
Mgunda afichua siri usajili Simba
ALIYEKUWA kaimu kocha mkuu wa Simba, Juma Mgunda amefichua siri za usajili mpya wa klabu hiyo iliyopo kambini Ismailia, Misri na kuupongeza uongozi wa timu hiyo kwa kufuata ushauri alioutoa wa kutaka kuvunjwa kwa timu hiyo ili isajili wachezaji vijana ambao watajenga timu mpya. Mgunda aliiwezesha Simba kumaliza katika nafasi ya tatu ndani ya Ligi…