Chama aanza vitu Singida Black Stars

NYOTA mpya wa Singida Black Stars, Clatous Chama ameanza vitu na kuibua matumaini kwa kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi ambaye alikosa huduma yake katika mechi ya kwanza ya mashindano ya Kombe la Kagame dhidi ya Ethiopian Coffee kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Baada ya mechi hiyo, Gamondi alieleza wazi kwamba walikosa mtu mwenye…

Read More

Oviedo, Coastal Union kuna kitu kinapikwa

UONGOZI wa Coastal Union uko katika mazungumzo ya kumsajili aliyekuwa beki wa Pamba Jiji, Ally Ramadhan ‘Oviedo’ baada ya nyota huyo kumaliza mkataba, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mwingine mpya wa kukichezea tena kikosi hicho. Nyota huyo wa zamani wa Mashujaa ameshindwa kufikia makubaliano ya kusaini mkataba mpya na Pamba ambapo kwa sasa inadaiwa…

Read More

Maajabu ya Kundi C Kagame Cup 2025

MICHUANO ya Kombe la Kagame imeanza kwa kasi, lakini tofauti na makundi mengine, Kundi C limeonekana kuwa la kipekee baada ya timu zote nne kuanza kwa sare katika mechi za kwanza. Katika mechi ya mapema iliyochezwa juzi Alhamisi, Kator ya Sudan Kusini ililazimishwa suluhu na Al-Ahly Wad Madani ya Sudan, kabla ya Al-Hilal Omdurman kutoka…

Read More

Mbeya City ile siku ndo leo

JIJI la Mbeya leo litakuwa lipo bize kutokana na uwepo wa tamasha la kijanja la klabu ya Mbeya City iliyorejea katika Ligi Kuu Bara msimu huu, ikitoka Ligi ya Championship. Wanakomakumwanya leo ni siku yao na ndio maana wanashangweka kupitia Mbeya City Day kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini humo baada ya awali kufanya shughuli mbalimbali…

Read More

Fountain yanasa beki Mrundi | Mwanaspoti

UONGOZI wa Fountain Gate uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa beki wa kati wa Namungo raia wa Burundi, Derrick Mukombozi, baada ya nyota huyo kuafikiana maslahi binafsi na mabosi wa kikosi hicho. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa kikosi hicho zimeliambia Mwanaspoti, Mukombozi amekubali maslahi binafsi na tayari amepewa mkataba wa…

Read More

Karia atangaza hali ya hatari kwa marefa Bara 

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia ametangaza hali ya hatari kwa waamuzi watakaochezesha Ligi msimu ujao. Akifunga semina ya waamuzi hao iliyokuwa ikifanyika makao makuu ya TFF, Karia amesema, msimu ujao utakuwa wa tofauti ambapo watahakikisha wanasimamia umakini. Karia, aliyeambatana na Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), Nassoro Idrissa, amesema…

Read More

TDS yaitibulia City FC Abuja Tanzanite Pre-Season

TDS imeitibulia City FC Abuja katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya michuano ya Tanzanite Pre-Season International baada ya leo Septemba 5, 2025 kuichapa bao 1-0. City FC Abuja iliingia katika mchezo huo uliofanyika kuanzia saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara, ikiwa tayari imefuzu nusu fainali, lakini…

Read More