
WALIOFOJI SAHIHI SAKATA LA YANGA WAKIBAINIKA KIFUNGO CHA MAISHA – MWANAHARAKATI MZALENDO
Kufuatia sakata la Viongozi wa Yanga kutakiwa kuachia madaraka baada ya baadhi ya Wazee wa Club hiyo kushinda kesi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Wakili wa Mahakama kuu Dedan Kapongo ametolea ufafanuzi wa kisheria kuhusu tuhuma zilizosemwa na Mkurugenzi wa sheria wa Yanga kwamba Wazee hao waligushi sahihi za baadhi ya Viongozi wa…