SPOTI DOKTA: Majeraha ya Messi yapo hivi

USIKU wa Jumapili katika mchezo wa fainali ya mashindano ya Copa Amerika 2024 kwa mara nyingine tena Argentina ilifanikiwa kutwaa ubingwa huo baada ya kuifunga nchi ya Colombia bao 1-0. Mashindano hayo yaliyofanyika Marekani na fainali hiyo iliyochezwa jijini Miami kwenye Uwanja wa Hard Rock ililazimika kuongezwa dakika 30 za ziada mara baada ya kutoka…

Read More

Aisha Masaka atua Uingereza, kukipiga Brighton

KLABU ya BK Hacken ya Sweden imemuuza straika Mtanzania, Aisha Masaka kwa klabu ya Brighton inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini Uingereza. Mapema leo Hacken imetoa taarifa kuwa imemuuza mchezaji huyo kujiunga na Brighton inayoshiriki Ligi ya Kuu ya Wanawake nchini Uingereza ambayo imemaliza nafasi ya tisa kwenye msimu uliopita. Straika huyo wa timu ya…

Read More

Nabi amtaka Mayele, amuita Kaizer Chiefs

Kocha mpya wa Kaizer Chiefs, Nasreddine Nabi ameuomba uongozi wake kuhakikisha unamsajili mshambuliaji wa Pyramids FC, Fiston Mayele kwa ajili ya kuimarisha safu yao ya ushambuliaji. Mtandao wa Kingfut wa Misri umefichua kuwa miongoni mwa mapendekezo ya mwanzo ambayo Nabi ameupa uongozi wake muda mfupi baada ya kujiunga na timu hiyo ni kuhakikisha Mayele anaichezea…

Read More

Niyonzima arejea Rayon Sport | Mwanaspoti

Kiungo mkongwe Haruna Niyonzima amerejea nchini kwao Rwanda baada ya kusaini mkataba na timu yake ya zamani ya Rayon Sport. Niyonzima, amesaini mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongeza mwaka mwingine kuitumikia Rayon. Hii inakuwa ni mara ya pili kwa Niyonzima kufanya kazi na Rayon, ambayo aliwahi kuitumikia msimu wa 2006-2007. Tayari Rayon, imeshamtambulisha…

Read More

Hamilton, Verstappen sako kwa bako

MBIO za magari nchini Hungary wikiendi hii zinatarajiwa kuwa na msisimko wa aina yake kutokana na kampuni ya Mercedes kushinda mbili mfululizo zilizopita nchini Austria na Uingereza. Madereva George Russell na Lewis Hamilton ndio waliofanikisha ushindi huo ambao umeirudisha kwenye chati kampuni hiyo kiasi cha kuamsha vita mpya kati ya kampuni hizo pinzani kwa miaka…

Read More

Cheki wababe wa ngumi wanavyoviziana mikanda

BONDIA Oleksandr Usyk ndiye mwamba kwa sasa kwenye ngumi za uzito wa juu duniani (heavyweight), kufuatia kushinda na kushikilia mikanda minne ambayo ni WBC, WBA, WBO na IBF. Mwamba huyo aliichukua mikanda hiyo mikononi mwa mabondia wa Uingereza, Anthony Joshua na Tyson Fury. Awali, alianza kwa kumvua mikanda mitatu Joshua ‘AJ’ kwenye mapambano mawili mtawalia…

Read More

Dar City, Tausi Royals zatibua mambo BDL

TIMU ya Dar City na Tausi Royals zimedhirisha ubora    katika Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), baada ya kushinda mechi zilizopigwa kwenye Uwanja wa Donbosco, Osterbay, huku zikitibua mipango ya timu shindani. Dar City inayoongoza ligi kwa upande wa wanaume ikiwa na pointi 33 katika mchezo uliopigwa juzi iliifumua Vijana ‘City…

Read More

Ubabe ubabe, hawana ugenini wala nyumbani

UNAPOSIKIA neno ugenini kama nyumbani hiyo inamaanisha kwamba popote pale mechi ikipigwa ushindi unapatikana haijalishi uchache wa mashabiki wa upande wa mshindi wala wingi wake. Katika mchezo wa ngumi, imekuwa ni kama kawaida kushuhudia mabondia wanapokuwa ugenini wanapoteza mapambano yao kwa kiwango kikubwa, ikitokea mgeni ameshinda ugenini, inakuwa stori kubwa sana. Kupoteza mapambano kwa mabondia…

Read More

Mkongwe: Shida kikapu iko hapa!

MCHEZAJI mkongwe wa timu ya taifa ya kikapu, Amin Mkosa amesema mfumo wa uendeshaji wa baadhi ya klabu nchini ndiyo unaofanya zikose udhamini. Akizungumza na Mwanasposti juzi Dar es Salaam, Mkosa alisema mchezo huo umeshindwa kuendana na ukuaji wa kikapu duniani katika mfumo wa kibiashara unaoweza kuwa chanzo cha kipato kwa wachezaji kwa sababu  timu…

Read More