Kibwana bado yupo yupo sana

UONGOZI wa klabu ya Yanga, umemuongeza mkataba wa miaka miwili beki wao wa kulia, Kibwana Shomari kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Kibwana ambaye ameitumikia Yanga kwa miaka mitatu tangu ametua akitokea Mtibwa Sugar, ataendelea kubaki zaidi ndani ya timu hiyo ya Jangwani kwa miaka mingine miwili. Beki huyo ambaye ametwaa mataji mawili ya Ligi Kuu Bara…

Read More

Yanga uso kwa uso na Nabi Sauzi

YANGA SC itacheza dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini inayonolewa na kocha Nasreddine Nabi Julai 28 mwaka huu. Mchezo huo umepangwa kufanyika kwenye Uwanja wa Toyota uliopo Bloemfontein nchini Afrika Kusini ukiwa ni wa michuano ya kirafiki ya Kombe la Toyota. Taarifa ya Kaizer imethibitisha uwapo wa mechi hiyo ikieleza: “Kaizer Chiefs watakuwa wenyeji…

Read More

Lawi aikana Simba “Mimi ni mchezaji wa Coastal”

WAKATI Simba ikitarajiwa kupaa jioni ya leo kuelekea Misri kwa ajili ya kambi ya kujiandaa na msimu mpya wa 2024-2025, beki Lameck Lawi yupo zake Dar es Salaam na kikosi cha Coastal Union akijifua tayari kwa michuano ya Kagame huku mwenyewe akisema yeye ni mchezaji wa Coastal Union. Lawi ambaye alikuwa wa kwanza kutambulishwa ndani…

Read More

Beki Yanga asaini mmoja Simba

BEKI wa kushoto wa Yanga Princess, Wincate Kaari amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Simba Queens kwa msimu ujao. Kaari anakuwa mchezaji wa tatu kutoka Yanga Princess kujiunga na watani zao, Simba Queens, katika dirisha hili la usajili baada ya awali Precious Christopher na Saiki Atinuke kupewa kandarasi ya kuitumikia timu hiyo. Habari za ndani…

Read More

Lawi aikana Simba “Mimi ni mchezaji wa Costal”

WAKATI Simba ikitarajiwa kupaa jioni ya leo kuelekea Misri kwa ajili ya kambi ya kujiandaa na msimu mpya wa 2024-2025, beki Lameck Lawi yupo zake Dar es Salaam na kikosi cha Coastal Union akijifua tayari kwa michuano ya Kagame huku mwenyewe akisema yeye ni mchezaji wa Coastal Union. Lawi ambaye alikuwa wa kwanza kutambulishwa ndani…

Read More

Golikipa Khomeiny Aboubakar ajiunga na Yanga SC

Golikipa Khomeiny Aboubakar (25) amejiunga rasmi na Yanga SC akitokea Ihefu SC, sasa anakuja kuwania namba dhidi ya Djigui Diarra na Aboutwalib Mshery. Khomeiny ambaye amewahi kucheza timu za Tanzania za vijana za U-20 na U-23, anakuwa mchezaji wa nne kutambulishwa na Yanga katika kipindi hiki cha usajili baada ya Clatous Chama, Prince Dube na…

Read More

Jemedari CEO mpya JKT Tanzania

JKT Tanzania imemuajiri Jemadari Said Kazumari kuwa mtendaji mkuu na imeelezwa ndiye anayesimamia usajili unaofanywa kwa ajili ya msimu ujao, huku mojawapo wa usajili aliofanya ni kumshawishi John Bocco kujiunga na timu hiyo. Mwanaspoti imepata taarifa za ndani kwamba umebaki utambulisho wa Kazumari, lakini tayari ameishaanza kuyafanya baadhi ya majukumu yake kujua timu itaweka wapi…

Read More

JIWE LA SIKU: Simba na Fei Toto, kama Yanga na Chama

BAADA ya mawindo ya muda mrefu, Yanga imefanikiwa kupata saini ya kiungo Mzambia Clatous Chama kutoka Simba na tayari imemtambulisha. Ilikuwa ndoto ya Wanajangwani kumpata staa huyo na sasa imetimia huku kibano kikigeukia kwa Simba na nyota wa Azam, Feisal Salum maarufu Fei Toto. Kabla ya kutua Yanga, Chama aliumiza sana vichwa vya viongozi wa…

Read More