Mauya aukubali mziki wa Singida BS

KIUNGO mkabaji wa Singida Black Stars, Zawadi Mauya  amesema kwa usajili uliofanywa na timu hiyo, anaamini ushindani utakuwa mgumu kuanzia kwa wachezaji wenyewe hadi timu pinzani. Mauya amejiunga na timu hiyo, akitokea Yanga ambayo aliitumikia kwa misimu minne, alisema maisha ya soka ni popote, kikubwa anajipanga kuhakikisha anakuwa msaada katika majukumu yake mapya. “Utofauti ni…

Read More

Kibu azua utata Simba | Mwanaspoti

WAKATI Willy Onana na nyota mpya aliyetambulishwa juzi, Awesu Awesu jana walipaa kwenda kuongeza mzuka katika kambi ya Simba iliyopo, Ismailia Misri, nyota wa timu hiyo, Kibu Denis amezua utata. Awesu na Onana ni kati ya wachezaji waliondoka nchini jana sambamba na baadhi ya viongozi kwenda Misri kuungana na wachezaji wengine wanaoendelea kujifua chini ya…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Sasa tutaona ubora wa David Ouma

KOCHA David Ouma alifanya kazi nzuri na ya kipekee katika kikosi cha Coastal Union msimu uliopita tofauti na matarajio ya wengi. Jamaa aliikuta Coastal Union inayosuasua kwenye Ligi, lakini ndani ya muda mfupi akaibadilisha na ikaanza kufanya vizuri hadi kufanikiwa kumaliza katika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu Bara msimu uliomalizika. Coastal ambayo…

Read More

Pamba Jiji yatenga Sh1 bilioni msimu wa 2024/25

MLEZI na mshauri mkuu wa Pamba Jiji, Said Mtanda amesema jumla kuu ya bajeti ya uendeshaji wa timu hiyo msimu huu katika ushiriki wake Ligi Kuu ni takribani Sh1.5 bilioni, huku ikitumia zaidi ya Sh300 milioni kwenye usajili wa dirisha kubwa. Timu hiyo itacheza Ligi Kuu Bara inayoanza Agosti 16, mwaka huu baada ya miaka…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kila la kheri Aisha Masaka England

MTANZANIA Aisha Masaka juzi alikamilisha uhamisho wa kujiunga na timu ya wanawake ya Brighton inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake ya England ambayo msimu uliopita ilimaliza ikiwa nafasi ya 10. Masaka amejiunga na Brighton akitokea BK Hacken ambayo mwaka 2022 alijiunga nayo akitokea Yanga Princess. Kitendo cha Aisha Masaka kujiunga na Brighton kinamfanya kuwa Mtanzania wa…

Read More

Kopunovic atoa masharti nyota sita Pamba

LICHA ya uongozi wa Pamba Jiji kukamilisha usajili wa wachezaji 24 hadi sasa, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Goran Kopunovic amesema anahitaji wachezaji sita wenye ubora wa kucheza Ligi Kuu na kuisaidia timu hiyo kutoa ushindani kwani michuano hiyo ni migumu. Pamba Jiji iliwaongezea mikataba wachezaji saba wa msimu uliopita na imeshatangaza wachezaji wapya 17…

Read More

Yanga, Simba Kwa Mkapa, Azam yapelekwa Zenji

ILE Dabi ya Kariakoo ya kwanza kwa msimu mpya sasa imefahamika itapigwa Kwa Mkapa siku ya Agosti 8, ikiwa ni mechi ya Ngao ya Jamii ya kuzindua msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2024-2024, huku pambano jingine la michuano hiyo kati ya Coastal Union na Azam likipelekewa visiwani Zanzibar. Simba ndio watetezi wa michuano hiyo…

Read More

Ajibu apewa mwaka Dodoma Jiji

DODOMA Jiji imemsainisha kiungo wa ushambuliaji Ibrahim Ajibu kwa mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo msimu ujao akitokea Coastal Union ya Tanga. Mmoja wa viongozi wa timu hiyo ameliambia Mwanaspoti kwamba bado wanaamini Ajibu ana uwezo mkubwa uwanjani hivyo ataongeza nguvu katika kikosi chao. “Usajili huo unafanywa chini ya kocha Mecky Maxime, ambaye anawafahamu…

Read More