Nonga: Huyu Guede anajua sana!

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga ambaye kwa sasa ni kocha wa viungo wa Mbeya City, Paul Nonga amemtaja Joseph Guede kuwa ni mchezaji bora kutokana na kuwa vitu vitatu muhimu kwa wachezaji wanaocheza eneo hilo la ushambuliaji. Guede aliletwa na Yanga ameitumikia timu hiyo kwa miezi sita na baadaye kupewa mkono wa kwaheri na sasa…

Read More

Simba yamganda Mpanzu, Onana aitwa Dar

BAADA ya AS Vita kupindua meza dakika za jioni katika dili la winga Mkongomani Elie Mpanzu na Simba, wekundu hao wa Msimbazi wameendelea kumganda staa huyo hadi kieleweke. Awali Simba na Mpanzu walikubaliana kusaini mkataba wa miaka miwili lakini baadae vigogo wanaommiliki Mpanzu akiwemo moja ya matajiri wapya wa AS Vita, aliingilia kati dili hilo…

Read More

Yanga yashtuka, Chama, Dube, Baleke waondolewa!

YANGA ni kama imeshtuka vile. Baada ya kuiona Simba ipo kambini Ismailia, Misri na kusikia Azam FC nayo imeondoka nchini kwenda Morocco kuweka kambi ya maandalizi ya msimu ujao, nao fasta wameamua kufanya jambo. Mabosi wa klabu hiyo wakishirikiana na kocha Miguel Gamondi, wameamua kuwaondoa mastaa wa timu hiyo akiwamo Jean Baleke, Clatous Chama na…

Read More

NONGA: Nilicheza nikiwa na msiba wa baba

WAKATI mwingine ni ngumu kuamini, lakini ndivyo ukweli ulivyo. Kuna watu huwa wanakumbwa na majanga, lakini kwa sababu maalumu, hufichwa kwanza ili kutekeleza jambo, kisha huja kuambiwa baadae. Hivi ndivyo ilivyowahi kumkumba nyota wa zamani wa JKT Oljoro, Mbeya City, Yanga, Mwadui, Lipuli na Gwambina, Paul Nonga ‘Mtumishi’. Nonga aliyestaafishwa kwa lazima kucheza soka licha…

Read More

Arusha wakiwasha Lina PG Tour

WACHEZAJI wa Gofu wa Jiji la Arusha wameibuka vinara kwa kutwaa tuzo nyingi kwenye raundi ya tatu ya michuano ya Lina PG Tour kwa wa kulipwa na ridhaa. Elisante Lembris na Nuru Mollel walishika nafasi ya kwanza na ya pili mtawalia wakiwaacha wapinzani wao zaidi ya mikwaju 15. “Sikucheza vizuri katika raundi mbili za awali,…

Read More

Kikapu Mbeya visingizio kibao Taifa Cup

TIMU ya mchezo wa Kikapu ya Wanawake Mkoa wa Mbeya imesema kuwakosa baadhi ya nyota wake, kucheza pungufu na kuwatumia wachezaji wasio na uzoefu ndio iliwapa wakati mgumu kutofikia malengo. Timu hiyo ambayo ndio iliwakilisha mkoa huo baada ya wanaume kushindwa kushiriki kwa madai ya ukata, iliishia nusu fainali kwa kufungwa na Mara ambao walitwaa…

Read More

Caravans T20: Alliance watakata ligi ya kriketi

ALLIANCE Caravans iliitia adabu Balakshina Foundation kwa ushindi mnono wa mikimbio 64 katika mchezo wa mizunguko 20 uliofanyika jijini Dar es Salaam, Jumamosi. Alliance ilishinda kura ya kuanza na kutengeneza mikimbio 149, huku ikipoteza wiketi tisa na kuwapa kazi nzito Balakshina kuzifikia alama hizo na kupata mikimbio 80 tu baada ya wote kutolewa. Kassim Nasoro…

Read More

KenGold yawaficha mastaa Tukuyu | Mwanaspoti

WAKATI Ken Gold ikijichimbia Tukuyu wilayani Rungwe mkoani Mbeya kuanza kambi ya kujiandaa na Ligi Kuu msimu ujao, uongozi na benchi la ufundi wameeleza sababu za kujificha huko na matarajio yao. Timu hiyo ya wilayani Chunya inajiandaa kucheza Ligi Kuu kwa mara ya kwanza, ambapo tayari imemalizana na baadhi ya mastaa huku ikiendelea na usajili…

Read More