Chama aanza vitu Singida Black Stars
NYOTA mpya wa Singida Black Stars, Clatous Chama ameanza vitu na kuibua matumaini kwa kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi ambaye alikosa huduma yake katika mechi ya kwanza ya mashindano ya Kombe la Kagame dhidi ya Ethiopian Coffee kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Baada ya mechi hiyo, Gamondi alieleza wazi kwamba walikosa mtu mwenye…