Morocco: Wale Niger tutamalizana nao vizuri tu

KOCHA wa timu ya Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema kikosi hicho kina nafasi kubwa ya kufanya vizuri katika mechi ya kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026, dhidi ya Niger itakayopigwa Septemba 9, kwenye Uwanja wa New Amaan Zanzibar. Kauli ya kocha huyo inakuja baada ya timu hiyo kushindwa kuwika juzi ugenini kufuatia kulazimishwa sare…

Read More

Ayelifunga hat-trick aichimba mkwara Polisi Kenya

MSHAMBULIAJI wa Ethiopian Coffee, Amanuel Admassu ambaye alipachika mabao matatu ‘hat-trick’ ya kwanza kwenye mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame, ameichimba mkwara Kenya Police ambayo watakutana nayo katika mechi ya mwisho ya hatua ya makundi. Admassu alipachika mabao hayo, akisaidia Ethiopian Coffee kuibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Garde Cotes ya Burundi katika…

Read More

Gomondi: Hii Singida bado sana!

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema licha ya ushindi wa timu hiyo wa mabao 2-1 dhidi ya Kenya Police katika mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame, bado kuna maeneo muhimu ambayo timu inahitaji kuboresha ili kuwa bora zaidi. Gamondi ambaye anatumia mashindano hayo kama sehemu ya maandalizi ya msimu ujao, alisema mechi hiyo…

Read More

Morocco yafuzu Kombe la Dunia, Stars yabakiza mbili

Morocco imekuwa timu ya kwanza ya Taifa barani Afrika kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 nyumbani dhidi ya Niger jana, Septemba 5, 2025 huku Taifa Stars ikibakiza mechi mbili. Ushindi huo ambao Morocco imeupata katika Uwanja wa Prince Moulay Abdallah jijini Rabat, umeifanya ifikishe pointi 18…

Read More

Zoran amvuta Mavambo Libya | Mwanaspoti

BAADA ya aliyekuwa kiungo wa Simba, Debora Mavambo kuachana na timu hiyo aliyoitumikia kwa msimu mmoja aliyojiunga nayo Julai 6, 2024, kwa sasa mchezaji huyo anakaribia kujiunga na Asswehly ya Libya kwa mkataba wa miaka miwili. Mavambo aliyejiunga na Simba akitokea Mutondo Stars ya Zambia na kufunga bao moja tu katika Ligi Kuu Bara huku…

Read More

Raizin ataka 10 zaidi Bara

MSHAMBULIAJI wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh amesema malengo aliyojiwekea msimu huu katika kikosi hicho ni kufunga zaidi ya mabao 10, huku akidai endapo atatimiza hayo itakuwa ni njia nzuri kwake kuwa na mwendelezo mzuri. Mshambuliaji huyo ambaye alikuwa sehemu ya kuirudisha Mtibwa Sugar katika Ligi Kuu Bara alimaliza Championship akiwa kinara wa upachikaji wa mabao…

Read More

Kipa aliyevunjika taya aanza mazoezi mepesi

KIPA wa Tabora United, Fikirini Bakari amerejea uwanjani baada ya kuwa nje akijiuguza kutokana na kudaiwa kuvunjika taya wakati akikiwasha katika mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga iliyowafunga mabao 4-0 wiki iliyopita katika Uwanja wa  Gymkhana jijini Dar es Salaam. Fikirini alisema daktari alimwambia afanye mazoezi mepesi ya kukimbia na kuepuka kukongana na watu, na…

Read More

Bado Watatu – 20 | Mwanaspoti

ALINIPENDA sana na mimi nilimpenda. Alikuwa mwaminifu kwangu na mimi nilikuwa mwaminifu kwake. Alikuwa akisafiri kwa wiki mbili au tatu na kuniacha. Sikuwa na ushawishi wowote wa mwanaume na niliamini huko alikokwenda na yeye hakushawishika na wasichana.Miongoni mwa marafiki zake Sufiani ambao alikuwa akifika nao pale nyumbani alikuwa jamaa mmoja aliyekuwa akiitwa Shefa. Shefa alikuwa…

Read More

Katwila aachiwa msala Geita Gold

ALIYEKUWA Kocha wa Bigman, Zubery Katwila amejiunga na Geita Gold kwa mkataba wa mwaka mmoja baada ya dili lake la kwenda Coastal Union ya Tanga iliyofanya mazungumzo naye mwanzoni ya kumhitaji kuingia dosari. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo zimelidokeza Mwanaspoti kuwa Katwila amesaini mkataba wa mwaka mmoja na muda wowote kuanzia sasa…

Read More