AKILI ZA KIJIWENI: Azam imeupiga mwingi kwa Kipre JR

AZAM FC imefanya uamuzi mgumu wa kumuuza winga wake Kipre Junior kwenda MC Alger ya Algeria kwa dau linalokadiriwa kufikia Sh700 milioni. Uamuzi wa kumuuza Kipre Junior umefanyika siku chache baada ya timu hiyo kumruhusu mshambuliaji Prince Dube aondoke baada ya mchezaji huyo kulipa kiasi kama hicho ambacho Azam imekipata kwa kumuuza Kipre. Kwa maana…

Read More

NIONANVYO: Kombe la Kagame, Walioitwa hawaitiki

MICHUANO ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup) inaendelea jijini Dar es Salaam. Hii ni moja ya michuano ya muda mrefu ya klabu Afrika. Awali yalijulikana kama Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati na baadae mwaka 2002, yaliitwa Kombe la Kagame baada ya kudhaminiwa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame ambaye ni…

Read More

JKT Tanzania yatangaza vita ya ubingwa 2024/25

JKT Tanzania imesema msimu huu inapambana kuhakikisha inachukua ubingwa wa Ligi Kuu ambao unatetewa na Yanga na kushiriki michuano ya kimataifa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano, Masau Bwire alisema kama klabu wamejipanga kubeba kila taji mbele yao ikiwemo la Ligi Kuu. Masau alisema anaamini usajili bora waliofanya…

Read More

Gor Mahia yaanza Kagame na kipigo

MABINGWA wa Kenya, Gor Mahia ‘K’Ogalo’ imeanza vibaya michuano ya Kombe la Kagame, baada ya kulambwa bao 1-0 na Red Arrows ya Zambia katika mechi ya Kundi B, uliopigwa jana usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex, jijini Dar es Salaam. Bao lililoizamisha K’Ogalo liliwekwa kimiani dakika ya 73 kupitia James Chamanga na kuwafanya mabingwa hao…

Read More

Safari ya Aziz Ki na Yanga – MWANAHARAKATI MZALENDO

Tangu Aziz Ki alipojiunga na klabu ya Yanga msimu wa 2022/2023, mashabiki wa soka hasa hasa wa Yanga wamekuwa na kitu cha ziada cha kufurahia kila mechi. Kijana huyu mwenye kipaji cha kipekee amekuwa kielelezo cha ustadi, umahiri, na uhodari kwenye timu ya Yanga SC. Kila mara anapokanyaga uwanja, ni kama nyota inayong’ara usiku wa…

Read More

MAGDALENA: Ondoeni hofu, medali ya Olimpiki ipo!

MWANARIADHA nyota wa Kimataifa wa Tanzania, Magdalena Shauri, ni miongoni mwa Watanzania wanne watakaoenda kushiriki Michezo ya Olimpiki ya Paris, Ufaransa wakibeba mioyo ya wananchi zaidi ya milioni 60. Magdalena anayetokea katika timu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), ataungana na wenzake Jackline Sakilu, Alphonce Simbu na Gabriel Geay, kukata kiu yake ya kushiriki…

Read More

Simba yanasa beki mwingine wa kulia, Mwenda kitanzini

LICHA ya kikosi chote kipya cha Simba kuwa kambini Ismailia, Misri, hiyo haijawazuia mabosi wa klabu hiyo kuendelea kushusha mashine mpya, baada ya kumnasa beki aliyekuwa Singida FG, Kelvin Kijiri ili kuimarisha eneo hilo la kulia lenye mkongwe Shomari Kapombe. Kijiri amemalizana na Simba kwa mkataba wa miaka miwili na Mwanaspoti linafahamu, beki huyo amemwaga…

Read More