Rasmi Fadlu afunuliwa faili la Bajaber

WAKATI mashabiki wa Simba wanasubiri kwa hamu kumuona Mohammed Bajaber akiichezea timu hiyo kwa mara ya kwanza katika mechi za mashindano, kocha wa zamani aliyewahi kumnoa wakati akiwa Polisi Kenya, amempa ‘code’ kocha Fadlu Davids aweze kumfaidi vyema kikosini. Bajaber ni kati ya…

Read More

Messi apewa mmoja Polisi Tanzania

TIMU ya maafande wa Polisi Tanzania, imefikia makubaliano ya kumsajili aliyekuwa winga wa Namungo ‘Wauaji wa Kusini’, Issa Abushehe ‘Messi’ kwa mkataba wa mwaka mmoja kukitumikia kikosi hicho, baada ya pande zote mbili kufikia uamuzi huo. Abushehe ameachana na Namungo aliyojiunga nayo katika dirisha dogo la Januari 2025, ikiwa ni muda mfupi tu tangu nyota…

Read More

Simbu, Gisemo kubeba mioyo ya Watanzania Tokyo

MATUMAINI ya Tanzania kuongeza medali ya tatu katika historia ya mashindano ya dunia ya riadha yapo mikononi mwa wanariadha wawili Aphonce Simbu na Josephat Gisemo watakaoshiriki kuanzia Septemba 13, mwaka huu, jijini Tokyo, Japan. Awali, Tanzania ilitarajia kupeperusha bendera kwa wanariadha wanne, lakini mipango hiyo ikayumba baada ya bingwa wa marathoni wa Wanawake, Magdalena Shauri…

Read More

Straika Majimaji ageukia udiwani | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa zamani Majimaji, Stand United, Alliance na Singida United, Six Mwasekaga amegeukia siasa akijitosa kuwania udiwani kupitia chama cha ACT Wazalendo katika Kata ya Mbugani, wilayani Kyela, mkoa wa Mbeya. Mwasekaga aliliambia Mwanaspoti kwa sasa hachezi mpira wa ushindani na ameona ana nafasi ya kufanya kitu katika jamii kupitia siasa. “Kitu kikubwa kilichonishawishi ni…

Read More

Bajana atua jeshini na mzuka

BAADA ya kuagana na uongozi na wechezaji wenzake wa Azam FC,  kiungo Sospeter Bajana ametua JKT Tanzania akiwa na mzuka mwingi, akisema yupo tayari kwa ushindani ndani ya kikosi hicho anachoamini kitamrudisha katika ubora aliokuwa nao awali. Bajana amemalizana na Azam baada ya kuitumikia kwa miaka 15 na msimu ujao atakuwa na kazi jeshini kuitumikia…

Read More

JKT Queens yaanza kibabe CECAFA Women

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Wanawake, JKT Queens imeanza kwa kishindo michuano ya CECAFA kwa Wanawake ya kuwania tiketi ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuichapa JKU Princess mabao 5-0 kwenye mchezo wa Kindi C. Mechi hiyo imepigwa mchana huu kwenye Uwanja wa Ulinzi Complex  Kenya ambako mashindano hayo yanaendelea kufanyika kuanzia jana hadi…

Read More

Ushindi wa Namungo kwa JKU, waibeba City FC Abuja

KITENDO cha Namungo FC kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya JKU katika mashindano ya Tanzanite Pre-Season Tournament si tu imeifanya timu hiyo kufuzu nusu fainali, bali pia imeibeba City FC Abuja. Ipo hivi; Kabla ya mchezo huo wa Kundi C kuchezwa leo Septemba 5, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani…

Read More

Baresi awaonya mastaa Kagame Cup 2025

WAKATI bingwa wa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege akiwa na kibarua kizito kesho Jumamosi cha kucheza dhidi ya APR ya Rwanda katika michuano ya Kagame, kocha wa kikosi hicho, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ amewataka wachezaji kutofanya makosa kama ilivyokuwa dhidi ya KMC. Baresi alisema mechi ya kwanza dhidi ya KMC waliyopoteza kwa mabao 3-2 imetoa somo kwa…

Read More

Bado Watatu – 19 | Mwanaspoti

“NITAKWENDA.”“Basi nitakuja twende sote.”“Sawa. Nitakusubiri.” Saa nane mchana Raisa akaja nyumbani. Nikakaa naye hadi saa tisa tulipoondoka kwenda Hospitali ya Bombo iliyoko eneo la Raskazoni pembezoni mwa Bahari ya Hindi.Ukiwa hospitalini hapo unaweza kuiona bahari na bandari ya Tanga. Tulipofika hospitalini hapo, muda wa kutazama wagonjwa ulikuwa umewadia. Tukaingia ndani na kufika katika wodi aliyokuwa…

Read More