MIRATHI YA HANS POPE: Baba, mtoto yaamriwa wakamatwe

MAHAKAMA Kuu iliyopo katika Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Masuala ya Familia (IJC) Temeke, Dar es Salaam imetoa hati ya kukamatwa mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Z.H. Poppe Ltd, Caeser Hans Poppe na mwanaye Adam Caeser HansPoppe, kwa kuidharau. Mahakama hiyo imeelekeza Caeser na Adam ambaye pia ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo wakamatwe…

Read More

Raducanu ndio basi tena kwa Murray

LICHA ya kupiga chini kucheza mchezo wa ‘mixed doubles’ pamoja na Andy Murray kwenye michuano ya tenisi ya Wimbledon, mwanadada Emma Raducanu ameshindwa kufikia lengo la angalau robo fainali kwenye michuano hiyo baada ya kuondolewa raundi ya nne na Lulu Sun. Emma ambaye ana taji moja kubwa la tenisi duniani (Grand slam), alipiga chini fursa…

Read More

Dar City, Outsider bado saba tu

WAKATI mzunguko wa pili wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ukianza mwishoni mwa wiki iliyopita,  umeonyesha kwamba timu za Dar City na UDSM Outsiders zina nafasi kubwa ya kutoboa kucheza hatua ya nane bora. Nafasi ya timu hizo itakuja endapo zitashinda michezo   saba kila mmoja itakayofanya ziwe na pointi 45 katika…

Read More

MIRATHI YA HANSPOPE: Baba, mtoto yaamriwa wakamatwe

MAHAKAMA Kuu iliyopo katika Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Masuala ya Familia (IJC) Temeke, Dar es Salaam imetoa hati ya kukamatwa mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Z.H. Poppe Ltd, Caeser Hans Poppe na mwanaye Adam Caeser HansPoppe, kwa kuidharau. Mahakama hiyo imeelekeza Caeser na Adam ambaye pia ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo wakamatwe…

Read More

Hamilton mzuka tu langalanga | Mwanaspoti

HAIKUWA rahisi dereva Lewis Hamilton kuamini ameshinda mbio za magari duniani baada ya miaka miwili na nusu, tangu mara ya mwisho aliposhinda mwishoni mwa mwaka 2021. Hamilton, bingwa mara Saba wa mbio za magari duniani (formula one) alimaliza ukame wa mbio 56 bila ushindi, akishinda za wikiendi iliyopita Uingereza na akiweka rekodi mpya ya kuwa…

Read More

Kikapu Mara wiki ijayo | Mwanaspoti

UZINDUZI wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mara umeshindwa kufanyika katika Uwanja wa Matumaini ili kupisha sherehe za makanisa zilizofanyika. Katibu mkuu wa Chama cha Mpira wa Kikapu mkoani humo,  Koffison Pius alisema baada ya kutofanyika uzinduzi huo  umesogezwa mbele hadi Julai 14. “Tunaheshimu sherehe za kanisa. Tuliamua kuzipisha kutokana na uwanja huo kuwa ni…

Read More

Sababu kipigo Mchenga zatajwa | Mwanaspoti

Sababu mbili ndizo zilizofanya timu ya wanawake ya Mchenga Queens ipoteze mchezo wake kwa pointi 72-34 dhidi ya  DB Troncatti katika Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Mchezo huo wa mzunguko wa pili kwa timu hizo ulifanyika katika wa Donbosco, Osterbay. Sababu ya kwanza iliyoiua Mchenga Queens ilitokana na wachezaji kutokuwa…

Read More

Ant Man amzingua LeBron | Mwanaspoti

SUPASTAA wa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA), Anthony Edwards ‘Ant Man’ ametoa kali ya kushtua kuelekea michuano ya Olimpiki nchini Ufaransa mwishoni mwa mwezi huu, akidai ndiye nyota wa kutumainiwa kwa timu ya Taifa ya mchezo huo huko Marekani kwenye michuano hiyo. Ant Man alikuwa na msimu bora sana uliopita akiwa na Minnesota Timberwolves iliyoishia…

Read More