Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 625
Michezo

Simba yaifuata Namungo bila Benchikha

April 28, 2024 Admin

KIKOSI cha Simba kimewasili kutoka Zanzibar ambako kimetwaa taji la sita la Muungano na kuunganisha moja kwa moja kuifuata Namungo tayari kwa mchezo wa ligi

Read More
Michezo

Robertinho alivyomuachia gundu Benchikha | Mwanaspoti

April 28, 2024 Admin

KOCHA wa Simba, Abdelhak Benchikha, anatarajiwa kuachana na klabu hiyo leo baada ya kusimamia mechi yake ya mwisho ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam

Read More
Michezo

Lala salama Championship ya jasho na damu

April 28, 2024 Admin

Ni fursa nzuri kwa Pamba kumaliza unyonge wa miaka 22 wa kukaa bila kushiriki Ligi Kuu itakapokabiliana na Mbuni FC kwenye Uwanja wa Sheikh Amri

Read More
Michezo

Mastraika Taifa Stars wanahitaji maombi

April 28, 2024 Admin

Wakati zikibaki siku 44 kabla ya mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia dhidi ya Zambia kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, mwenendo wa

Read More
Michezo

Kocha wa Fei Toto afariki dunia

April 28, 2024 Admin

KOCHA wa zamani wa Feisal Salum ‘Fei Toto’, Salum Khatib amefariki dunia baada ya kugongwa na gari akitokea mazoezini kuinoa timu ya JKU SC na

Read More
Michezo

Simba yampandia dau beki wa mpira

April 28, 2024 Admin

UKISIKIA haishi hadi iishe ndio hii. Baada ya kumkosa katika dirisha dogo la usajili la msimu huu, mabosi wa Simba wameamua kumkomalia beki wa kati

Read More
Michezo

Staa wa Pamba Jiji hatihati Championship

April 28, 2024 Admin

WAKATI pazia la Ligi ya Championship likifungwa rasmi leo, kiungo mshambuliaji na kinara wa mabao wa Pamba Jiji, Haruna Chanongo huenda akakosa mchezo wa mwisho

Read More
Michezo

Tchakei arejesha mzuka Ihefu | Mwanaspoti

April 28, 2024 Admin

NYOTA wa Ihefu, Marouf Tchakei ameanza mazoezi mepesi na timu hiyo baada ya kukosekana kwa takriban wiki tatu kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya kifundo

Read More
Michezo

Ishu ya Chama kwenda Yanga iko hivi

April 28, 2024 Admin

Kiungo wa Simba Clatous Chama anayemaliza mkataba mwishoni mwa msimu huu ametajwa kuhusisha na Yanga, zikiwa zimebaki wiki chache kabla msimu haujamalizika. Mkataba wa Chama

Read More
Michezo

Lomalisa kazini kwake kuna kazi

April 28, 2024 Admin

WAKATI Yanga ikionekana kufanya vizuri na kusalia kileleni hadi sasa, lakin beki wa kushoto wa timu hiyo, Joyce Lomalisa naye kibarua chake kipo hatarini. Yanga

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 624 625 626 … 640 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.