Nimeona mitandaoni tetesi Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha ameomba kuondoka mwishoni mwa msimu. Sijui kama ni ukweli ama uongo maana waandishi wengi wa kizazi
Category: Michezo

Usiku wa leo Simba itakuwa uwanjani mjini Unguja kumalizana na Azam kwenye pambano la fainali ya michuano ya Kombe la Muungano litakalopigwa Uwanja wa New

Kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji pekee katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu kuifunga Al Ahly. Pacome alifunga

Nyota wa Ihefu, Marouf Tchakei ameanza mazoezi mepesi na timu hiyo baada ya kukosekana kwa takriban wiki tatu kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya kifundo

Baada ya kumkosa katika dirisha dogo la usajili na staa huyo kuwahiwa na Ihefu FC ambayo imetuma ofa Coastal Union ikimtaka Lameck Lawi, Simba imepanda

Pazia la Ligi ya Championship msimu huu linafungwa kesho Jumapili huku utamu utakuwa jijini Arusha wakati Pamba itakaposaka nafasi ya kuzika mzimu ulioitesa kwa zaidi

Pazia la Ligi ya Championship msimu huu linafungwa kesho Jumapili huku utamu utakuwa jijini Arusha wakati Pamba itakaposaka nafasi ya kuzika mzimu ulioitesa kwa zaidi

MWANASPOTI linajua vigogo walio karibu na Yanga wamempa maisha ya kifahari staa anayepambana kuvunja mkataba na Azam, Prince Dube lakini klabu imeingia msituni kwa staili

YANGA, Azam na Simba ndizo timu zinazopigania nafasi mbili za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Bara msimu huu ili kupata nafasi ya kushiriki michuano

MBIO za kuwania tuzo ya Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Bara msimu huu ngoma nzito kikanuni, licha ya nyota wa Yanga, Stephane Aziz KI na