Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 633
Michezo

Yanga, Simba kutangulia dabi nyingine tano duniani wikiendi hii

April 20, 2024 Admin

Wikiendi hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam kutakuwa na Dabi ya Kariakoo, ikiwa ni dabi ya tano Afrika kwa ukubwa, macho

Read More
Michezo

Kakolanya aigomea Singida | Mwanaspoti

April 20, 2024 Admin

SIKU chache baada ya Kamati ya Nidhamu ya Singida Fountaine Gate kumuandikia barua kipa wao, Beno Kakolanya kwa ajili ya kujibu tuhuma zinazomkabili za kutoroka

Read More
Michezo

Yanga kutembea na upepo wa Arajiga leo?

April 20, 2024 Admin

YANGA inashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 11:00 jioni kupambana na watani zao, Simba, huku timu hiyo ikiwa na rekodi bora msimu huu wakati

Read More
Michezo

Usalama waimarishwa Kwa Mkapa | Mwanaspoti

April 20, 2024 Admin

LICHA ya uchache wa mashabiki kabla ya mchezo wa watani wa jadi, Yanga dhidi ya Simba unaotarajiwa kupigwa saa 11:00 jioni, usalama umeimarishwa kila kona.

Read More
Michezo

Vita ya mabingwa wa CAF yaanza upya!

April 20, 2024 Admin

Achana na Kariakoo Dabi itakayopigwa kuanzia saa 11:00 jioni kwa vigogo Simba na Yanga kuvaana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, saa moja kabla huko Lubumbashi,

Read More
Michezo

Neema ya Kariakoo Dabi kiuchumi

April 20, 2024 Admin

Achana na burudani wanayopata mashabiki wa soka nchini inapokuja Dabi ya Kariakoo, lakini ukweli, pambano hilo la watani wa jadi nchini, limekuwa na neema kubwa

Read More
Michezo

Jumamosi yaibeba Yanga Kariakoo Dabi

April 20, 2024 Admin

MASHABIKI wa Yanga na Simba tayari viroho vimeanza kuwadunda, wakati wakiendelea kuhesabu siku kabla ya timu zao kushuka katika pambano la Ligi Kuu Bara litakalopigwa

Read More
Michezo

Singida FG, Mashujaa vita ya matumaini

April 20, 2024 Admin

KESHO Jumapili Singida Fountain Gate na Mashujaa FC zitakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu za matumaini ya kubaki Ligi Kuu Bara na kumaliza nafasi

Read More
Michezo

Aliyetishia Kariakoo Dabi mtandaoni adakwa na Polisi

April 19, 2024 Admin

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Abdulshahib Hegga ‘GB64’ kwa tuhuma za kuhamasisha watu kufanya vurugu katika mchezo wa Ligi Kuu

Read More
Michezo

Wakongwe: Ni Dabi ya suluhu au sare

April 19, 2024 Admin

 Mastaa waliowahi kuzichezea Simba na go Yanga wametoa utabiri wa mechi ya Kariakoo Dabi ya Ligi Kuu Bara inayopigwa kesho, Jumamosi, uwanjani Benjamin Mkapa, wengi

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 632 633 634 … 638 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.