Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 632
Michezo

MKUTANO WA UZINDUZI WA BIDHAA ZA KIYOYOZI KUTOKA HAIER – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 20, 2024 Admin

Bw. Mohamed Ally, mkurugenzi wa miradi wa kampuni ya GSM Tanzania (kushoto) akimkabidhi zawadi ya Kiyoyozi mmoja wa wadau wa vifaa vya kielektroniki vya Haier

Read More
Michezo

Al Ahly yatanguliza mguu fainali ya CAFCL

April 20, 2024 Admin

Sare isiyo ya mabao iliyopata watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly ya Misri ikiwa ugenini dhidi ya TP Mazembe ya DR Congo, imeiweka

Read More
Michezo

Matola akiri ubingwa ni mgumu

April 20, 2024 Admin

Kocha Msaidizi wa Simba, Seleman Matola, amesema kupoteza tena mbele ya Yanga kumezidi kufanya safari ya ubingwa kuwa ngumu. Akizungumza baada ya dakika 90 za

Read More
Michezo

Gamondi achekelea kuichapa Simba, ausogelea ubingwa

April 20, 2024 Admin

Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, amesema licha ya kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba, amekiri kuwa haikuwa rahisi huku akiwamwagia

Read More
Michezo

Yanga yabakiza sita za ubingwa

April 20, 2024 Admin

Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya kuichapa kwa mara ya pili ndani ya Ligi Kuu Bara katika msimu mmoja kutokana na kushinda mabao 2-1,

Read More
Michezo

JKT yaichapa Geita Queens 9-0, Stumai akiweka matano WPL

April 20, 2024 Admin

LEO saa 4:00 asubuhi katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo ilipigwa mechi ya Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), JKT Queens ikiwa nyumbani na kuondoka na

Read More
Michezo

Yanga yagomea chumba cha kubadilishia nguo Kwa Mkapa

April 20, 2024 Admin

Muda mfupi baada ya Yanga kuwasili katika Uwanja wa Mkapa, wamelazimika kugomea kuingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo. Maofisa wa Yanga waliotangulia kukagua chumba hicho walionekana

Read More
Michezo

Ayoub atwishwa zigo la lawama Kariakoo Dabi

April 20, 2024 Admin

KOCHA wa Simba, Abdelhak Benchikha amemuanzisha kipa  Ayoub Lakred katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya watani zao, Yanga. Ayoub aliyesajiliwa na timu hiyo

Read More
Michezo

Yao arejea Yanga baada ya dakika 360

April 20, 2024 Admin

BAADA ya kukosekana katika michezo minne iliyopita sawa na dakika 360, hatimaye beki wa kulia wa Yanga, Attohoula Yao amerejea uwanjani kwa kupangwa kuanza katika

Read More
Michezo

Pacome amuangukia Gamondi, kocha amgomea

April 20, 2024 Admin

SAA chache kabla ya Yanga kuanza safari ya kuja uwanjani kiungo wa timu hiyo amewasilisha maombi kwa kocha wake ampe hata dakika 20 za mchezo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 631 632 633 … 638 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.