CHAN 2024: Faini zarindima CAF, Kenya yapewa onyo

KAMATI ya Nidhamu la Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imekutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusu nidhamu katika michuano ya CHAN inayoendelea na kutoa uamuzi kadhaa dhidi ya vyama vya soka vya Zambia, Kenya na Morocco. Katika kikao hicho Shirikisho la Soka Zambia (FAZ) lilipatikana na hatia ya kukiuka Kanuni za vyombo vya habari wakati wa mkutano…

Read More

Morocco haitaki kurudia makosa CHAN 2024

KOCHA wa Morocco, Tarik Sektioui amesema makosa waliyoyafanya kwenye mechi iliyopita dhidi ya Kenya wanayafanyia kazi ili kuhakikisha wanapata ushindi dhidi ya Zambia. Agosti 10, Morocco ilipoteza bao 1-0 dhidi ya Kenya, ikiwa ni mchezo wao wa pili kwenye Kundi A. Mechi ya kwanza walishinda kwa mabao 2-0 dhidi ya Angola, na kuwafanya Waarabu hao…

Read More

Tano tayari, hao Tausi wabayaa

LIGI ya kikapu Dar es Salaam inaendelea kunoga huku timu zilizotinga hatua ya robo fainali zikianza kujulikana na unaambiwa mambo ya kubaniana ‘press’ kwa timu kwa timu, ubora na yale maokoto ya nje ya uwanja yalitawala msimu huu hadi sasa. Ligi ya msimu huu inatajwa ni bora zaidi na hadi sasa tayari timu tano zimeshatinga…

Read More

Yanga yaifuata Rayon, kocha akimwaga nondo

NYOTA 24 wa kikosi cha Yanga wamepaa leo kuifuata Rayon Sports ya Rwanda kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Romain Folz akiitaja safu ya ushambuliaji. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Yanga kimeiambia Mwanaspoti kuwa kikosi cha Yanga mara baada ya kutua nchini Rwanda kitafikia…

Read More

Jeuri ya pesa, Fei akiamua hatima yake

JEURI ya pesa! Hivyo ndivyo unaweza kusema baada ya kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ambaye ameshafanya uamuzi wa wapi atakipiga msimu ujao na kinachoelezwa ni kwamba fedha imeongea zaidi. Mchezaji huyo amekuwa akitakiwa na timu mbalimbali za ndani na nje ya nchi ikiwamo Simba na Yanga kwa hapa nchini na pia…

Read More

Kanuni zawabana mashabiki CHAN 2024

MASHABIKI wanaohudhuria mechi mbalimbali za mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN 2024 wametakiwa kuzingatia miongozo ya usalama na ulinzi iliyotolewa na Kamati ya Maandalizi (LOC) pamoja na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), ili kuepuka adhabu na usumbufu. LOC imeweka bayana mabango, bendera au alama zenye ujumbe wa kisiasa, dini, kibaguzi au…

Read More

CHAN 2024: Burkina Faso, Mauritania vita nzito

HATMA ya timu itakayoungana na Tanzania kutinga makundi ya michuano ya Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 kutoka Kundi B, inatarajiwa kujulikana leo Jumatano wakati mechi mbili tofauti zitakapopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam. Tanzania inayoongoza msimamo wa kundi hilo ikiwa na pointi tisa, tayari imeshakata tiketi ya kucheza robo…

Read More

Kocha Azam FC aweka ukuta mgumu

KITENDO cha kocha mpya wa Azam FC, Florent Ibenge katika kikosi chake kuwepo na viungo wakabaji saba, kimetafsiriwa katika sura mbili tofauti kikosi kipana na kubalansi timu. Viungo wakabaji waliopo Azam hadi sasa ni Sospeter Bajana, Sadio Kanouté, Himid Mao,Yahya Zayd,  Ever Meza, Adolf Mtasingwa na James Akaminko, jambo ambalo Mwanaspoti lilitafuta wadau ili kutoa…

Read More

Jeuri ya Yanga inavyotunisha misuli

HAKUNA namna kwamba wale wapinzani wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga, msimu ujao wana kazi kubwa ya kufanya ili kuwafanya wababe hao wa Ligi Kuu Bara kwa misimu minne mfululizo wasitoboe katika mashindano ya ndani na hata yale ya kimataifa. Ingawa kuna usajili unaoendelea katika viunga vya timu zote za ndani na zile…

Read More

Simba yampandisha ndege beki mpya

‘NA Uanze’ ndivyo unavyoweza kusema kwani Simba inaonekana kupania kufanya mambo mapema tu mara tu baada ya msimu mpya kuanza, baada ya kupiga kambo ya maana kule Ismailia, Misri, huku mastaa wa maana tu wakiendelea kutua hukohuko ili kuzoweana na wenzao. Hata hivyo, maisha yanaendelea kuwa matamu kwa mastaa hao na kinachoelezwa ni kwamba kuna…

Read More