Yanga yashusha kitasa kipya, msaidizi wa Aucho

KLABU ya Yanga imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji, Aziz Andambwile kutoka Singida Fountain Gates kwa mkataba wa miaka miwili. Kiungo huyo amejiunga na Yanga kuongeza nguvu eneo la kiungo cha ukabaji ambapo anaungana na Khalid Aucho na Jonas Mkude. Usajili wa kiungo huyo unamaanisha kwamba anakwenda kuchukua nafasi ya Zawadi Mauya ambaye hivi karibuni aliondoka…

Read More

HISIA ZANGU: Simba mpya, sura mpya, bora hasara kuliko fedheha

NILIMTAZAMA tena na tena Babacar Sarr. Nikavua miwani halafu nikavaa tena. Nikamtazama tena na tena. Labda nilikuwa naona mpira katika macho tofauti. Ni mchezaji aliyekuwa ameletwa kufanya mabadiliko makubwa kikosini na kukomesha utawala wa Yanga? Sikuona kitu kama hicho. Alikuwa kiungo wa kawaida tu. Anayepokea mpira na kutoa pasi. Basi. Hakukuwa na maajabu mengine. Kwamba…

Read More

Kagame Cup yaanza kinyonge Dar

PAZIA la mashindano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame) 2024 linafunguliwa leo ikiwa ni mara ya kwanza katika historia kwa mashindano hayo kufanyika Tanzania bila uwepo wa Simba na Yanga. Tangu mashindano hayo yalipoanza mwaka 1967 yamefanyika Tanzania mara 19 na kati ya hizo, hakuna awamu ambayo Simba na Yanga zilikosekana…

Read More

Aziz Ki, Yanga bado pazito, Hersi afunguka

Rais wa Yanga, Hersi Said amesema kuwa kiungo nyota wa timu hiyo, Stephane Aziz Ki bado hajasaini mkataba mpya wa kuitumikia timu hiyo ingawa wapo katika nafasi nzuri ya kumbakisha. Akizungumza nchini Afrika Kusini leo Julai 8, 2024, Hersi amesema kuwa klabu inapambana kwa juhudi kubwa kumshawishi mchezaji huyo abakie na yeye mwenyewe anaonyesha dalili…

Read More