gari limewaka zaidi kwa mshambuliaji wa Yanga, Joseph Guede ambaye hivi sasa namba zake zinambeba na kumfanya kuwa mchezaji hatariĀ  kwenye kikosi cha

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 618 619 620 … 642 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.