Khan, Whyte wamjaza Tyson | Mwanaspoti

MABONDIA Amir Khan na Dillian Whyte wametoa mtazamo wa pambano la marudiano baina ya mabondia Tyson Fury na Oleksandr Usyk linalotarajiwa kufanyika Desemba, mwaka huu, Saudi Arabia. Kahn anakiri ugumu wa Fury kumpiga Usyk, lakini kama atajiandaa vyema atalipa kisasi kwani ana uwezo wa kumpiga mpinzani wake huyo. Whyte kwa upande wake amemtaka Fury kutojiamini…

Read More

Savio yaanza kuonyesha ubabe BDL

Savio imeonyesha ukubwa wake katika Ligi ya  Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), baada ya kuifunga  Mchenga Star kwa pointi 82-77 katika mchezo uliofanyika juzi usiku kwenye Uwanja wa Donbosco Osterbay. Mchezo huo ulishuhudiwa na mashabiki wengi wakitaka kujua nani angeibuka na mshindi siku hiyo.  Akizungumza na Mwanaspoti baada ya mchezo kumalizika, kocha mkuu…

Read More

Kahama Sixers yaichapa Risasi | Mwanaspoti

Timu ya kikapu ya Kahama Sixers imeifunga Risasi kwa pointi 87 -64 katika mchezo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Shinyanga uliofanyika  Uwanja wa Kahama. Akizungumza na Mwanasposti kwa simu kutoka Shinyanga, kamishina wa ufundi na mashindano wa mkoa huo, George Simba alisema timu nne ndizo zinazoshiriki michuano hiyo. Alizitaja timu hizo kuwa ni Kahama…

Read More

Kagame kuendelea leo Dar | Mwanaspoti

BAADA ya jana kupigwa michezo minne ya ufunguzi wa michuano ya Kombe la Kagame, itaendelea leo na itakuwa ni zamu ya timu za kundi ‘B’, mechi zote zikipigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar es Salaam. Mchezo wa mapema utakuwa kati ya Al Hilal ya Sudan itakayocheza dhidi ya Djibouti Telecom ya Djibouti…

Read More

Aziz Ki atua Dar kutegua kitendawili

Dar es Salaam. Taarifa itakayowashusha presha mashabiki wa Yanga ni kwamba hatimaye kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Stephanie Aziz KI, amewasili nchini huku akitolewa Uwanja wa Ndege kininja. Aziz KI, amewasili nchini alfajiri ya leo Julai 10, 2024 akitokea mapumziko nchini kwao kwa Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia lakini akatoka kimkakati uwanja wa…

Read More

Dili jipya la Lawi hadharani

Wakati Simba ikiondoka nchini juzi kwenda Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao bila Lameck Lawi, taarifa ikufike nyota huyo wa Coastal Union yupo zake bize akipambana kukamilisha safari yake ya kwenda Ubelgiji. Beki huyo juzi alionwa na Mwanaspoti akiingia na kutoka katika ubalozi wa Ubelgiji na alithibitisha kuwa ana mipango ya kwenda nchini…

Read More

Ishu ya Aziz KI, Yanga.. yamuibua Gamondi

MASHABIKI wa Yanga wamepata presha ya ghafla wakati wenzao wa Simba wanacheka, huku wakiomba dua mbaya kiungo Stephanie Aziz KI aondoke Jangwani, lakini kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi ameibuka akisema “nimkute Avic haraka”. Hilo limekuja baada ya Rais wa Yanga, injinia Hersi Said akiwa nchini Afrika Kusini kuviambia vyombo vya habari hatma ya Aziz…

Read More

Betting Sites 5 Bora Tanzania za Ushindi: Ushindi Unaanzia Hapa!

Katika miaka ya hivi karibuni, tasnia ya michezo ya kubashiri nchini Tanzania imepata umaarufu mkubwa sana. Watanzania wengi wanapenda kubashiri michezo mbalimbali hasa hasa soka, ikifatiwa na basketball, na mengineyo, kwa matumaini ya kushinda fedha za ziada. Hapa chini, tumekusanya orodha ya tovuti 5 bora za kubashiri nchini Tanzania, ambazo zimepata umaarufu sana kwa huduma…

Read More

Kucheza na njaa kulivyomkimbiza Nelly Ligi Kuu

UKITAJA mabinti warembo 10 wanaofanya vizuri katika Ligi Kuu ya Wanawake Bara, basi huwezi kumuacha mwanadada Nelly Kache anayekipiga Alliance Girls ya jijini Mwanza. Licha ya kucheza Tanzania, lakini ndoto zake kubwa ni kusakata kabumbu Ufaransa ambako anaamini atakuza zaidi kipaji chake. “Tanzania unapata fursa nyingi ya kuonekana. Naamini kuna mawakala mbalimbali wanafuatilia ligi hii…

Read More