Sh2 bilioni zailiza Mbeya City

MAUMIVU ya kushuka daraja kwa Mbeya yameanza kuuma baada ya uongozi kukiri kupata hasara ya Sh1 bilioni kwa mwaka, huku ikiapa kuwa msimu ujao wa 2024/25 ndio mwisho wa kucheza Championship. City ilishuka daraja msimu wa 2022/23, ambapo msimu uliopita ilishindwa kupanda tena ilipomaliza katika nafasi ya sita kwa pointi 37 na sasa imeanza kujitafuta…

Read More

Sababu ya Waziri Jr kuifunga Simba hii hapa

KUIPAMBANIA ndoto si kazi nyepesi. Njiani kuna uwezekano wa kukutana na milima na mabonde, lakini jambo la msingi ni kuamini siku ya kicheko inakuja, kama anavyosimulia mshambuliaji Waziri Junior jinsi ambavyo aliwahi kupata uchungu uliomfanya aweke nadhiri kwa Mungu. Junior anasema kila mchezaji ana historia ya alipotokea hadi kufikia hatua ya kujulikana mbele ya jamii,…

Read More

Francois Regis atajwa kuwa CEO mpya Simba

UONGOZI wa Simba umefikia makubaliano ya kumwajiri Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, ili achukue nafasi ya Imani Kajula anayejiandaa kumaliza mkataba mwezi ujao. Kajula ambaye ni mzoefu katika uongozi wa mpira, akiwamo kwenye Kamati ya maandalizi ya Michuano ya Afrika ya vijana chini ya umri wa miaka…

Read More

CEO MPYA WA SIMBA HUYU HAPA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Uongozi wa Simba umefikia makubaliano ya kumwajiri Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, ili achukue nafasi ya Imani Kajula anayejiandaa kumaliza mkataba mwezi ujao.   Kajula ambaye ni mzoefu katika uongozi wa mpira, akiwamo kwenye Kamati ya maandalizi ya Michuano ya Afrika ya vijana chini ya umri…

Read More

Hapa kazi ipo | Mwanaspoti

UKISIKIA mtego ndio huu uliofanywa na mabilionea wa Simba na Yanga. Ndio, Yanga imesajili majembe ya maana kwa gharama kubwa ili kuimarisha kikosi. Bilionea Ghalib Said Mohammed ‘GSM’ kupitia uongozi wa klabu hiyo, amemsajili Clatous Chama kutoka Simba, amemvuta Prince Dube kutoka Azam kwa gharama kubwa. Amemleta Chadrak Boka kutoka DR Congo. Amembakisha Stephane Aziz…

Read More

Aussems atuliza presha Singida BS

SINGIDA Black Stars imekuwa timu ya kwanza ya Tanzania kuaga michuano ya Kombe la Kagame 2024 inayoendelea jijini Dar es Salaam baada ya juzi jioni kuchapwa tena mabao 3-1 na SC Villa ya Uganda siku chache tangu iliponyukwa 1-0 na APR ya Rwanda, lakini hilo halijamshtua Kocha Patrick Aussems. Kocha huyo wa zamani wa Simba,…

Read More