Greenwood mambo freshi Marseille | Mwanaspoti

MARSEILLE, UFARANSA:KLABU ya Marseille imefikia makubaliano na Mason Greenwood kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji huyo kutoka kwa miamba ya Ligi Kuu England, Manchester United. Klabu hizo mbili zilishafikia makubaliano ya ada ya awali ya uhamisho ya Pauni 27 milioni pamoja na Pauni 3.2 milioni za ziada kwa ajili ya kumsajili Greenwood, lakini zilihitaji pia ridhaa…

Read More

Heri ya uzee wa kina Chama, kuliko ubishoo wa wazawa!

NI kweli tunadanganywa. Na tunajua kabisa tunadanganywa na nyota wa kigeni wanaokuja kucheza soka la kulipwa hapa nchini. Tunajua wengi huwa na umri mkubwa zaidi ya ule uliopo katika pasipoti zao. Lakini tunamezea kwa vile hata wachezaji wazawa nao kamba nyingi. Wazawa nao wanatudanganya sana kwa kufeki umri. Kibaya zaidi, kuna baadhi ya wachezaji wanasaidiwa…

Read More

Rekodi kali za kuruka zinazosubiri kuvunjwa Olimpiki

WANAMICHEZO 10,500 watakuwa katika Jiji la Paris, Ufaransa kwa ajili ya michezo ya Olimpiki itakayofanyika kuanzia Julai 26 hadi Agosti 11, mwaka huu. Kwa mara ya kwanza katika historia ya mashindano hayo makubwa ya michezo duniani washiriki kutoka zaidi ya nchi 200 watakuwa nusu wanaume na nusu wanawake ambao watashindana katika michezo 32. Kwa kawaida…

Read More

Isanzu, Nathwani, vitani tena Arusha Open

NI vita ya kisasi kati ya Ally Isanzu anayeongoza mbio za ubingwa wa Lina PG Tour na vijana watatu kutoka Arusha; Jay Nathwani, Garv Chadhar na Aliabas Kermali walioichafua rekodi yake ya kutoshindwa katika viwanja vya Arusha Gymkhana. Isanzu anapambana tena na vijana hao katika mashindano ya wazi yajulikanayo kama Arusha Open ambayo yanaanza katika…

Read More

Washika usukani 18 mzigoni mbio za magari

VUMBI jekundu eneo la Pongwe, Kisimatui, Mkanyageni na Mlamleni mkoani Tanga litatimka Jumamosi wakati madereva 18 watakapokuwa kibaruani kuwania ubingwa wa mbio magari za ufunguzi wa msimu zinazoitwa Advent Rally of Tanga Hayo ni mashindano ya kwanza ya ubingwa wa taifa kwa mbio za magari ambayo yatashirikisha madereva kutoka ndani na nje ya nchi, kwa…

Read More

Baraza la wadhamini Yanga matatani, Mwanasheria afunguka

Dar es Salaam. Yanga imepokea hukumu ya kutotambulika kwa Baraza la Wadhamini la klabu hiyo kufuatia hukumu iliyotolewa Agosti 2, 2023 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.  Hukumu hiyo ambayo Mwananchi imeipata nakala yake inatokana na kesi ya msingi iliyofunguliwa Agosti 4, 2022 na walalamikaji Juma Ally na Geoffrey Mwaipopo, wakitaka kutotambulika kwa Baraza la…

Read More