Mollel afunika Lugalo Open kwa Mapro

NUSU Mollel wa Arusha ndiye kinara wa mashindano ya wazi ya gofu ya Lugalo (Lugalo Open) baada ya kupiga mikwaju 147 katika michuano ya siku mbili iliyomalizika kwenye viwanja vya Lugalo jijini mwishoni mwa juma. Mollel aliwashinda wapinzani wake wa karibu Frank Mwinuka na Hassan Kadio kwa mikwaju minne baada ya wachezaji hao wawili kufungana…

Read More

Songea United ni Josiah au Mwalwisi!

MAKOCHA Maka Mwalwisi na Aman Josia ni majina pendekezwa katika kikosi cha Songea United (zamani FGA Talents) kwa ajili ya kuiongoza timu hiyo ya Championship msimu ujao. Hii ni baada ya dili la Mbwana Makata kuingiwa ‘mchanga’ kufuatia kusaini Tanzania Prisons na sasa mabosi wa timu hiyo yenye makazi yake mjini Songea kuumiza kichwa kumpata…

Read More

Caravans T20… Lions, Gymkhana si mchezo HUKo

LIGI ya Kriketi ya mizunguko 20 ya Caravans T20 iliendelea kuwasha moto kwenye viwanja mbalimbali jijini huku timu za Park Mobile Lions na Generics Gymkhana zikipata matokeo mazuri katika michezo yao ya mwishoni mwa juma. Viwanja vya Leaders Club na Dar Gymkhana ndivyo vilikuwa mashuhuda wetu wa  michezo hii ambapo ushindi wa mikimbio 81 vijana…

Read More

Chanongo, Mwamita watua Prisons | Mwanaspoti

WAKATI Tanzania Prisons ikianza kambi yake jijini Dar es Salaam kujiandaa na Ligi Kuu msimu ujao, benchi la ufundi na uongozi wa timu hiyo umeonesha matumaini makubwa kwa usajili walioufanya. Msimu uliopita Prisons haikuwa na mwanzo mzuri wa ligi chini ya aliyekuwa kocha wake, Fredi Felix ‘Minziro’ kabla ya kumtema na kumpa kazi, Ahamd Ally aliyeonesha…

Read More

Gofu imenoga, Nape aita wadhamini zaidi

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaita wadhamini mbalimbali kudhamini mashindano kwenye mchezo wa gofu ambao umeanza kukua kwa kasi nchini. Nape ameyasema hayo jana katika mashindano ya Lugalo Open Golf Tour yaliyofanyika kwenye viwanja vya Lugalo, jijini Dar es Salaam. Waziri huyo alisema kwa sasa mchezo wa gofu umeanza kujipatia…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Straika Mzambia anukia Coastal

KATIKA kuhakikisha inarejea kwa kishindo katika michuano ya CAF, Coastal Union, imeanza mazungumzo na Kabwe Warriors ya Zambia ili kupata saini ya nyota mshambuliaji, Godfrey Binga. Coastal inayoshiriki michuano ya kimataifa ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa sambamba na Simba zikiiwakilisha Tanzania msimu ujao, inataka kuimarisha kikosi hicho na chaguo la kwanza ni la nyota…

Read More

Prisons Queens hadi mwakani | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Prisons Queens, Laurent Malambi amesema licha ya kutofikia malengo ya kupanda daraja, lakini wanajivunia ushindani walioonesha kwenye ligi ya mabingwa wa Mikoa kwa soka la Wanawake akiahidi msimu ujao. Prisons Queens ilishiriki ligi hiyo iliyofanyika jijini Dodoma ikiwa msimu wao wa kwanza, ambapo walimaliza nafasi ya tatu, huku Maendeleo Queens (Songwe) na…

Read More

Kagawa, Lukindo haoo KenGold | Mwanaspoti

BAADA ya kumaliza sehemu ya benchi la ufundi, KenGold imeanza kusuka kikosi chake kwa ajili ya Ligi Kuu msimu ujao kwa kunasa saini ya nyota wanne akiwamo Ally Ramadhan ‘Kagawa’. Timu hiyo bado haijaanza mazoezi baada ya kukwama wiki iliyopita kwa madai ya sababu zilizo nje ya uwezo wao na inatarajia kuingia kambini wiki hii…

Read More

SIO ZENGWE: Kwani kuna ulazima msajili mapro wa kigeni 12?

MWAKA  huu tumeshuhudia klabu nne za Tanzania zikitakiwa kuwalipa wachezaji fedha ama kukumbana na adhabu ya kuzuiwa kusajili msimu huu baada ya wachezaji kushinda kesi zao za madai walizozipeleka Shirikisho la Kimataifa la Soka (Fifa). Kati ya klabu hizo nne, Yanga pekee ililazimika kulipa zaidi ya Sh800 milioni baada ya wachezaji wawili iliowaacha kuwasilisha madai…

Read More

Valentin Nouma atambulishwa rasmi Simba SC

KLABU ya Simba imemtambulisha beki wa kushoto mpya raia wa Burkina Faso, Valentin Nouma akitokea timu ya St. Eloi Lupopo ya DR Congo kwa mkataba wa miaka mitatu. Nouma mwenye umri wa miaka 24 anakwenda kuiongezea Simba nguvu upande wa kushoto akisaidiana na Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ ambapo msimu uliopita alikuwa pekee katika nafasi hiyo, japo…

Read More