Chuku: Huyu Bocco bado sana!

SIMBA imeachana na aliyekuwa nahodha wa timu hiyo ambaye amehudumu kwa miaka sita ndani ya kikosi hicho akitwaa mataji ya ndani wakiaamini atastaafu, lakini mambo yamebadilika kwani ameibukia JKT Tanzania. Wakati staa huyo mwenye rekodi nzuri kwenye eneo analocheza bado hajaanza kibarua cha kuitumikia timu yake mpya ya JKT Tanzania, aliyekuwa beki wa Pamba, Salum…

Read More

Bocco atambulishwa rasmi kuwa mshambuliaji wa JKT Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Aliyekuwa mshambuliaji wa klabu ya Simba, John Bocco, ametambulishwa rasmi kuwa mshambuliaji mpya wa klabu ya JKT Tanzania. Bocco, ambaye ni kinara wa mabao katika Ligi Kuu ya Tanzania, tayari ameanza mazoezi na klabu yake mpya, akijiandaa kwa msimu ujao. Msimu uliopita haukuwa mzuri kwa Bocco kutokana na kutopata nafasi…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Mkenya kwenye rada za Yanga

YANGA imeanza mazungumzo na kiungo mshambuliaji Mkenya, Duke Abuya baada ya mkataba wake na Singida Black Stars kuisha. Nyota huyo aliyejiunga na Singida akitokea timu ya Kenya Police, inaelezwa huenda akatua Jangwani ili kupata changamoto mpya huku Yanga ikiingilia kati dili baada ya awali Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya’ kumhitaji pia. UONGOZI wa Yanga huenda…

Read More

AI ilivyoleta mageuzi michezo ya Casino Tanzania

Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imeshuhudia mabadiliko makubwa katika sekta ya michezo ya Casino. Mabadiliko haya yamechagizwa hususan na ujumuishaji wa teknolojia za akili bandia za hali ya juu. Kuanzia kuboresha uzoefu wa wateja hadi kuboresha utendaji kazi, akili bandiainajenga upya uga wa burudani ya michezo ya Casino nchini. Kuibuka kwa matumizi ya Akili…

Read More

Gamondi: Yanga inapangika tu | Mwanaspoti

Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi amesema licha ya usajili wa mastaa waliosajiliwa katika timu hiyo, hana hofu ya kupanga kikosi. Gamondi amesema kikosi kitakuwa kinapangwa kulingana na aina ya wapinzani wanaokutana nao. Amesema mbali na wapinzani, pia itategemea na viwango vya wachezaji ili kutumika kwenye michezo husika. “Ugumu wa kupanga timu? Hapana. Hakuna ugumu, timu…

Read More

Gamondi achekelea Aziz KI kubaki Yanga

Licha ya kutokuwepo kwenye mazoezi ya leo, kocha wa Yanga, Miguel Gamondi amesema kila mtu  ndani ya timu hiyo amefurahishwa na taarifa ya Stephanie Aziz Ki kuendelea kuitumikia timu hiyo. Kauli hiyo ya Gamondi inakuja baada ya saa chache kupita tangu Aziz KI kuthibitisha kwamba ataendelea kusalia ndani ya kikosi hicho. Azizi Ki amerejea nchini…

Read More

Biko Scanda anukia CEO mpya Pamba

KLABU ya Pamba Jiji iko katika mazungumzo na Biko Scanda ili awe mtendaji mkuu mpya kwa ajili ya msimu ujao. Taarifa kutoka ndani ya kikosi hicho zimeiambia Mwanaspoti kwamba, vikao vya ndani vinaendelea kwa ajili ya kumpata mtendaji mkuu baada ya mkutano uliofanyika Juni, mwaka huu jijini Mwanza kushindwa kupata mtu sahihi. “Mazungumzo baina ya…

Read More

Hii ndio Simba sasa iko ‘full’ mkoko

SIMBA imeamua. Baada ya misimu mitatu ya unyonge katika Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA), Wekundu wa Msimbazi wamezinduka na kufanya usajili wa kibabe. Ikiwa na hasira ya kutolewa kinyonge na Mashujaa, kisha kumaliza nafasi ya tatu katika Ligi Kuu na kujikuta kwa mara ya kwanza ndani ya misimu sita, timu hiyo hiyo…

Read More