
Mashujaa yajificha ufukweni Dar | Mwanaspoti
UNAITAFUTA Mashujaa? Basi usiende viwanjani kwani jamaa wako zao ufukweni wakizianza hesabu za kujipanga kwa ajili ya msimu ujao. Wakiwa chini ya kocha mkongwe Salum Mayanga, Mashujaa wamekita kambi yao jijini Dar es Salaam, kujifua kwa mazoezi ya ufukweni. Mashujaa wanafanya tizi wakikimbia mbio tofauti na mazoezi mengine ya fiziki, wakiwa kwenye fukwe za Msasani….