Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 629
Michezo

Kaizer Chiefs yamuhitaji Amrouche | Mwanaspoti

April 25, 2024 Admin

ADEL Amrouche amerejea tena kwenye rada za kuinoa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, baada ya timu hiyo kuonekana kuhitaji kocha mwingine kwa ajili ya msimu

Read More
Michezo

Rais Samia ampa zawadi ya fedha Changalawe na wenzake

April 25, 2024 Admin

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemzawadia zawadi ya fedha nahodha wa timu ya taifa ya Faru Weusi wa Ngorongoro,

Read More
Michezo

Bilioni 19.7 kubadili Uwanja wa Uhuru

April 25, 2024 Admin

SERIKALI kupitia Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo umesaini mkataba na Kampuni ya Railway Construction Engineering Group (CRCEG) kutoka China, kwa ajili ya ukarabati wa

Read More
Michezo

AKILI ZA KIJIWENI: Azam inatumia vyema makosa ya Simba SC

April 25, 2024 Admin

FEBRUARI mwaka huu, Simba ilikuwa juu ya Azam FC kwenye msimamo wa Ligi Kuu kwa tofauti ya pointi nne ambapo yenyewe ilikuwa na pointi 36

Read More
Michezo

Ile ishu ya Onana kuzuiwa kupiga penalti na Benchikha ipo hivi

April 25, 2024 Admin

Hatimaye sababu ya kocha wa Simba Abdelhack Benchikha kumzuia Willy Esomba Onana kupiga penalti imefahamika. Jana usikukwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Simba ilivaana na

Read More
Michezo

CAF yaipa ushindi Berkane, yaitega USM ALGER

April 25, 2024 Admin

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) hatimaye limefanya uamuzi wa kuipa ushindi RS Berkane baada ya kubaini Wamorocco hao walifanyiwa vitendo sio vya kiungwana na wenyeji

Read More
Michezo

Dodoma Jiji, KMC vita ya nafasi Bara

April 25, 2024 Admin

LIGI Kuu Bara inaendelea tena leo kwa mchezo mmoja kupigwa ambapo Dodoma Jiji itakuwa kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kucheza na KMC. Dodoma ambayo

Read More
Michezo

SPOTI DOKTA: Sababu ya majeraha ya Inonga, Lomalisa

April 25, 2024 Admin

KATIKA Kariakoo Dabi ya Ligi Kuu Bara kati watani wa jadi, Simba na Yanga iliyochezwa Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa ilishuhudia Yanga ikiibuka

Read More
Michezo

Nyota JKT afichua balaa la Aucho Yanga

April 25, 2024 Admin

Nyota wa JKT Tanzania, Hassan Kapalata amesema haikuwa rahisi kupambana na kiungo wa Yanga, Khalid Aucho katika mchezo wa Ligi Kuu Bara baina ya timu

Read More
Michezo

Undani wa ugomvi wa Morocco, Algeria ni huu

April 25, 2024 Admin

NAKUMBUKA ilikuwa Januari 2022, wakati mashindano ya AFCON 2021, yanaendelea kule Cameroon. Baada ya mchezo wa hatua ya makundi kati ya Algeria na Ivory Coast

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 628 629 630 … 640 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.