Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 620
Michezo

Pamba yaanza mabalaa, maandalizi Ligi Kuu Bara 2024\2025

May 2, 2024 Admin

Achana na shangwe la kupanda Ligi Kuu Bara linaloendelea jijini hapa, mabosi wa Pamba Jiji tayari wameshapata pa kuanzia wakati wakipiga hesabu za mambo watakayoanza

Read More
Michezo

Hii hapa mikakati mipya ya Mgunda Simba

May 2, 2024 Admin

SIKU chache baada ya kurudishwa Simba, kocha Juma Mgunda ametaja mambo matatu yatakayombeba kwenye mechi nane zilizobaki akianza na sare ya mabao 2-2 dhidi ya

Read More
Michezo

Siri Yanga kuwaita mezani Mwamnyeto, Kibwana

May 2, 2024 Admin

Uhaba wa mabeki wazawa wenye uwezo wa juu, uzoefu pamoja na kutokuwa tayari kuwanufaisha wapinzani iwapo wawili hao wataondoka, ni sababu tatu za msingi zilizofanya

Read More
Michezo

Gamondi adai Pacome bado, mwenyewe afunguka

May 1, 2024 Admin

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi amemtazama nyota wake Pacome Zouzoua kwa dakika 20 alizompa katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) dhidi

Read More
Michezo

Pacome apewa dakika 20, Yanga ikitinga nusu fainali FA

May 1, 2024 Admin

BAADA ya kukosekana katika michezo saba katika mashindano tofauti sawa na dakika 630, kiungo Pacome Zouzoua amecheza dakika 20 wakati Yanga ikitinga nusu fainali ya

Read More
Michezo

Faini zatawala Ligi Kuu Bara

May 1, 2024 Admin

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Bara (TPLB) katika kikao cha Aprili 30, mwaka huu imepitia matukio yaliyojitokeza katika

Read More
Michezo

Mghana aipeleka Coastal nusu fainali FA, yaisubiri Azam, Namungo FC

May 1, 2024 Admin

COASTAL Union imetinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Geita Gold katika mchezo mkali

Read More
Michezo

Pacome afunga bandeji goti aliloumia

May 1, 2024 Admin

LICHA ya kuonekana kuwa fiti kwa ajili ya mchezo wa robo fainali ya kombe la shirikisho (FA), kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua ameonakana akiwa amefunga

Read More
Michezo

Simba, Azam vitani tena kunasa saini ya kiungo fundi

May 1, 2024 Admin

JINA la kiungo Najimu Musa lipo mezani kwa timu za Simba, Azam na KMC huku kila timu ikihitaji saini ya mchezaji huyo kwa msimu ujao.

Read More
Michezo

Chama afungiwa michezo mitatu, Simba, Yanga zapigwa faini

May 1, 2024 Admin

KIUNGO wa Simba, Clatous Chama amefungiwa michezo mitatu na kutozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi beki wa Yanga, Nickson Kibabage

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 619 620 621 … 642 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.