AKILI ZA KIJIWENI: Alichokifanya Benchikha sio cha ajabu

WACHEZAJI wawili walioondoka Simba katika dirisha hili la usajili, wamekula maisha huko Algeria baada ya kujiunga na JS Kabylie inayoshiriki Ligi Kuu nchini humo. Tunawazungumzia viungo Sadio Kanoute na Babacar Sarr ambao wamemwaga wino wa kuitumikia JS Kabylie msimu ujao, wakiwa wachezaji huru kutokana na sababu tofauti. Kanoute ameondoka akiwa huru kwani mkataba wake ulikuwa…

Read More

Pochettino anukia ukocha Marekani | Mwanaspoti

NEW YORK, MAREKANI: MAURICIO Pochettino ameripotiwa kujitokeza kama mtu anayepewa nafasi kubwa ya kupewa kiti cha ukocha wa timu ya taifa ya soka ya Marekani baada ya kutimuliwa kwa Gregg Berhalter. Berhalter alifutwa kazi baada ya matokeo mabovu ya kikosi cha Marekani kwenye michuano ya Copa America 2024 ambako walitolewa katika hatua ya makundi. Katika…

Read More

Mchepuko wamweka matatani Kyle Walker

MANCHESTER, ENGLAND: MKE wa Kyle Walker, mwanamama Annie Kilner yuko tayari kumpa ‘nafasi ya mwisho’ staa huyo wa Man City ili kuiokoa ndoa yao  lakini ni lazima beki huyo wa timu ya taifa ya England afuate masharti makali. Mwanamama huyo ambaye kwa sasa amejitenga na mumewe, ameripotiwa kuwa yuko tayari kumpa nafasi ya mwisho Walker…

Read More

Chama mambo freshi Yanga | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Clatous Chama sasa mambo freshi kuendelea kuitumikia timu hiyo ambayo imemsajili akitokea kwa watani zao, Simba. Chama amejiunga na Yanga kwa mkataba wa mwaka mmoja na tayari anaendelea na maandalizi ya kujiweka fiti kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Bara unaotarajia kuanza Agosti 16, mwaka huu. Awali, Mwanaspoti liliripoti kuwa Chama…

Read More

Ligi ya mabingwa Afrika, Yanga kiulaini tu

WAKATI klabu sita zitakazopeperusha bendera ya Tanzania katikamashindano ya klabu Afrika msimu ujao, zimekwepa mtego wa Shirikisho la Soka Afrika (Caf) baada ya kupata leseni ya ushiriki, upepo mzuri unaonekana kuwa upande wa Yanga inayonolewa na Miguel Gamondi kabla hata mashindano hayajaanza. Gamondi na jeshi lake wamelainishiwa mapema kulingana na ratiba ya mechi za raundi…

Read More

Yanga kuwafuata Wajerumani Sauzi kesho

KIKOSI cha Yanga kinatarajiwa kuondoka nchini kesho Alhamisi kwenda kuweka kambi ya wiki kama mbili katika jiji la Mpumalanga, Afrika Kusini. Kama ambavyo awali Mwanaspoti iliporipoti, Yanga kupitia Msemaji wake Ally Kamwe amethibitisha safari hiyo ambapo kikosi hicho kitaondoka kesho saa 7 mchana. Kamwe amesema, Yanga ikiwa huko itaweka kambi fupi pamoja na kucheza mechi…

Read More