Wanamichezo saba mguu sawa Olimpiki

KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC) imesema msafara wa Tanzania kwenye michezo ya Olimpiki msimu huu utaondoka nchini kwa mafungu. Kundi la kwanza litaondoka Julai 22 likiwa na mkuu wa msafara, Henry Tandau. Imesema, kundi la pili litaondoka Juali 23 na kundi la mwisho ni la wanariadha watakaoondoka Agosti 7 tayari kwa michezo hiyo itakayofunguliwa Julai…

Read More

Baraza la wadhamini Yanga matatani

Dar es Salaam. Yanga imepokea hukumu ya kutotambulika kwa Baraza la Wadhamini la klabu hiyo kufuatia hukumu iliyotolewa Agosti 2, 2023 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.  Hukumu hiyo ambayo Mwananchi imeipata nakala yake inatokana na kesi ya msingi iliyofunguliwa Agosti 4, 2022 na walalamikaji Juma Ally na Geoffrey Mwaipopo, wakitaka kutotambulika kwa Baraza la…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Yanga kumpeleka Gift APR

BAADA ya beki wa kati Mganda Gift Fred kudaiwa kwamba amekosa namba kwenye kikosi cha Yanga, hivi sasa inaelezwa timu hiyo itamtoa kwa mkopo kwenda kwa mabingwa wa Rwanda, APR. Beki huyo alijiunga na Yanga wakati wa usajili wa dirisha kubwa, Julai 7, mwaka jana, akitokea SC Villa ya Uganda, lakini inaelezwa atatolewa kwenda Rwanda…

Read More

SIMBA YAMPA ‘THANK YOU’ PA OMAR JOBE

  Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na mshambuliaji Pa Omar Jobe (25) baada ya kipindi kifupi cha miezi sita. Jobe alijiunga na Simba akitoke katika timu ya Zhenis inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kazakhstan. Baada ya kutua Unyamani ambapo alianza kwa kuonesha kiwango kizuri lakini baadae mambo yakaanza kuharibika. Akiwa Simba…

Read More

MZEE WA KALIUA: Ahmed Ally ni kama jeshi

KAMA kuna mtu anafanya kazi ngumu kwenye mpira wa sasa hapa nchini ni meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba. Ahmed Ally ndilo jina lake. Wakati mwingine unahitaji kujifyatua akili. Wakati mwingine unaweza kuonekana kama umedata. Sio kazi rahisi kuisemea Klabu ya Simba hata kidogo. Simba iliyokosa ubingwa kwa msimu wa nne mfululizo….

Read More

Djokovic maji ya shingo ‘grand slam’

KAMA hatasimama kidete, basi madogo janja Jannik Sinner na Carlos Alcaraz watamchelewesha sana kama sio kufuta nafasi yake ya kuweka rekodi mpya ya dunia ya mataji 25 makubwa ya tenisi (Grand Slam) anayoisaka supastaa wa tenisi, Novak Djokovic. Djokovic mambo sio mambo mwaka huu kwani ameshindwa kubeba taji lolote kubwa katika yale matatu makubwa ya…

Read More

Robo ya tatu yaiokoa JKT Stars

USHINDI wa JKT Stars dhidi ya Polisi Stars wa pointi 98-82 katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL),  ulichangiwa na pointi 23-13 ilizopata katika robo ya tatu. Mchezo huo uliokuwa mkali na wa kusisimua uliofanyika katika Uwanja wa Donbosco Youth Centre, Upanga. Katika mchezo huo JKT Stars iliongoza katika robo ya kwanza…

Read More