Dodoma Jiji yajichimbia Arusha | Mwanaspoti

WALIMA zabibu, timu ya Dodoma Jiji, asubuhi ya leo Jumatatu iliwasili jijini Arusha kwa ajili ya kuweka kambi ya kujiandaa na msimu ujao wa 2024/25. Ni mara ya pili kwa timu hiyo kuweka kambi Arusha tangu ilipopanda daraja kushiriki Ligi Kuu Bara msimu wa 2019/20. Mara ya kwanza ilikuwa ni mwaka 2022 ambapo ilikuwa inajiandaa na…

Read More

CEO SIMBA ANG’ATUKA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba imeridhia kuachana na Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa klabu hiyo Imani Kajula baada ya yeye mwenyewe kuomba kuondoka pindi mkataba wake utakapoisha.   Kupitia taarifa iliyotolewa na idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo leo, Jumatatu Julai 15.2024 imeeleza kuwa Kajula ataondoka mwishoni mwa mwezi Agosti 2024…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Pondamali kuibukia Yanga

KIPA wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Juma Pondamali ‘Mensah’ yupo ukingoni kujiunga na Yanga Princess kama kocha wa makipa. Nyota huyo wa zamani ambaye pia aliwahi kuwa kocha inaelezwa hadi sasa kuna uwezekano mkubwa msimu ujao akaitumikia timu hiyo katika eneo hilo kutokana na uzoefu wake. Wakati huo huo Yanga Princess imetua kwa beki…

Read More

Crispin Ngushi apewa mmoja jeshini

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga, Crispin Ngushi amejiunga na kikosi cha Maafande wa Mashujaa ya Kigoma kwa mkataba wa mwaka mmoja. Ngushi aliyewahi kuichezea Mbeya City, amejiunga na Mashujaa akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake na Yanga kumalizika huku Coastal Union iliyokuwa inamtumia kwa mkopo msimu uliopita, ikishindwa kukubaliana naye maslahi binafsi ya kubaki naye….

Read More

Gomez atua Fountain Gate | Mwanaspoti

TIMU ya Fountain Gate imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa mshambuliaji nyota wa KVZ ya Zanzibar, Seleman Mwalimu ‘Gomez’. Nyota huyo aliyewahi kuzichezea timu mbalimbali ikiwemo FGA Talents inayoshiriki Ligi ya Championship amejiunga na kikosi hicho kwa mkopo ili apate nafasi ya kucheza akitokea Singida Black Stars ambayo imemsajili kwa mkataba wa miaka mitatu. “Ni kweli tumemtoa…

Read More

Banda aisikilizia Richards Bay | Mwanaspoti

BEKI Abdi Banda licha ya timu aliyoichezea msimu ulioisha Richards Bay kumpa nafasi ya kuongeza mkataba wa mwaka mmoja baada ya kumalizika wa awali, bado akili yake inawaza kusaka changamoto mpya. Katika mahojiano yake na Mwanaspoti, Banda alisema timu ya Richards Bay inasubiri uamuzi wake, lakini anajipa nafasi ya kuwaza zaidi changamoto mpya katika timu…

Read More

Farid amkabidhi Chama namba 17, Mkude achukua 20

IMEFICHUKA kwamba, Mwamba wa Lusaka, Clatous Chama, msimu ujao atavaa jezi namba 17 ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kutua katika timu hiyo akitokea Simba, huku Jonas Mkude naye akichukua namba 20. Chama ambaye amejiunga na Yanga akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake na Simba kumalizika, amekabidhiwa jezi hiyo na Farid Mussa. Taarifa…

Read More